Makala za Mohamed Said Katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika


Bi Faiza,

Mungu akujaze kheri.
Napata faraja ninaposoma fikra kama hizo zako.

Historia ya Majimaji na makumbusho yake Mahenge, Songea
yapo katika mtihani mkubwa.

Hata yale majina ya askari wa Majimaji hayatakiwi kuwapo kwa
kuwa tu jeshi zima lina majina ya Waislam.

Majina ya mashujaa wale yanayoashiria Uislam wao yameondolewa.

Songea Mbano aliyekuwa amiri jeshi dhidi ya Wajerumani jina lake
ni Ali Songea Mbano.

Jina la Ali halitakiwi na ni hivyo hivyo kwa kila askari majina yalowekwa
ni ya Kikristo ati walibatizwa kabla ya kunyongwa.

Hii ni dhulma na upotoshaji mkubwa.

Soma hii kutoka "Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania Mainland":
[1]Maji Maji Museum in Songea which has been greatlydesecrated removing all signs of Muslim symbols during the Maji Maji War withGermans. The Maji Maji Museum at Peramiho under the Catholic Church has closedits doors to young inqusitive Muslims for fear of criticism for distorting history. AllMuslim symbols in Maji Maji War against Germans have been obliterated in theMaji Maji Museum.
[1]In all historical references to Maji Maji War hero and Chief of WangoniAli Songea Mbano, his Muslim name “Ali” would be omitted and he would bereferred to as Songea Mbano.

Mohamed


Hivi Songea Mbano ni jina la kikristo au ni jina la kimila za wangoni wa Songea??????????
 
Mkuu Nguruvi hili swali nimewahi kulianzishia thread hakika Mohamed Said na waumini wa propaganda zake waliingia mitini kwasababu walijua wangejibu wangeua hoja zao za udini wa Kariako na Saigon.

Mohamed Said,
Ni nini mchango wa AMNUT katika harakati za ukombozi wa Kariakoo, Gerezani au Tanganyika?
Ni kwanini Waislam wa Kariakoo,Gerezani/Tanganyika hawakuiunga mkono?

Ni lini utaratibu wa kutumia namba katika mitihani ulianza kutumika?

Nisaidieni hapa nimekwama na nashindwa kuunganisha dot za mada kwasababu nimekwama. Tafadhali nifahamishe.

Ahsante.
 
the past always has a way of catching up with the future......always.....
 
Hivi Songea Mbano ni jina la kikristo au ni jina la kimila za wangoni wa Songea??????????[/QUOTE


Songea Mbano ni jina la Kingoni lakini Ali ni jina la Kiislam.
Mimi naitwa MOhamed Said Salum Abdallah Muyukwa Samitungo.
Majina ya Kiislam unayaona na majina ya Kimanyema yapo hapo.
Ukiamua kuyatoa majina yangu ya Kiislam basi una lako jambo.
Hata hivyo nakuwekea kitu usome labda utaona jambo na
tutaendelea na mjadala:

Njekidogo ya mji wa Songea kuna kitongoji kinaitwa Mahenge, hapokuna sehemu ya kumbukumbu ya vita vya Majimaji. Jambo kubwa la mahalahapo ni kaburi kubwa la halaiki ambamo askari zaidi ya sitini na… (sitini nasaba) walizikwa kwa pamoja. Na kando ya kaburi hilo la pamoja kuna kaburi laAlly Songea Mbano ambae yeye alizikwa peke yake. Kwa maraya kwanza nilitembelea makumbusho hayo mwishoni mwaka 2007. Baada ya kusainikitabu cha wageni na kulipa ada ya kituo muhudumu wa kituo hicho alitupakaratasi yenye orodha ya majina ya wale wote walionyongwa na kuzikwa hapo. Ukiitazamaorodha hiyo na hasa ukiwa Mwislam jambo moja litakustuwa. Robo tatu yawalionyongwa na kuzikwa hapo ni Waislaam. Linaanza jina lake la Kiiislam, kishakwenye mabano kuna jina la Kikristo na mwishoni linaishia jina la kiasili,mfano Abdulrahman [Dominic] Mputa Gama. Muhudumuakatueleza kuwa hawa mashujaa wa vita vya Maji Maji kabla ya kunyongwaalikuwako padri ambae aliwabatiza na kuwapa majina ya Kikristo na baadaekunyongwa, wengi walibatizwa kwa hadaa kuwa wakibatizwa wataachiwa huru, wotekatika hao walionyongwa walikuwa ni Waislam. Uzuri ni kwamba katika orodha hiyokulikuwa na jina na sahihi ya yule padri aliyewabatiza, na kwa mkono wake[huyo padri] aliiyaandika hayo majina. Karatasi yenyewe ilihifadhiwa vizurikwenye fremu ngumu ya kioo. Tuliomba kwa nguvu zote kupatiwa hiyo karatasi ya majina hata kwa kununua lakini haikuwezekana pamoja na kuwaona na kuwaonawakubwa wa kituo hicho. Niliporudi kwamara ya pili mwezi July 2009 nilipata mstuko. Karatasiiliyohifadhiwa kwenye fremu ngumu ya kioo, iliyokuwa na majina ya Kiislaamya mashujaa wa vita vya Maji Maji, haikuwapo,na badala yake imewekwa karatasinyingine ombayo ndani ya karatasi hiyo majina ya Kiislaam ya mashujaa hao wavita vya Maji Maji yameondolewa na kuachwa majina ya ubatizo na yale ya kiasilitu, jina la padri, sahihi yake na wadhifa wake katika Kanisa Katoliki piavimeondolewa na karatasi yenyewe haikuwa kwenye fremu ya kioo na ilikuwa katikafotokopi tu. Nilimuulizamuhudu kulikoni? Akasema, "Songea pana mzee mmoja maarufu sana katika historiaya TANU na historia ya kuasisiwa Bakwata anaitwa kwa kifupi M. S. Mzeehuyu ana binti yake ambaye ameolewa na Mzungu wa Kijerumani. Binti huyu na namumewe wa Kijerumani walikuja hapa Songea matembezi. Hivyo kwa shinikizo lahuyu mzee M.S. karatasi hiyo alipewa huyu Mzungu kwa ahadi kwamba anaipelekaUjerumani na atairudisha. Hivyo ndivyo karatasi ile asilia ilivyotoweka. Kubwakatika karatasi ile ni ule ushahidi wa majina kuwa wote katika wale walionyongwana kuzikwa hapo ni Waislaam, wengi katika hao walihadaiwa kuachwa huru hivyowakabatizwa ispokuwa wachahe sana waligoma kama shujaa Ally Songea Mbano. Huyukwa ushujaa wake wa kupambana na Wajerumani aligoma na akasumbua sana kiasiakanyongwa siku yake na peke yake na ndio sababu akazikwa peke yake. Ukiingiandani ya kinyumba cha ghorofa, unaanza kuona picha za mashujaa wa Maji Majiwakiwa wamevaa mavazi ya vita mithili ya mahujaji wanavyovaa Ihraam wakati wahija. Kinachoongezeka kwao ni vilemba kichwani. Chini ya kila picha kuna jinala aliyekuwa kwenye picha ile. Ukipanda gorofani utaona silaha za kiajadi kamamikuki, pinde, ngao n.k. Kinachosisimua zaidi ni mavazi ya vita. Mavazi ya vitaya askari wa Maji Maji wengi walivaa kanzu za Kiislaam na vilemba. Jambojingine linalosisimua ni kile ambacho watu wa kituo hicho wameandika "rosary"hili ni jina la Kikristo, hasa la Kikatoliki, ni zile shanga ambazohuning'inia msalaba lakini unapotazama hicho kilichoitwa "rosary" utaona si "rosary,"bali ni tasbihi hasa ya Kiislaam yenye kupangika hasa shanga zake, 33, 33, 34.Maneno yaliyoandikwa kuelezea "rosary" hizo ambazo ni tasbihi ni: "Hizi nirosary ambazo wapiganaji wa majimaji walikuwa wakitumia KUTAMBIKA kabla yakwenda vitani kwa kuamini kwamba zitawakinga na risasi." Ukwelini kwamba hawa askari wa Maji Maji wengi walikuwa ni Waislaam hivyo hawakuwaWAKITAMBIKA bali walikuwa wakitumia tasbihi hizo kufanya dhikri kwa Allah kablaya kwenda vitani. Midhali sisi Waislaam hatujawa tayari kuandika historia yetukama Waislaam wanaotuandikia watapotosha na kupindisha nakutuzulia wanavyotaka. Hapo gorofani kunajambo jingine la kusisimua. Kuna magudulia na makopo. Wameandika kuwa, hayandio makopo ambayo askari wa Maji Maji walikuwa wakiyatumia KUNAWA kabla yakwenda vitani [kushika udhu na sio kunawa] pia kwa kuamini kuwa maji hayoyatawakinga. Muhudumu alitueleza kuwa kumbukumbu nzuri na za kuaminika zikoJimbo Kuu la Wakatoliki Peramiho. Tulikwendajimboni lakini hatufanikiwa kwa sababu za ki-urasimu tu.T ulitakiwa tupatekibali cha Askofu Mkuu. Hatukukipata. Kwa yale tuliyoyaona na kuyashudia yafuatayo:

