Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,921
- 30,266
Mshume Kiyate akiishi Kariakoo Mtaa wa Tandamti na Ali Msham Magomeni Mapipa Mtaa wa Jaribu.
Wote wawili walikuwa wanachama shupavu wa TANU na marafiki wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Mama Maria Nyerere.
Itapendeza sana kama tutawazawadia mitaa waliyoishi kama kuonyesha shukurani zetu kwao kwa kupigania uhuru wa Tanganyika.
View: https://youtu.be/0CmqMLtjtas?si=YJ6Wn9z9_WFHXxxZ
Wote wawili walikuwa wanachama shupavu wa TANU na marafiki wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Mama Maria Nyerere.
Itapendeza sana kama tutawazawadia mitaa waliyoishi kama kuonyesha shukurani zetu kwao kwa kupigania uhuru wa Tanganyika.
View: https://youtu.be/0CmqMLtjtas?si=YJ6Wn9z9_WFHXxxZ