Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 4,953
- 4,326
Ni kweli kabisa hasa kwa wanasiasa wawapo majukwaani, wakiwa wamepandwa na midadi au mihemko (emotions), ulimi wakati fulani huweza kutereza na kusema mambo ambayo hawakukusudia.
Jana Mzee Makamba ulimi ulimteleza na kutamka maneno ya maudhi kusiana na vifo vya marais wetu. Bahati nzuri rais ambaye alikuwapo live wakati Mzee Makamba akitamka maneno hayo, aligundua kuwa Makamba ulimi ulimtereza tu kwani alionekana kupandwa na mhemko (emotions).
Hakuyasema maneno hayo kwa kusudi tulilomuelewa. Hii ni kweli kabisa.
Hivyo hivyo Dr Bashiri aliposema maneno yale bila shaka naye alikuwa kwenye mhemko na ulimi ukatereza kuyasema yale ambayo tuliyaelewa sivyo na aliyokusudia.
Sasa kwa nini hadi sasa Dr Bashiru anazidi kulaumiwa sana kwa maneno ambayo ulimi wake uliteleza akiwa kwenye emotions?
Naamini hata Ndugae naye ulimi ulimtereza tu na aliomba asamehewe kwani hakukusudia hicho tulichomwelewa.
Ulimi kuteleza ni ajali kama ajali zingine. Kila mtu inaweza mtokea hiyo ajali. Tunapojenga tabia ya kuwasakama na hata kuwaadhibu wahenga wa ajali hii tunakuwa tunafanya makosa makubwa. Tunakiharibu chama, kinakuwa chama cha kusakamana. Turudi kwenye desturi ya kuvumiliana na kumezeana pale ndimi zinapoteleza. Huu ndiyo uungwana.
Jana Mzee Makamba ulimi ulimteleza na kutamka maneno ya maudhi kusiana na vifo vya marais wetu. Bahati nzuri rais ambaye alikuwapo live wakati Mzee Makamba akitamka maneno hayo, aligundua kuwa Makamba ulimi ulimtereza tu kwani alionekana kupandwa na mhemko (emotions).
Hakuyasema maneno hayo kwa kusudi tulilomuelewa. Hii ni kweli kabisa.
Hivyo hivyo Dr Bashiri aliposema maneno yale bila shaka naye alikuwa kwenye mhemko na ulimi ukatereza kuyasema yale ambayo tuliyaelewa sivyo na aliyokusudia.
Sasa kwa nini hadi sasa Dr Bashiru anazidi kulaumiwa sana kwa maneno ambayo ulimi wake uliteleza akiwa kwenye emotions?
Naamini hata Ndugae naye ulimi ulimtereza tu na aliomba asamehewe kwani hakukusudia hicho tulichomwelewa.
Ulimi kuteleza ni ajali kama ajali zingine. Kila mtu inaweza mtokea hiyo ajali. Tunapojenga tabia ya kuwasakama na hata kuwaadhibu wahenga wa ajali hii tunakuwa tunafanya makosa makubwa. Tunakiharibu chama, kinakuwa chama cha kusakamana. Turudi kwenye desturi ya kuvumiliana na kumezeana pale ndimi zinapoteleza. Huu ndiyo uungwana.