Vita vyaMaji Maji havikuwa ni vita vya kizalendo, kwamba wazalendo walikuwa wakipiganianchi yao. La. Vilikuwa ni vita vya Waislaam wakipigana na Wakristo wa Kijerumaniwaliovamia maeneo asilia ya Waislaam kwa lengo la kuuwa Uislam na kusimamishaKanisa kwani mazingira yote utayoyaona ya mashujaa wa vita vya Maji Maji ni mazingiraya Kiislaam, kingine ni kwamba hukuti mahala yalipo makaburi ya askari wa Kijerumaniila katika miji ya Waislaam kama Kilwa, Bagamoyo n.k. Kwa nini wauliwe maeneoya Waislaam tu? Walifuata nini huko?Kunaupotoshaji mkubwa sana wa historia ya vita vya Maji Maji. Vinaoneshwa kama nivita vya wazalendo wakipigana na wakoloni wa Kijerumani, wakati ukweli sihivyo. Ukweli ni kwamba vita vya Maji Maji vilikuwa ni vita baina ya Waislaamna Wakrito wa Kijerumani, Waafrika Wakristo wa Songea walijiunga na Wakristowenzao wa Kijerumani dhidi ya Waafrika wenzao wa Kiislam.Wakristowameitafiti hakika hii na wakaijua kisha wameificha kwa maslahi yao.MWISHOKuna haja ya wasomi wetu wa Kiislaamkufanya juhudi za makusudi za utafiti wa historia yetu ili kukifanya kizazihiki cha Kiislaam kujitambua zaidi na kujenga ujasiri. Taasisi za Kiislaam nawatu binafsi [matajiri] wawawezeshe kiuchumi wasomi hawa kufanya kazi hii.
Mwaka 2008 nimetembelea Kilwa Kisiwani, hukonikamkuta Mzungu wa Kifaransa akiandika historia ya Kilwa Kisiwani akiitwa Thiery,ameweka kambi na majenereta ya umeme, solar power na makompyuta. Kazi nyinginekubwa alokuwa akifanya ni kukarabati yale magofu ambayo mengi ni misikiti namajumba ya mawe ya wafalme wa kale. Kilwa Kisiwani ni moja kati ya dola kubwaza Kiislaam katika mwambao wa Afrika Mashariki, ndio dola ya mwanzo kuwa na sarafu yake ambayo iliandikwa jina la Allah. Tuliposoma kazi ile ya YuleThiery Mfaransa tayari alikwisha ipotosha kwa kiasi kikubwa. Sikuwa na lakumfanya. Kizazi cha vijana wa Kiislaam hakitopata historia ya kweli ya Kiislaamkama tutawaacha akina Thiery waandike na hivyo vijana wetu hawatajitambua
na hawatokuwa na ujasiri katika Uislam wao.
Ilunga Hassan Kapungu Jumanne 19 Oktoba 2010
 
To imply that the struggle for Uhuru wa Tanganyika was solely initiated or even spear-headed by those mentioned by Mohamed Said is a distortion of history.

Tanganyika being a Trust Territory of the British, the United Nations Organization received Tanganyika representatives as early as 1945. The Trusteeship Council was addressed by Tanganyika personalities like Japhet Kirillo on the Meru Corridor dispute in the late 1940s triggering the fight for freedom and the right to own our land. Personalities like John Rupia, Cliest Sykes and Dossa Aziz and those who initiated TAA (Tanganyika African Association), stressing the inclusion of country-wide leaders like Adam Sapi Mkwawa, Abdallah Fundikira, Humbi Ziota, Kidaha Makwaiya of Shinyanga, Elias Sarwatt of Mbulu and Chief Patrick Kunambi of Morogoro.

What I am trying to say is that the struggle for Uhuru was not purely a Dar es Salaam Kisutu affair. There were many players.


It is true the struggle for Tangayika involved many players it was not a
Dar es Salaam/Kisutu monopoly.

But the contribution of the people from Dar es Salaam proper who I
have mentioned and those from Kisutu who I have not mentioned were
desicive.

Have you heard about Sheikh Haidar Mwinyimvua and others the TANU stalwart from
Kisutu?

They formed the most powerfull TANU branch in Tanganyika.

Sheikh Haidar was a tailor and he was the one who sewed Nyerere's
suit in 1955 during prepararions for his trip to the United Nations, New York.

