Kibona
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 1,023
- 652
tukihesabu kuanzia 1964 mpaka 1981, basi ni miaka 17ukereketwa kazi kweli
umeandika " Nijuavyo tuko mbioni kusherehekea miaka 50 ya nchi ya Tanzania ambayo ndio iko kwenye ramani ya dunia"
HII SENTENSI YAKO INA MATATA
HESABU VIZURI,
TANZANIA ILIANZA 26 APRIL1964 ,
ukihesabu 1964 mpaka 1981 ni miaka mingapi???? 50?????