Diehard
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 467
- 347
Bi Faiza,
Mungu akujaze kheri.
Napata faraja ninaposoma fikra kama hizo zako.
Historia ya Majimaji na makumbusho yake Mahenge, Songea
yapo katika mtihani mkubwa.
Hata yale majina ya askari wa Majimaji hayatakiwi kuwapo kwa
kuwa tu jeshi zima lina majina ya Waislam.
Majina ya mashujaa wale yanayoashiria Uislam wao yameondolewa.
Songea Mbano aliyekuwa amiri jeshi dhidi ya Wajerumani jina lake
ni Ali Songea Mbano.
Jina la Ali halitakiwi na ni hivyo hivyo kwa kila askari majina yalowekwa
ni ya Kikristo ati walibatizwa kabla ya kunyongwa.
Hii ni dhulma na upotoshaji mkubwa.
Soma hii kutoka "Christian Hegemony and the Rise of Muslim Militancy in Tanzania Mainland":
[1]Maji Maji Museum in Songea which has been greatlydesecrated removing all signs of Muslim symbols during the Maji Maji War withGermans. The Maji Maji Museum at Peramiho under the Catholic Church has closedits doors to young inqusitive Muslims for fear of criticism for distorting history. AllMuslim symbols in Maji Maji War against Germans have been obliterated in theMaji Maji Museum.
[1]In all historical references to Maji Maji War hero and Chief of WangoniAli Songea Mbano, his Muslim name Ali would be omitted and he would bereferred to as Songea Mbano.
Mohamed
Hivi Songea Mbano ni jina la kikristo au ni jina la kimila za wangoni wa Songea??????????