[FONT=century
gothic]yoyote ambaye hajui kazi za makamo wa rais they need to go back
to school .. seriously !? kama watu wazima hawajui no wonder watoto wao
wakafeli form 4 alafu wakalaumu serikali :nono:[/FONT]
Ukiona hivyo ujue ni udhaifu mkubwa wa watu kutokujua Katiba inatamka nini,katiba imeainisha waz majukumu ya Makamu wa Rais.