Hamna kitu kama hicho,yule mama ana umuhimu wake mkubwa tayari kwetu wanawake,ndo kwanza ameanza kazi, si rahisi kuwa spika wa bunge kama la sasa.....
watu wako tu kwenye PC zao wanaandika as if ingekuwa wao wangeweza zaidi,Makinda is more of a man kuliko wanaume wengi wanaosahau kuwa yeye ni binadamu na anakosea pia.....let her be,mng'oeni Ngeleja kwanza na Pinda ndo muende kwa yule mama.....si kujitafutia umaarufu kwa yule mnayemuona dhaifu na pengine kwa kuwa ni mwanamke.....Pinda has to go first and not Makinda.....
Akili zako kama m.a.k.a.l.i.o
Huwezi kuhalalisha mauaji ya watu wasiokuwa na silaha. Siku ukifiwa na mtu wako wa karibu jaribu kufananisha na kama hawa ndugu wa arusha walivyouawa, au ukifiwa na mwanao, mkeo, baba yako, mama yako,....., nasema tena "*.,*
Hivi huyu mama mumewe ni nani (au aliwahi kuwa na familia)?
Kweli kabisa! Hapo umenena! CHADEMA hasa ndio walisababisha hiyo tafrani ya Arusha. Pia kuna ushahidi dhahiri kwamba CHADEMA imekuwa ikila njama na wafanyabiashara ili bei za vitu mbalimbali zipande, JK na CCM waonekane hawafanyi kazi. ni wazi pia wao ndio wanachochea migomo vyuo vyote vilivyogoma. na pia kuna watu wao kule hazina wanakula njama mishahara icheleweshwe ili wafanyakazi nao wagome! yaani we acha tu, hawa CHADEMA! unajua hata kule DAWASA wamejiingiza, maji hayapatikani. hata kule Mtera, walikula njama na yule jamaa anayefungulia bwawa, maji kayafungulia yamekwisha yoote! ndio huu mgao wa umeme unatuumiza. nimepata tetesi hata hii milipuko ina mkono wa CHADEMA! nadhani tuilaani CHADEMA na tuandamane ili ifutwe kwenye daftari ya msajili wa vyama, baada ya hapo nadhani tutaishi raha mustarehe na Maisha bora kwa kila mtanzania yatawezekana!
PM yuko sahihi kabisa na hakusema uwongo, nyie CHADEMA mliisha pewa agizo la kuacha maandamo, kwa utovu wenu wa nidhamu, kujitafutia umaarufu kwa gharama za maisha ya watu na kujifanya wajuzi kama sio wajuvi, ndiko kuliko sababisha mauaji na vurugu za Arusha.
Usitake ionakane wanawake hawawezi Mheshimiwa!!
Kwa maneno haya ya spiker Ana makinda anataka
kuwaambia nini watanzania na watu wa Arusha?
Je hii sio mwanzo wa kushindwa kuliendesha bunge?
Je atahimili au yeye ndie atakuwa chanzo cha uvunjifu wa Amani? Nawasilisha :source magazeti ya Leo.
Hivi huyu mama mumewe ni nani (au aliwahi kuwa na familia)?
Kama fomu ya uspika alichukuliwa na mafisadi wakampelekea njombe aijaze unategemea nini???lazima alipe fadhila hana lolote huyo mama.....amewekwa kulinda mafisadi na yeye fisadi mkubwa ametutia aibu wana iringa
PM yuko sahihi kabisa na hakusema uwongo, nyie CHADEMA mliisha pewa agizo la kuacha maandamo, kwa utovu wenu wa nidhamu, kujitafutia umaarufu kwa gharama za maisha ya watu na kujifanya wajuzi kama sio wajuvi, ndiko kuliko sababisha mauaji na vurugu za Arusha.
Crap,
You are Genius Bomu.