Sheikh Haidar was also a member of the all powerful TANU Elders Council
first under the chairmanship of Sheikh Suleiman Takadir and later under Iddi
Tulio.

His son Sheikh Ahmed Haidar a graduate of Al Azhar University in Cairo is the
Imam of Masjid Mwinyikheri Akida in Kisutu, Dar es Salaam.

He has a lot of information about Nyerere, TANU and his father's connection with Mwalimu.

I will appreciate very much to read about other TANU stalwarts from the regions.

If you know them please let us have their profiles.

I am sure they will make very interesting reading.

Mohamed

 
It is true the struggle for Tangayika involved many players it was not a
Dar es Salaam/Kisutu monopoly.

But the contribution of the people from Dar es Salaam proper who I
have mentioned and those from Kisutu who I have not mentioned were
desicive.

Have you heard about Sheikh Haidar Mwinyimvua and others the TANU stalwart from
Kisutu?

They formed the most powerfull TANU branch in Tanganyika.

Sheikh Haidar was a tailor and he was the one who sewed Nyerere's
suit in 1955 during prepararions for his trip to the United Nations, New York.

Sheikh Haidar was also a member of the all powerful TANU Elders Council
first under the chairmanship of Sheikh Suleiman Takadir and later under Iddi
Tulio.

His son Sheikh Ahmed Haidar a graduate of Al Azhar University in Cairo is the
Imam of Masjid Mwinyikheri Akida in Kisutu, Dar es Salaam.

He has a lot of information about Nyerere, TANU and his father's connection with Mwalimu.

I will appreciate very much to read about other TANU stalwarts from the regions.

If you know them please let us have their profiles.

I am sure they will make very interesting reading.

Mohamed


Wakuu,

X-Paster aliwaomba kuwa kama mnayo historia ya ukombozi wa watanzania basi ileteni tuijadili na sio kuponda tu na kuzungumza vitu visivyo na msingi. Sheikh Mohamed mwaga vituz tunakusoma wengine vizuri tu. By the way nataka kuulize Sheikh Haidar yupo mmungu ampe umri mrefu kwani ni hazina ya elimu. Niliambiwa ana PhD kama sikosei au Masters degree kutoka Al-Azhar University hivyo ni sahihi au walikuwa watu wana exaggerate? Sikujua naye ana hazina ya historia ya Taifa letu.
 
Sasa AMNUT ilipokuja viongozi hawa wa Kiislam walikiona chama kile kama nuksi inayotaka kuwabagua watu kwa misingi ya dini na hivyo kuleta vita na kuwapa Waingereza sababu ya kutotoa uhuru.
AMNUT ikapigwa vita na haikuweza kufanikiwa.

Kuhusu matumizi ya namba na majina katika mitihani. Ingekuwa na maana zaidi iwapo
Wizara ya Elimu ingetupa taarifa hiyo.-Mohamed
Kwa hiyo Waislam wazee walitambua kuwa si vema kuwabagua watu kwa misingi ya dini. Hi inaonyesha busara za hawa wazee kuwa shughuli za kudai uhuru zilikuwa jitihada za makundi mbali mbali ya jamii na si Waislam tuu kama inavyoonekana. Ni ushahidi kuwa Wazee walitambua mgawanyiko usingewafikisha mahali popote zaidi ya vita.

Sasa inashangaza miaka zaidi ya 60 bado hatuzioni busara za wazee waliotutangulia na tunadhani vurugu na migawanyiko ya kidini itatoa majibu ya matatizo yetu na kwamba hatuna sababu yoyote ya kuigawa jamii kama walivyokataa wazee wetu.

Pengine wengi wao hawakuwa na elimu lakini walikuwa na busara, sisi wengi wetu tuna elimu sijui kama tuna busara.
Hapa ndipo nauliza swali la uchokozi ' Kipi ni bora Elimu bila busara au Buasra bila elimu'.
Kisa cha AMNUT kama nilivyokisoma kwenye makala zako miaka zaidi 20 iliyopita hujakieleza kikamilifu.

Kuhusu swali la namba za mitihani, hakika umenifedhehesha sana Mohamed. Nina kumbu kumbu za JF, na nje ya JF ikiwa ni pamoja na makongamano, warsha , magazeti na maandiko yanayo kunukuu Mohamed Said ukisema kuwa dhulma katika elimu imefanyika sana na ni Marhum Kighoma Malima aliyebadili mwelekeo jambo lililosababisha achukiwe sana afanyiwe fitna sana hadi mauti yake. Haya ni maneno ya Mohamed Said .

Unaposema Wizara ya elimu itupe majibu, unakwepa ukweli kuwa umekuwa unahubiri, hadithia na kusimulia kitu usichokuwa na data au research juu yake. Ikifika hapo unatutia wasi wasi sana. Kwamba miaka zaidi ya 12 umekuwa unazungumzia dhulma za kiislam, dhulma ambayo wewe hujui ilianza lini. Mzee Said!! hili litakusumbua sana, kwasababu halihitaji maelezo kutoka Wizara ya elimu.

Mzee Said, kama unavyotaka historia iwekwe sawa, basi tusiwe sehemu ya kupotosha historia. Wewe unawajua vijana wa Warsha UDSM na ulikuwa sehemu ya MSAUD huhitaji wizara ukisadie kwasababu umejivunia sana research ya Warsha na kuinukuu mara nyingi sana. Kama hujui namba zilianza lini huna sababu ya kujivunia research isiyojitosheleza.

Hili la namba za mitihani unapaswa kuwaeleza wasomaji bila kificho ni lini namba zilianza kutumika!
Hakuna suala la wizara ya elimu, ni Mohamed Said, research ya Warsha na dhulma dhidi ya elimu.
 
Kwanza hakuna sehemu Africa watu wamepigania uhuru kwa mgongo wa dini. Historia ya ukombozi na uhuru mejengeea kikabila na kikoo. Hii dini ni wajanja wachache wanatumia kupata fund. Ukisoma historia ya nchi kama Mali ,senegal na hata somalia waakati wa uhuru Utagundua hilo. Ungeeleweka na ningejaribu kukuelewa kama ungesema mchango wa wamanyema au wazaramo umepuuzwa . Ungehoji kwa nini kuna mtaa dar unaitwa MIRAMBO,MKWAWA wakati hakuna mtaa wa chief au mzee wa kimanyema.. au izaramu. Lakini sababu lengo lako si historia basi unakwepa historia ya weli

Pili Mwaka mmoja hivi kwenye thread moja nilimwambia mzee Saidi leta Biography za wazee wa dar Tuziweke Wikipedia ili ziwsaidie watu kujua historia anayodai iliyofichwa akapuuzia . Maana za nyerere zipo tayari. Fundiikira naye ipo. Huyu ni mtu anahubiri historia na kafika hadi nje lakini Wazo la wikipedia mhhh. Labda kwa kuwa aliyempa wazo ni ................

