CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,253
- 12,869
Wakuu naombeni mapendekezo yenu kuhusu majina ya watoto pacha wakike mmoja na wakiume mmoja. Likianzia na herufi A nitapenda zaidi. Kichwani nafikiria kuwapa jina la Angel na Angelo, napenda kupata majina mengine zaidi. Yawe majina ya Kikristo.
Akinyi na Akeyo
Atis na Otis