Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Hachukui Ruzuku serikalini?
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_1789.jpg
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Watu wana nyumba za maana Dubai, UK na States wanakucheki tu.
 
Tukiacha chuki za kisiasa nyumba kama hizi huko mkoani kwetu ni za kawaida sana....

Mbowe na mzee mengi ni wajomba kabisa...wazee wao wameoleana...na hiyo familia ya kina mbowe ina hela miaka mingi sana...

Kuna kitu kwenye kila familia ya kitajiri kipo na ni siri mara nyingi ila ipo wazi..ni hivi kwenye utajiri mtoto mwenye akili ndio hukabidhiwa mali nyingi...ili aziendeleze...! Mbowe ana ndugu ila yeye ndio alikua na code zote na hakuzichezea!

Angalia...Dewji,Subash na wengineo...ila sasa kama mlilelewa kwa kupendana na wote mmeenda shule wote mtakua matajiri kabisa mfano hai ni familia ya kina ...

SHOO....!

Kaka mkubwa alikua tajiri Mkubwa shinyanga!
Anaefuata ni Harold nae ni tajiri wa kutupwa kanda ya kaskazini...HARSHO

Maskini kabisa ni mdogo wao Hillary mwenye Hill water na viwanda vya vyakula vya kuku

So mkiwezeshana mtatoka wote tatizo ni kwamba wakati mwingine kunakua na mmoja au wawili hawabebeki na hapa ndio lawama inakuja...!

Rejea uzi wangu wa mda kidogo utakufungua macho...usisite kulike ukijifunza kitu..siasa tuiweke kando...!

 
Katika mikoa isiyojielewa Tanzania hii mmojawapo ni mkoa wa Kilimanjaro

Wabunge wao wote na viongozi wa juu Chadema akiwemo, Mbowe na MREMA makazi yao ya kudumu yako Dar

Kule huwa wanaenda tu kulaggai wachaga wapate mlo Dar kwenye makazi yao ya kudumu

Lisu ,Mbatia pia hivyo hivvyo hulaghai kwao wawape kura ili wakishinda wale bata Dar essalaam ambaki ndiko wana makazi ya kudumu

Wanaacha kuwapa kura wakaa kudumu Kwao wanawapa mikazi ya kudumu ya Dares salaam
Wachaga huwa hawasahau kujenga kwao kamweeee...

#YNWA
 
Back
Top Bottom