X paster , Mdondoaji na vijana wa kiislam ongeni na Mohamed mwambini Vijana wakiislam na wengine atawatendea haki zaidi hiyo historia ya mashujaa wengine akijaribu kuiweka Wikipedia.



 
Kwanza hakuna sehemu Africa watu wamepigania uhuru kwa mgongo wa dini. Historia ya ukombozi na uhuru mejengeea kikabila na kikoo. Hii dini ni wajanja wachache wanatumia kupata fund. Ukisoma historia ya nchi kama Mali ,senegal na hata somalia waakati wa uhuru Utagundua hilo. Ungeeleweka na ningejaribu kukuelewa kama ungesema mchango wa wamanyema au wazaramo umepuuzwa . Ungehoji kwa nini kuna mtaa dar unaitwa MIRAMBO,MKWAWA wakati hakuna mtaa wa chief au mzee wa kimanyema.. au izaramu. Lakini sababu lengo lako si historia basi unakwepa historia ya weli

Pili Mwaka mmoja hivi kwenye thread moja nilimwambia mzee Saidi leta Biography za wazee wa dar Tuziweke Wikipedia ili ziwsaidie watu kujua historia anayodai iliyofichwa akapuuzia . Maana za nyerere zipo tayari. Fundiikira naye ipo. Huyu ni mtu anahubiri historia na kafika hadi nje lakini Wazo la wikipedia mhhh. Labda kwa kuwa aliyempa wazo ni ................

X paster , Mdondoaji na vijana wa kiislam ongeni na Mohamed mwambini Vijana wakiislam na wengine atawatendea haki zaidi hiyo historia ya mashujaa wengine akijaribu kuiweka Wikipedia.




Ahsante kwa mchango wako. Mimi nimeandika yale ninayoyajua.

Inawezekana ikawa kuna tofauti ya mawazo na muono kama unavyosema.

Inawezekana sana Senegal, Mali mambo yalikuwa tofauti na Tanganyika hilo
nalikubali mia kwa mia.

Huu ndiyo usomi mambo sharti yapishane. Huyu katoa hili yule katoa lile.

Hatuwezi tuwe tunakubaliana sote. Dunia haitopendeza kamwe ikiwa fikra zetu
hazipishani.

Kuhusu kukupatia biography za wazee wangu hili silazimishwi na mtu nitalifanya pale
ninapotaka.

Ila nimeandika vitabu viwili kuhusu historia ya siasa ya Tanganyika na kimoja historia ya
Zanzibar nilikuwa mtafiti msaidizi wa Dr Harith Ghassany "Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru."

Ila nitakuongezea kitu.

Nimo katika mradi wa Dictionary of African Biographies (DAB) Marekani kama mtafiti
na mwandishi.

Mwisho nakusihi jifunze kuandika kwa upole na utulivu.

Huu ni mjadala tu tuzungumze kwa kuheshimiana.

Mohamed
 
Kwa hiyo Waislam wazee walitambua kuwa si vema kuwabagua watu kwa misingi ya dini. Hi inaonyesha busara za hawa wazee kuwa shughuli za kudai uhuru zilikuwa jitihada za makundi mbali mbali ya jamii na si Waislam tuu kama inavyoonekana. Ni ushahidi kuwa Wazee walitambua mgawanyiko usingewafikisha mahali popote zaidi ya vita.

Sasa inashangaza miaka zaidi ya 60 bado hatuzioni busara za wazee waliotutangulia na tunadhani vurugu na migawanyiko ya kidini itatoa majibu ya matatizo yetu na kwamba hatuna sababu yoyote ya kuigawa jamii kama walivyokataa wazee wetu.

Pengine wengi wao hawakuwa na elimu lakini walikuwa na busara, sisi wengi wetu tuna elimu sijui kama tuna busara.
Hapa ndipo nauliza swali la uchokozi ' Kipi ni bora Elimu bila busara au Buasra bila elimu'.
Kisa cha AMNUT kama nilivyokisoma kwenye makala zako miaka zaidi 20 iliyopita hujakieleza kikamilifu.

Kuhusu swali la namba za mitihani, hakika umenifedhehesha sana Mohamed. Nina kumbu kumbu za JF, na nje ya JF ikiwa ni pamoja na makongamano, warsha , magazeti na maandiko yanayo kunukuu Mohamed Said ukisema kuwa dhulma katika elimu imefanyika sana na ni Marhum Kighoma Malima aliyebadili mwelekeo jambo lililosababisha achukiwe sana afanyiwe fitna sana hadi mauti yake. Haya ni maneno ya Mohamed Said .

Unaposema Wizara ya elimu itupe majibu, unakwepa ukweli kuwa umekuwa unahubiri, hadithia na kusimulia kitu usichokuwa na data au research juu yake. Ikifika hapo unatutia wasi wasi sana. Kwamba miaka zaidi ya 12 umekuwa unazungumzia dhulma za kiislam, dhulma ambayo wewe hujui ilianza lini. Mzee Said!! hili litakusumbua sana, kwasababu halihitaji maelezo kutoka Wizara ya elimu.

Mzee Said, kama unavyotaka historia iwekwe sawa, basi tusiwe sehemu ya kupotosha historia. Wewe unawajua vijana wa Warsha UDSM na ulikuwa sehemu ya MSAUD huhitaji wizara ukisadie kwasababu umejivunia sana research ya Warsha na kuinukuu mara nyingi sana. Kama hujui namba zilianza lini huna sababu ya kujivunia research isiyojitosheleza.

Hili la namba za mitihani unapaswa kuwaeleza wasomaji bila kificho ni lini namba zilianza kutumika!
Hakuna suala la wizara ya elimu, ni Mohamed Said, research ya Warsha na dhulma dhidi ya elimu.

Ahsante kwa mchango wako na maelezo.

Nimekuelewa lakini siwezi kukupa jibu la haraka.

Kwa hakika wazee wetu walikuwa na busara ya kukataa fitna za msingi
katika misingi ya dini.

Lakini kwa uchache nitakueleza kuwa fitna ya mwanzo ililetwa katika uchaguzi
Bukoba na Kigoma mara tu baada ya uhuru pale Kanisa Katoliki lilipowakataa wagombea
Waislam.

Nitafurahi sana kama utasoma kitabu changu Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes yote
ulouliza hapa majibu yake yamo mle.

