mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
uropokaji wake na kusema hovyo ndio vitu nilivyokuwa na mpendea makamba kwasababu vilisababisha kuimarika kwa chama chetu na kupata majimbo mengi kwenye uchaguzi uliopita. Alitakiwa aendelee kuwepo ili tujihakikishie ushindi wa kishindo 2015.
Tatizo watu hajakuelewa! Unanposema "CHAMA CHETU" wanadhani unamaanisha CCM, wakati wewe unamaanisha chama chetu kileeee au sio?