Haya
Akipata kesi tunamchangiaga hela za Wakili 😂😂🐼
Akileta picha ya kwao nitag mkuuSawa boss. Tuoneshe na kwenu tupaone
Masikini siku zote huwa anatamani tajiri afilisike awe kama yeyeWatu wenye njaa mda shida sana, na hizi chuki zenu hazijawahi wasaidia mkaacha kula dagaa, mna dhiki tabu, njaa na ufukara, badala mtulie muombe Mungu mpambane, mnaendekeza Majungu, umbea na uzandiki.
Nakubaliana na weweKwa mkoa wa kilimanjaro tena kijijini hiyo ni nyumba ya kawaida sana.
Akili za kimaskini. Hujui kuwa Nyerere alikuwa anapanga mstari kwa babake Freeman kuomba hela ya UhuruAmeiba ruzuku ya chama ndio akajenga iyo nyumba
Acha uongo, Nyerere hajawahi kuomuomba baba yake, hizo ni stori za abunuasiAkili za kimaskini. Hujui kuwa Nyerere alikuwa anapanga mstari kwa babake Freeman kuomba hela ya Uhuru
PazuriKuna watoto wa buku mbili wanamchukulia Freeman Mbowe kama mwenzao.
Hapa ni nyumbani kwake kijijini Machame huko kwenye mashamba ya ndizi, Kilimanjaro.
Mwaka 1991 alifunga ndoa ya kifahari sana huku akiwa mdhamini mkuu wa Yanga.
Freeman Mbowe is a living legend.View attachment 2812264
Nyie wachaga hiyo misifa itawauaAkili za kimaskini. Hujui kuwa Nyerere alikuwa anapanga mstari kwa babake Freeman kuomba hela ya Uhuru
Umeshapanic 😂😂😂😂🐼Watu wenye njaa mda shida sana, na hizi chuki zenu hazijawahi wasaidia mkaacha kula dagaa, mna dhiki tabu, njaa na ufukara, badala mtulie muombe Mungu mpambane, mnaendekeza Majungu, umbea na uzandiki.
Pale Mbowe Hotels aka Billicanas?Akili za kimaskini. Hujui kuwa Nyerere alikuwa anapanga mstari kwa babake Freeman kuomba hela ya Uhuru