Miaka miwili tu baada ya uhuru kupatikana hali ya siasa ilikuwa kama hivi:

"Kama ilivyokwishaelezwa hapo mwanzoni kuwa mwaka 1963 ulikuwa mwaka wa mambo mazito. Ilikuwa ndiyo mwaka ambao Kanisa Katoliki liliteua wagombea wake wapambane nawagombea wa TANU waliokuwa Waislam katika uchaguzi wa serikali za mitaa kule Kigoma na Bukoba. Ulikuwa ndiyo mwaka ambao Rais wa TANU, Nyerere alipombana na EAMWS kupitia Bilali Rehani Waikela. Mwaka wa 1963 ndiyo ulikuwa mwaka ambao Halmashauri Kuu ya TANU ilivunja Baraza la Wazee wa TANU lililokuwa limetawaliwa na Waislam kwa madai kuwa baraza hilo lilikuwa "likichanganya dini na siasa." Mwaka 1963 ulikuwa mwaka muhimu kwa Halmashauri Kuu ya TANU kwa sababu ilikuwa mwaka ambao ilifanya maamuzi nyeti ya kidini. Mwaka ule BibiTiti na Nyerere walishambuliana kwa maneno ndani ya Halmashauri Kuu yA TANU kuhusu jambo jingine tena la dini lililokuwa likihusu EAMWS.Wanakamati wawili wa Halmashauri Kuu ya TANU, Selemani Kitundu na Rajab Diwani, waliiombaHalmashauri Kuu ya TANU imjadili Aga Khan na nafasi yake kama patroni wa EAMWS. Kitundu na Diwani walidai kuwa wana habari Aga Khan anataka kuitawalaTanganyika kupitia Waislam na EAMWS. Kwa ajili hii basi wakapendekeza EAMWS ifungiwe. Nyerere aliwaunga mkono Selemani Kitundu na Rajab Diwani. Bibi Titi akasimama kishujaa dhidi ya Diwani, Kitundu na Nyerere, akasema hakuna kati yao aliyekuwa na haki ya kuifungia jumiaya yoyote ya Waislam. Kama walikuwepo watu ndani ya EAMWS ambao walikuwa wanakwenda kinyume na sheria basi watu haowapelekwe mahakamani na sheria ichukue mkondo wake. Bibi Titi akaendelea na kusema kuwa EAMWS imekuwepo kabla ya TANU na siku zote imekuwa ikitoa huduma kwa Uislam. Inasemekana hasira zilipanda na kukawa na kutoleana maneno kati yaBibi Titi na Nyerere. Bibi Titi akamwambia Nyerere yeye hamuogopi yeyote ila Allah.Tuhuma zile dhidi ya Aga Khan na EAMWS hazikuweza kuthibitishwa na Halmashauri Kuu yaTANU ikaliacha jambo lile kwa wakati ule. Lakini Nyerere alikuwa amefedheheka.Kuanzia hapo akajenga chuki dhidi ya Bibi Titi na kumweka Rajab Diwani na Selemani Kitundu karibu yake. Katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1965 Bibi Titi naTewa wakapoteza viti vyao kwa watu ambao walikuwa hata hawafahamiki A.M.Mtanga na Ramadhani Dollah. Iliaminika kuwa Nyerere alikuwa anahusika na kuanguka kwa Bibi Titi na Tewa. Kuanzia hapo mambo yakawa dhahiri. Nyererealikuwa amewatangazia vita wote wawili, Bibi Titi na Tewa. Nyerere alikuwa sasa ana imani kuwa wale maadui zake wawili walikuwa wamekwisha kisiasa. Lakini kilichokuwa kikimuudhi Nyerere zaidi ilikuwa taarifa ambazo alikuwa akizipata kuwa Tewa alikuwa akipewa mapokezi makubwa sana na Waislam katika ziara zake huko mikoani kama rais wa EAMWS."

Mohamed


 
Wakuu,

X-Paster aliwaomba kuwa kama mnayo historia ya ukombozi wa watanzania basi ileteni tuijadili na sio kuponda tu na kuzungumza vitu visivyo na msingi. Sheikh Mohamed mwaga vituz tunakusoma wengine vizuri tu. By the way nataka kuulize Sheikh Haidar yupo mmungu ampe umri mrefu kwani ni hazina ya elimu. Niliambiwa ana PhD kama sikosei au Masters degree kutoka Al-Azhar University hivyo ni sahihi au walikuwa watu wana exaggerate? Sikujua naye ana hazina ya historia ya Taifa letu.

Ndugu yangu,
Ahsante sana kwa mchango wako.

Sheikh Ahmed Haidar ni msomi makini sana.
Sina hakika Al Azhar alisoma hadi kiwango gani
lakini tosheka kuwa ni mtu mwenye elimu ya juu sana.

Sheikh Haidar yupo pale Mwinyikheri Akida.

Mohamed
 
ukereketwa kazi kweli

umeandika " Nijuavyo tuko mbioni kusherehekea miaka 50 ya nchi ya Tanzania ambayo ndio iko kwenye ramani ya dunia"

HII SENTENSI YAKO INA MATATA

HESABU VIZURI,

TANZANIA ILIANZA 26 APRIL1964 ,

ukihesabu 1964 mpaka 1981 ni miaka mingapi???? 50?????

Ndugu yangu hujamuelewa mwenzako, ulitaka kuonesha asivyojua badala yake umeonesha kutokuelewa. Kwa kuwa kutokuelewa si kosa basi mimi kama mwanajamii nina jukumu la kukuelewesha, mambo si rahisi kiasi kicho. Tanzania haijafikisha miaka hamsini bado, Tanganyika haipo duniani haina watu haina serikali haina bajeti, je ni nani anayeifanyia sherehe? Miaka kadhaa ya nchi husheherekewa kukiwa na bendera ya kuitambulisha nchi hiyo, je katika kilele cha huyo Tanganyika bendera yake itakuwepo? Viongozi wake wakuu wa nchi watakuwepo? Je atakuwepo Tanganyika au Tanzania mwenye bandeji?
 
[1] Catholics form 76% of all members of Parliament the remaining 24% seatsare divided between Christians of other dominations and Muslims. Muslimscontrol a mere 6% of the seats. Most areas which are underdeveloped in Tanzania mainland are areas with Muslim majority like Kigoma,Tabora, Kilwa, Mtwara, Lindi etc. These areas are now re-examining themselvesand are gradually turning into local factions of radical Muslim politicsreminiscence of the era of nationalist politics of the 1950s. This could be asource of civil unrest in the very near future. Signs of this have begun toshow in the recurrent violent conflicts between Muslims and the government.Tanzania has experienced the Buzuruga Muslim-Sungusungu Conflict (1983), Pork Riots (1993) and MwembechaiUpheaval (1998). For more information See Hamza Mustafa Njozi, Mwembechai Killings and Political Future ofTanzania, Globalink Communications Ottawa, 2000. (The book is banned by thegovernment). In all these conflicts, Muslim blood has been shed. In betweenthese conflicts Muslims have sent several petitions to the governmentrequesting it to look into these problems but all of them have been ignored. Asa result of this Muslims from all regions of Tanzania met in Dar es Salaam atMasjid Tungi in 1990 and issued the Tungi Declaration which among other thingsstated that Muslim should prepare to defend their rights by all means even ifit means by force of arms.

