Makamba: Msifadhaike!

Makamba, makamba, makamba so what is makamba now by the way mwacheni afuge kuku Lushoto mnamkuza na kumtangaza wa nini na wakati mmeambiwa ni gamba? Kwani gamba livuliwa linaendelea kukumbukwa tena?
 
Why do you waste your time na mtu ambaye hata CCM haimtaki. Just imagine umekataliwa na CCM, kweli wewe utakuwa ni mali? :rant:
 
Nilivyomwelewa Yusufu Makamba, alipotoa neno lake alipotakiwa aseme neno la kuaga wakati wa kikao cha kuvuana magamba Dodoma: <Naenda kuwaandalia makao ili nilipo nanyi muwepo>.

  • Si mimi peke yangu katika sakasaka hili wakuvuliwa gamba, tuliomagamba tuko wengi humu,mimi nimeanza nanyi mnafuata.
  • Sikubali kuondoka peke yangu, wale wote tulioshiriki kuundika/ kuunda magamba, nitakuwa nanyi huko niendako.
  • Chama cha Magamba si mimi tu niliyegamba, wote tunahusika kuanzia watendaji wa vitongoji/ serikali za mitaa, madiwani,wabunge, wakuu wa wilaya na mikoa tumedhihirisha magamba tuliyonayo kuanzia kwenye kura za maoni. Hivyo basi nilipo kinara wao, nao wapaswa kuwepo.

Hayo ni matusi kwa waumini wa imani ya kikilisito gamba kujifananisha na mpakwa mafuta kwanini asijifananishe na muhamadi budha kilishina babi bahaul nk
 
Si sahihi hata kidogo, yesu hakuwa na chama cha siasa na hakuwahi kuwa katibu katika falme za baba yake na hakuwahi kufukuzwa kazi. Yesu maisha yake yote aliwapigania na kutetea haki za wanyonge, pia alichukia mitume ambao hawakuwa waadilifu na wachapa kazi. Makamba maisha yake yote kama katibu mkuu wa chama cha magamba (CCM) aliwatetea mafisadi akina EL, RA na AC. Alitetea kauli mbiu ya maisha bora kwa kila fisadi badala ya kila mtanzania. Huko aendako kuandaa maisha ni ahera ya jehanamu kwa hiyo ujumbe wake uliwafikia wale waliotetewa kwa nguvu zote na uongozi wake katika chama. Asamehewe wakati hakukiri madhambi ya kuwatukana wazee wa chama, wanachama na watanzania kwa ujumla.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom