Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,918
Siku chache nilipost natafuta mtu wa kunizalia. Uzi wenyewe huu: Natafuta mwanamke wa kunizalia
Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.
Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.
Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.
Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.
Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.
Nifanyaje?
Basi baada ya kuona watu wengi wanaokuja wako kimaslahi nikaamua nirudi kwene list ya ma ex zangu.
Kuna huyu demu nimekuaga nae kitambo ni muislam. Ni wale hampo wapenzi lakini ukitaka kula unajilia. Ye yupo tayari kunizalia muda wowote na anajua nimeoa na sitamuoa lakini hana shida ilimradi nitunze watoto.
Shida yangu tuko dini tofauti naogopa wanangu atawalea kimaadili ya kiislam au kuwafanya waislam kama tujuavyo hawa wenzetu wanavojua kumuingia mtu kichwani.
Aisee nina hofu sana ingawa napenda nizae nae. Kwenye ukoo wetu hamna muislam hata mmoja.
Mi sio mbaguzi lakini sitaki kuleta mgawanyiko kwene familia yangu au kuingiza kitu ambacho kina tamaduni, na imanI tofauti kwene ukoo wetu.
Tukumbuke mtoto hulelewa na mama zaidi. YaanI mama atachomlisha mwanao kichwani ndio anakua nacho.
Nifanyaje?