(Nukuu hii inatoka kwenye mswada wangu "Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania Mainland." Jamiiforums waliiweka asubuhi na wakaiondoa jioni.)

Who killed these Muslims? I mean who was at the helms of leadership during those killings?
 
Hakika ni darsa zuri sana la kujua historia iliyofichika ya Tanganyika.


Ahali yangu, Nilikuwa naomba unijuze nimewahi kuelezwa na mtu kuwa siku ile Tanganyika ilipokuwa inapewa uhuru wake 9/dec/2061 usiku Kuna baadhi ya watu kule Bukoba waliandamana kuupinga tanganyika kupewa uhuru wake.

Je akhabar hii ni kweli?

maa salaam
 

Ila nitakuongezea kitu.

Nimo katika mradi wa Dictionary of African Biographies (DAB) Marekani kama mtafiti
na mwandishi.

Mwisho nakusihi jifunze kuandika kwa upole na utulivu.

Huu ni mjadala tu tuzungumze kwa kuheshimiana.

Mohamed
Mzee said Aksante na samahani sana kama nimekukwaza
Sasa huu mradi wa DAB unaweza kudokeza kazi yake inakamilika lini ili vijana hata tuki google majina ya wazee wetu kina , Sykes,rumanyika wazee wetu wa dar na wengineo yaonekane
 
Lakini kwa uchache nitakueleza kuwa fitna ya mwanzo ililetwa katika uchaguzi
Bukoba na Kigoma mara tu baada ya uhuru pale Kanisa Katoliki lilipowakataa wagombea
Waislam
Inaposemwa historia haikuandikwa kwa ukamilifu au imepotoshwa, basi ni wajibu wetu kuiweka sawa kwa ukweli.
Kila kilichofanyika basi nakisemwe au kuandikwa bila kumung'unya maneno. Tatizo ninaloliona katika hiki kinachosemwa kuandika upya historia ni kukosekana kwa 'facts' zaidi ya kwenda kwa hisia. Mfano, unaposema kanisa katoliki (sina sababu ya kulitetea) lilikataa mgombea Mwislam unatakiwa uambatanishe na vithibitisho hata kama ni gazeti, makala au chochote kile kuthibitisha madai hayo na sio hadithi tu.

Ninasoma sehemu nyingi na unasema 'inasemekana Bibi Titi au Waikela' walisema au waliambiwa, hapa inaonyesha ni masimulizi, ningependa kuona vitu hivyo vikiambata na ushahidi. Vinginevyo hisia au masimulizi hayatasaidia kuweka historia sawa kwani wenye kutumia vichwa vyao kikamilifu hawatakubali hadith hadithi, hadith njoo....

Nasema hisia kwasababu hoja kama ya namba za mitihani ilijengwa kwa hisia bila kuangalia ukweli. Kutokana na watu kupenda uvumi na kuukuza bila kuangalia au kuhoji, inakuwa ni vigumu sana kutetea hoja ukweli unapodhihiri. Ikifika hapo una 'dilute' maana halisi ya maandishi au makala zako. Nakusihi ujikite katika facts zisizo ongozwa na hisia bali ukweli.

Watu wengi wanatumia muda kulalamika kuhusu dhulma ya elimu iliyofanywa kwa kutotumia namba za mitihani hadi Kighoma Malima alipokuwa waziri!! Leo Mzee Said unakuwa embarassed kwa uvumi tu, tena ukiushadidia na research bila wewe ku research in first place.

Nimesoma makala zako miaka 20 iliyopita, nimesoma vitabu vyako version zote za kiingereza na kiswahili, ninapokuuliza swali ukanirudisha kwenye vitabu ambavyo havina majibu si jambo jema kwasababu kama mtu haelewi kifungu fulani ukimwambia asome tena hujamsaidia unapaswa kumjibu, na hivyo tumia nafasi hii kujibu maswali kwa ufupi.

Silalamiki au simlaumu mtu, napenda niisadie jamii kwasababu inaposemwa jambo hili baya halafu likarekebishwa kwa ubaya , basi linakuwa ni bayazaidi.Tunadhima ya kusaidia kizazi chetu kuelewa na si kuchochea na kukifanya kionekane dhalili zaidi. Wakati tunasahihisha haya, wapo watu mitaani wanaendelea kuimba wimbo wa namba za mitihani kwasababu tu wameimbishwa na kuelewa, wamelishwa bila kuhoji na wameanishwa bila kutafakari. Hili ni hatari na ninalipinga kwa nguvu zangu zote kwasababu haliwajengi watu kwa fikra bali kuwatayarisha kwa jazba.

Nitatoa mfano wa jinsi umma unavyopotoshwa na baada ya hapo inakuwa dhalili. Kuna wimbo mitaani (na hapa JF) kuwa serikali na kanisa vina MoU.Ni kweli kabisa haina ubishi. Tatizo ni kuwa wimbo unakuwa serikali inatoa pesa na kulipa kanisa. Inaishia hapo, haielezwi ni kwa utaratibu gani na kwa vipi. Limeulizwa swali hapa JF kwa mmoja wa wanaoimba bila tafakari, aonyeshe kwa maandihi wapi katika MoU imeandikwa pesa ziende kanisani.Hakuna jibu kwa sababu anaimba. Hata kama kuna hoja ya msingi watu hawawezi kutetea kwasababu wanajengwa kijazba badala ya kifikra kama Ngozi anavyosema kuwa watu wawe tayari kubeba silaha, kwamba panga ni silaha nzuri kuliko fikra!

Andikeni mambo yanayowajenga watu kifikra zaidi kuliko hisia (emotion). Mohamed umewahi kukiri kuwa yapo mafaili lukuki yamehifadhiwa, basi wekeni nyaraka hizo hadharani halafu zifanyiwe tathmini na ukweli ujulikane bila kutumia nguvu, hisia. Jengeni jamii itakayoelewa haki na dhulma na si kuijaza jazba na kushindwa kutetea hoja mezani kifikra.
 
Inaposemwa historia haikuandikwa kwa ukamilifu au imepotoshwa, basi ni wajibu wetu kuiweka sawa kwa ukweli.
Kila kilichofanyika basi nakisemwe au kuandikwa bila kumung'unya maneno. Tatizo ninaloliona katika hiki kinachosemwa kuandika upya historia ni kukosekana kwa 'facts' zaidi ya kwenda kwa hisia. Mfano, unaposema kanisa katoliki (sina sababu ya kulitetea) lilikataa mgombea Mwislam unatakiwa uambatanishe na vithibitisho hata kama ni gazeti, makala au chochote kile kuthibitisha madai hayo na sio hadithi tu.

Ninasoma sehemu nyingi na unasema 'inasemekana Bibi Titi au Waikela' walisema au waliambiwa, hapa inaonyesha ni masimulizi, ningependa kuona vitu hivyo vikiambata na ushahidi. Vinginevyo hisia au masimulizi hayatasaidia kuweka historia sawa kwani wenye kutumia vichwa vyao kikamilifu hawatakubali hadith hadithi, hadith njoo....

