MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,278
- 22,798
Sawa mke mdogo wa Mbowe.Kipindi hicho babu yake mbowe anapambana babu yako anafukuzia mademu maporini huko.. teh teh
Sawa mke mdogo wa Mbowe.Kipindi hicho babu yake mbowe anapambana babu yako anafukuzia mademu maporini huko.. teh teh
Daah! Wewe jamaa ni noma na nusu. Soda 7 !!!?. Mimi nilikuwa mdogo nakumbuka nilikunywa soda 7 pale msibani ndani ya masaa machache.
Labda mleta mada ni mkewe mkuu, hivyo anamjua vizuri mumewe.Usimuelezee sana mtu usiyemjua.
Watu tumefahamiana tu mjini hapa,hakuna anayemjua mwenzake kiundani.
Lakini pia,siasa yenyewe ni biashara inayolipa vizuri tu.
Kwani na wewe unaamini Wema hawafi?Daah! Wewe jamaa ni noma na nusu. Soda 7 !!!?
Nilikuwa mdogo.. si unajua ule umri wa kuanza balehe huwa vijana wanakula chakula kingi sanaDaah! Wewe jamaa ni noma na nusu. Soda 7 !!!?
Machame nyumba za ainahiyo zipoje kibao kuanzia kulejuu Nronga Masama Kibosho Umbwe Mailisita Tena nzuri kuliko hiyo ya hapo Nshara Kwa MboweWatoto wa machame et wanaita white house
Hachukui Ruzuku serikalini?Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.
Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.
Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.
Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu
Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Watoto wa machame et wanaita white house
Hata mimi natamani kuionaTunasubili picha za hiyo nyumba uenda tukakosa cha kusema.
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.
Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.
Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.
Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu
Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Picha iko juu, ni nyumba ya ghorofa moja rangi nyeupe na ni ya kawaida kwa watu waliozowea kuona majengo mbalmbali!!Hata mimi natamani kuiona
KabisaaaUsimuelezee sana mtu usiyemjua.
Watu tumefahamiana tu mjini hapa,hakuna anayemjua mwenzake kiundani.
Lakini pia,siasa yenyewe ni biashara inayolipa vizuri tu.
Watu wana nyumba za maana Dubai, UK na States wanakucheki tu.Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.
Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.
Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.
Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu
Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki
Ngoja blaza Erythrocyte akusikieRuzuku ya chadema inaishia machame
Wachaga huwa hawasahau kujenga kwao kamweeee...Katika mikoa isiyojielewa Tanzania hii mmojawapo ni mkoa wa Kilimanjaro
Wabunge wao wote na viongozi wa juu Chadema akiwemo, Mbowe na MREMA makazi yao ya kudumu yako Dar
Kule huwa wanaenda tu kulaggai wachaga wapate mlo Dar kwenye makazi yao ya kudumu
Lisu ,Mbatia pia hivyo hivvyo hulaghai kwao wawape kura ili wakishinda wale bata Dar essalaam ambaki ndiko wana makazi ya kudumu
Wanaacha kuwapa kura wakaa kudumu Kwao wanawapa mikazi ya kudumu ya Dares salaam
Sabaya na kundi lake wakilivuruga shamba la Mbowe huko SihaPicha📌🤷