GATS
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 240
- 17
Hamna kitu kama hicho,yule mama ana umuhimu wake mkubwa tayari kwetu wanawake,ndo kwanza ameanza kazi, si rahisi kuwa spika wa bunge kama la sasa.....
watu wako tu kwenye PC zao wanaandika as if ingekuwa wao wangeweza zaidi,Makinda is more of a man kuliko wanaume wengi wanaosahau kuwa yeye ni binadamu na anakosea pia.....let her be,mng'oeni Ngeleja kwanza na Pinda ndo muende kwa yule mama.....si kujitafutia umaarufu kwa yule mnayemuona dhaifu na pengine kwa kuwa ni mwanamke.....Pinda has to go first and not Makinda.....
Na wewe dada nilikuwa nakuheshimu sana. penye ukweli ni vizuri ukausimamia sio kushabikia makinda kwa vile ni mwanamke mwenzio. Hivyo unaonyesha udhaifu sana dada yangu. Muungwana husema yale yaliyo na ukweli na kuyasimamia. Ukweli Makinda Hili bunge litamshinda we subiri.