Nasema hisia kwasababu hoja kama ya namba za mitihani ilijengwa kwa hisia bila kuangalia ukweli. Kutokana na watu kupenda uvumi na kuukuza bila kuangalia au kuhoji, inakuwa ni vigumu sana kutetea hoja ukweli unapodhihiri. Ikifika hapo una 'dilute' maana halisi ya maandishi au makala zako. Nakusihi ujikite katika facts zisizo ongozwa na hisia bali ukweli.

Watu wengi wanatumia muda kulalamika kuhusu dhulma ya elimu iliyofanywa kwa kutotumia namba za mitihani hadi Kighoma Malima alipokuwa waziri!! Leo Mzee Said unakuwa embarassed kwa uvumi tu, tena ukiushadidia na research bila wewe ku research in first place.

Nimesoma makala zako miaka 20 iliyopita, nimesoma vitabu vyako version zote za kiingereza na kiswahili, ninapokuuliza swali ukanirudisha kwenye vitabu ambavyo havina majibu si jambo jema kwasababu kama mtu haelewi kifungu fulani ukimwambia asome tena hujamsaidia unapaswa kumjibu, na hivyo tumia nafasi hii kujibu maswali kwa ufupi.

Silalamiki au simlaumu mtu, napenda niisadie jamii kwasababu inaposemwa jambo hili baya halafu likarekebishwa kwa ubaya , basi linakuwa ni bayazaidi.Tunadhima ya kusaidia kizazi chetu kuelewa na si kuchochea na kukifanya kionekane dhalili zaidi. Wakati tunasahihisha haya, wapo watu mitaani wanaendelea kuimba wimbo wa namba za mitihani kwasababu tu wameimbishwa na kuelewa, wamelishwa bila kuhoji na wameanishwa bila kutafakari. Hili ni hatari na ninalipinga kwa nguvu zangu zote kwasababu haliwajengi watu kwa fikra bali kuwatayarisha kwa jazba.

Nitatoa mfano wa jinsi umma unavyopotoshwa na baada ya hapo inakuwa dhalili. Kuna wimbo mitaani (na hapa JF) kuwa serikali na kanisa vina MoU.Ni kweli kabisa haina ubishi. Tatizo ni kuwa wimbo unakuwa serikali inatoa pesa na kulipa kanisa. Inaishia hapo, haielezwi ni kwa utaratibu gani na kwa vipi. Limeulizwa swali hapa JF kwa mmoja wa wanaoimba bila tafakari, aonyeshe kwa maandihi wapi katika MoU imeandikwa pesa ziende kanisani.Hakuna jibu kwa sababu anaimba. Hata kama kuna hoja ya msingi watu hawawezi kutetea kwasababu wanajengwa kijazba badala ya kifikra kama Ngozi anavyosema kuwa watu wawe tayari kubeba silaha, kwamba panga ni silaha nzuri kuliko fikra!

Andikeni mambo yanayowajenga watu kifikra zaidi kuliko hisia (emotion). Mohamed umewahi kukiri kuwa yapo mafaili lukuki yamehifadhiwa, basi wekeni nyaraka hizo hadharani halafu zifanyiwe tathmini na ukweli ujulikane bila kutumia nguvu, hisia. Jengeni jamii itakayoelewa haki na dhulma na si kuijaza jazba na kushindwa kutetea hoja mezani kifikra.

Mie naomba nikujibu hapa pekundu,

Unaposema hizo hela za MOU haziendi kanisani unataka vithibitisho nenda katika zile shule za makanisa jiulize ni kina nani wanaendesha shule hizo? Waanajirije wafanyakazi wao katika mahospitali na shule hizo? Ni kina nani majority wanasoma shule hizo? Criteria za kuchagua wanafunzi shule hizo zikoje? Unataka facts wakati unajua ni ukweli unachoelezwa huo ni unafiki.

Mie niliwahi kwenda kituo kimoja Msimbazi kufanya kazi fulani ya maendeleo nikakuta wafanyakazi ni masista wanafanya kazi ambazo wasiokuwa wakristu pia wanaweza kufanya nikauliza hizi kazi wanatangaza wapi na selection criteria inakuwaje kiutani tu? Nikajibiwa lazima awe mjumbe kanisani nikasema sawa hivyo nguruvi usiwe mnafiki unajua fika hela inayotoka serikali inafika kanisani kwani supply chain ya funding inaonekana wazi kwa mtu hata asiyesoma darasa hata moja kuwa beneficiary hapo ni kanisa.

Mnavyotoa ajira kwa wajumbe wa kanisa, watoto wakasomeshwa shule hizo huku wengine wachache wakipewa fursa hizo, the main beneficiary is church kwani wakilipwa mishahara wanakuja kuwa wakarimu katika kutoa michango kanisani, kuchangia elimu yao kanisani na pia kujenga kanisa kwa fedha zao. Waislamu remain in the dark with doom and gloom wengi wao wakibakia mafukara, hawana muelekeo wanashindwa hata kuchangia misikitini mwao. Waislamu wa sasa si wazamani hudanganyi mtu mzee Jenga hoja ya maana na sio kuleta hoja dhaifu.

Mohammed said yeye amefanya study kaleta findings zake na wewe fanya study leta findings zako. Umetolea mfano wa AMNUT katika ukombozi wa nchi hii na mbona kilikufa chama kile mapema wakati sababu unazijua kuwa kilionekana chama kile ni cha kidini. Labda nikuulize yale maandamano ya kanisa Bukoba na Moshi kupinga Tanzania kupewa uhuru wake mwaka 1961 unasemaje?
 
Kwa hiyo Waislam wazee walitambua kuwa si vema kuwabagua watu kwa misingi ya dini. Hi inaonyesha busara za hawa wazee kuwa shughuli za kudai uhuru zilikuwa jitihada za makundi mbali mbali ya jamii na si Waislam tuu kama inavyoonekana. Ni ushahidi kuwa Wazee walitambua mgawanyiko usingewafikisha mahali popote zaidi ya vita.

Sasa inashangaza miaka zaidi ya 60 bado hatuzioni busara za wazee waliotutangulia na tunadhani vurugu na migawanyiko ya kidini itatoa majibu ya matatizo yetu na kwamba hatuna sababu yoyote ya kuigawa jamii kama walivyokataa wazee wetu.

Pengine wengi wao hawakuwa na elimu lakini walikuwa na busara, sisi wengi wetu tuna elimu sijui kama tuna busara.
Hapa ndipo nauliza swali la uchokozi ' Kipi ni bora Elimu bila busara au Buasra bila elimu'.
Kisa cha AMNUT kama nilivyokisoma kwenye makala zako miaka zaidi 20 iliyopita hujakieleza kikamilifu.

