Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Mbowe kazaliwa kakuta baba ni milionea. Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri mkubwa kabla ya uhuru na ni mnufaika wa matunda ya uhuru. Ile keki ya taifa inayotajwa yeye Mzee Aikaeli alijimegea kipande cha kutosha. Isitoshe Mbowe alikuwa mjanja kupata baba mkwe tajiri ambaye akamrithisha biashara ya chama. Kwenye msiba wa Mzee Aikaeli ilikuwa kama sherehe. Mimi nilikuwa mdogo nakumbuka nilikunywa soda 7 pale msibani ndani ya masaa machache. Ukiachana na biashara zingine kwa zile ruzuku na maokoto ya Covid19 lazima angejenga hekali kali.
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Picha iko wapi?
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Picha bila uzi kweli?
 
Katika mikoa isiyojielewa Tanzania hii mmojawapo ni mkoa wa Kilimanjaro

Wabunge wao wote na viongozi wa juu Chadema akiwemo, Mbowe na MREMA makazi yao ya kudumu yako Dar

Kule huwa wanaenda tu kulaggai wachaga wapate mlo Dar kwenye makazi yao ya kudumu

Lisu ,Mbatia pia hivyo hivvyo hulaghai kwao wawape kura ili wakishinda wale bata Dar essalaam ambaki ndiko wana makazi ya kudumu

Wanaacha kuwapa kura wakaa kudumu Kwao wanawapa mikazi ya kudumu ya Dares salaam
 
Freeman Mbowe ni mtoto wa kishua,
Tena ni borntown haswa.

Mzee Aikael alikuwa na mishe kibao, yaani kifupi mama yake Mbowe hakumpa uchi mwanaume maskini

Kuna mawaziri wetu wangefikia hata utajiri wa Mbowe pengine ile nyumba isingekuwa machame, ingekuwa
Amsterdam, au Brussels huko
Nayeye hajaoa masikini
 
IMG_8170.jpg

Makazi ya mwamba Mbowe
 
Mbowe ni tapeli wa kisiasa, ruzuku ya chama huwa inaingia kwenye akaunti binafsi ya mbowe, mbowe kaiba Sana ruzuku ndomana kangangania kiti miaka 30, mbowe aliwahi kulangua mafuso 5 chakavu Kwa milioni 7 kila moja akaenda kupiga rangi then akauzia chama kila fuso milioni 120
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Una maanisha Mbowe huyu huyu Mwenyekiti wa Chadema kwa zaidi ya robo karne huku chama kikiwa hakina ofisi za kueleweka wakati hupokea ruzuku za kutosha achilia mbali michango ya wanachama.
 
Mbowe kazaliwa kakuta baba ni milionea. Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri mkubwa kabla ya uhuru na ni mnufaika wa matunda ya uhuru. Ile keki ya taifa inayotajwa yeye Mzee Aikaeli alijimegea kipande cha kutosha. Isitoshe Mbowe alikuwa mjanja kupata baba mkwe tajiri ambaye akamrithisha biashara ya chama. Kwenye msiba wa Mzee Aikaeli ilikuwa kama sherehe.
Kipindi hicho babu yake mbowe anapambana babu yako anafukuzia mademu maporini huko.. teh teh
 
Weka hizo picha tu judge... Ila kama ni Mbowe huyu huyu ambaye miaka ya 80 huko alikuwa ashaanza ku hustle, sioni ajabu yeyote kuwa na mjengo wa kutisha.

Anastahili, tuacheni uzandiki na uchawi.

Tujifunzeni kwa waliofanikiwa na tuache kueneza chuki. Umasikini sio mzuri kabisa
 
Back
Top Bottom