Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 244
Makamba, makamba, makamba so what is makamba now by the way mwacheni afuge kuku Lushoto mnamkuza na kumtangaza wa nini na wakati mmeambiwa ni gamba? Kwani gamba livuliwa linaendelea kukumbukwa tena?