Kuhusu swali la namba za mitihani, hakika umenifedhehesha sana Mohamed. Nina kumbu kumbu za JF, na nje ya JF ikiwa ni pamoja na makongamano, warsha , magazeti na maandiko yanayo kunukuu Mohamed Said ukisema kuwa dhulma katika elimu imefanyika sana na ni Marhum Kighoma Malima aliyebadili mwelekeo jambo lililosababisha achukiwe sana afanyiwe fitna sana hadi mauti yake. Haya ni maneno ya Mohamed Said .

Unaposema Wizara ya elimu itupe majibu, unakwepa ukweli kuwa umekuwa unahubiri, hadithia na kusimulia kitu usichokuwa na data au research juu yake. Ikifika hapo unatutia wasi wasi sana. Kwamba miaka zaidi ya 12 umekuwa unazungumzia dhulma za kiislam, dhulma ambayo wewe hujui ilianza lini. Mzee Said!! hili litakusumbua sana, kwasababu halihitaji maelezo kutoka Wizara ya elimu.

Mzee Said, kama unavyotaka historia iwekwe sawa, basi tusiwe sehemu ya kupotosha historia. Wewe unawajua vijana wa Warsha UDSM na ulikuwa sehemu ya MSAUD huhitaji wizara ukisadie kwasababu umejivunia sana research ya Warsha na kuinukuu mara nyingi sana. Kama hujui namba zilianza lini huna sababu ya kujivunia research isiyojitosheleza.

Hili la namba za mitihani unapaswa kuwaeleza wasomaji bila kificho ni lini namba zilianza kutumika!
Hakuna suala la wizara ya elimu, ni Mohamed Said, research ya Warsha na dhulma dhidi ya elimu.

MoU ipo na ukweli ni kwamba katiba imevunjwa ili kupendelea miradi ya kanisa...

Swala inafaidishaje ni very simple logic..ila kwakuwa una mawazo ya kupenda kupendelewa na huwezi kukataa ubaguzi unao kufaidisha wewe na kanisa lako...

JK amesema wao wameomba through MoU kwa hiyo wanapewa (uthibitisho no 1)

Makanisa hayajawahi kukataa kwamba wanapokea hiyo ruzuku toka 1992 (uthibitisho no2)

Nimefanya uchunguzi kuangalia hivi kabla ya 1992 wakristo walikuwana vyuo vikuu vingapi? (none) ( uthibitisho no 3) walitumia pesa za MoU ndipo walipoweza kujenga universities (pesa za umma sawa sawa na Richmond deal)

Tatizo la MoU
Hakuna goverment auditing mechanism kuhakikisha kwamba pesa hizo in fact zinatumika kwa ajili ya equal opportunity for all Tanzania kwasabb ni umma (uthibitisho no 4)

MoU vilevile ni ubaguzi ulio rasmi kuhakikisha rasilimali za umma zinafaidisha jamii moja..

Na hili ni bomu litalipuka tu iko siku
 
Mie naomba nikujibu hapa pekundu,

Unaposema hizo hela za MOU haziendi kanisani unataka vithibitisho nenda katika zile shule za makanisa jiulize ni kina nani wanaendesha shule hizo? Waanajirije wafanyakazi wao katika mahospitali na shule hizo? Ni kina nani majority wanasoma shule hizo? Criteria za kuchagua wanafunzi shule hizo zikoje? Unataka facts wakati unajua ni ukweli unachoelezwa huo ni unafiki.

Mie niliwahi kwenda kituo kimoja Msimbazi kufanya kazi fulani ya maendeleo nikakuta wafanyakazi ni masista wanafanya kazi ambazo wasiokuwa wakristu pia wanaweza kufanya nikauliza hizi kazi wanatangaza wapi na selection criteria inakuwaje kiutani tu? Nikajibiwa lazima awe mjumbe kanisani nikasema sawa hivyo nguruvi usiwe mnafiki unajua fika hela inayotoka serikali inafika kanisani kwani supply chain ya funding inaonekana wazi kwa mtu hata asiyesoma darasa hata moja kuwa beneficiary hapo ni kanisa.

Mnavyotoa ajira kwa wajumbe wa kanisa, watoto wakasomeshwa shule hizo huku wengine wachache wakipewa fursa hizo, the main beneficiary is church kwani wakilipwa mishahara wanakuja kuwa wakarimu katika kutoa michango kanisani, kuchangia elimu yao kanisani na pia kujenga kanisa kwa fedha zao. Waislamu remain in the dark with doom and gloom wengi wao wakibakia mafukara, hawana muelekeo wanashindwa hata kuchangia misikitini mwao. Waislamu wa sasa si wazamani hudanganyi mtu mzee Jenga hoja ya maana na sio kuleta hoja dhaifu.

Mohammed said yeye amefanya study kaleta findings zake na wewe fanya study leta findings zako. Umetolea mfano wa AMNUT katika ukombozi wa nchi hii na mbona kilikufa chama kile mapema wakati sababu unazijua kuwa kilionekana chama kile ni cha kidini. Labda nikuulize yale maandamano ya kanisa Bukoba na Moshi kupinga Tanzania kupewa uhuru wake mwaka 1961 unasemaje?

Mfano mwingine mkuu nimewahi kwenda muheza designated hospital...serikali inapeleka pesa nyingi hapo ukipiga hesabu hizo pesa zinatosha kujenga hospitali kubwa sana ya serikali na kuhudumia wananchi bila kuweka alama za msalaba kwenye hodi za wagonjwa..

Serikali inawalipa wafanykazi walioajiriwa na hospitali hiyo hata kama mechanism ya kuajiri iko determined na viongozi wa kanisa..utaona nafasi ya kazi kuipata muislam ni katika ule mgawo mdogo wa kuondoa aibu..

Serikali inawanunulia vifaa vya hospital (diagnosis equipments) x ray etc..

Pamoja na kupewa pesa za umma kufanya hivyo bado bei ya kuwepo hapo hospitalini ni kubwa kuliko hospitali ya serikali??

Hivi najiuliza kama mtu unapewa all that money unashindwa nini kutoa service nzuri sana besides kwanini serikali isijenga hospitali zake?

Wamebanwa na MoU..."one aspect inasema.." kutakapokuwepo hospitali ya kanisa serikali isaidiea kuimarisha badala ya kujenga..."

Not yet uhuru for muslims in Tanzania
 
Una mfahamu Mohammed Said au una msikia tu?
Jamaa anatetea msimamo wake wa kidini kama nini vile.
Utabishana naye page na page kwa vile kwake uhuru ni uhuru wa uislamu dhidi ya dini nyingine na si vinginevyo.
Kama humjui mPM.
Kama ndivyo, basi ni mtu hatari kwa TZ!
 
Back
Top Bottom