Tutajie na waziri mkuu wa Marekani. Issue hapa ilikuwa kuangalia kama kuna ulazima wa kuwa na makamu wa rais na waziri mkuu. Hapo nyuma waziri mkuu alikuwa pia makamu wa rais. Kwanini tusirudie utaratibu huo kuepuka gharama zisizo za lazima? Tusiige mambo nusunusu kwani hata huko Marekani unakotaja hawana waziri mkuu.Makamu wa Rais ni muhimu kwa kua Rais anaposhindwa kuongoza kwa sababu zilizoainishwa katika katiba,makamu huchukua madaraka katika kipindi cha mpito.Na hii ipo nchi nyingi tu.Hata marekani yupo Joe Biden,alikua Dick Chenney na wote ni wazee wa mikasi.Ni vema makamu wa Rais akawa sio mtu mwenye uchu wa madaraka ili kupunguza msuguano kama ilivyokua kwa Obasanjo na Atiku Abubakar mpaka walikaribia kukunjana mashati