Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Watu wenye njaa mda shida sana, na hizi chuki zenu hazijawahi wasaidia mkaacha kula dagaa, mna dhiki tabu, njaa na ufukara, badala mtulie muombe Mungu mpambane, mnaendekeza Majungu, umbea na uzandiki.
Hiv kula dagaa au bamia ni umaskkini eeh?? Kjlingana na wabongo si ndio?
 
Picha ya huu mjengo ndo umefanya Masanja sasa hivi analilia ndani ya blanketi, Watu wana maneno bwana, Et ndg wa marehemu katibu wakachukue damu yao..🀣🀣🀣🀣
 
Back
Top Bottom