Aaah wapi kula nyembe mazingaombwe hayo, ila moto hata Mimi naweza.
sasa huyo wa matofali tu unashangaa, kuna hao ambao wamehifadhiwa mpaka vita vitokee, yaani wanaouwezo wa kula mabomu, risasi au kutafuna vyuma...
subiri vita vianze, ndio utawaona, kwa sasa wamehifadhiwa sehemu ya kificho....Mkuu ww ndo umeua bendi hadi nkajikuta nacheka ghafla, wanakula risasi+mabomu+kutafuna vyuma??? Hataree sana
Kwenye movie, mmoja ndio anateketeza kambi nzima.
mimi siaminiUnaamini kwamba Commando mmoja kati yao pale anaweza akamuua Askari Jeshi wa kawaida ndani ya dakika 1 au sekunde 40. Ngumi yake moja ikitua popote pale ndani ya mwili wa mtu wa kawaida inakuwa ni balaa. Hawa majamaa wamekomaa si mchezo.
Kwa sisi tulipitia mafunzo hayo, mambo ya kuvunja tofali ni vitu vya kawaida hata liwe la zege. Na haya mnayoonyeshwa ni sehemu kidogo tu mengime mkionyeshwa mtasema ni uchawi. Kwa ujumla kuna mambo mengi, kwa mfano, naweza kukutengenezea ugonjwa wa kukutia umasikini/usiotibika hata kama wewe ni milionea. Nakutekenya sehemu fulani ya utumbo na kuitegua, uponi kamwe ila baada ya miaka 2 au 3 tunakuzika.
Yaani bwana haya mambo.Sijui misuli yao ikoje kustahimili simenti.
Unaamini kwamba Commando mmoja kati yao pale anaweza akamuua Askari Jeshi wa kawaida ndani ya dakika 1 au sekunde 40. Ngumi yake moja ikitua popote pale ndani ya mwili wa mtu wa kawaida inakuwa ni balaa. Hawa majamaa wamekomaa si mchezo.
Wanamafunzo maalum, magumu na ya kipekee, ndio maana wanaitwa makomandoo.
Haya mambo ya Martial Arts hakuna kiini macho, ukibobea sana ktk haya mambo unakuwa hatari mno. Sijapita ktk mafunzo ya makomando ila nina uhakika jamaa wamepitia kila aina ya Mafunzo/Michezo ya ngumi. Sasa moja ya kanuni ktk Martial Arts ni lazima uwe mkakamavu, Commando anakuwa mkakamavu kutokana na mafunzo yake magumu anayofundishwa, wanafunzwa mengi, anaweza akawa mmoja na akatetekeza kambi nzima.
Sas kuhusu wachinaa wanaolaliaa mishalee NAyo ni .mazoezi?
Teeerh,teeeh,hata akipigwa risasi hafi
Aaah wapi kula nyembe mazingaombwe hayo, ila moto hata Mimi naweza.
Ila mkuu hao watu mafunzo yao si mchezo.
Ni matofari vibiskuti yale siyo kama yale yanatumika kujengea nyumba au barabara kama yale ya Trabag barabara za mwendo kasi
sasa huyo wa matofali tu unashangaa, kuna hao ambao wamehifadhiwa mpaka vita vitokee, yaani wanaouwezo wa kula mabomu, risasi au kutafuna vyuma...