Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 811
Ingawa inasikitisha wakati wowote uhai wa binadamu unapotolewa, lakini wana JF kuna umuhimu wa kutokukimbilia conclusion ambazo zinaweza kupeleka nchi kwenye machafuko.
Ukisoma hiyo habari vizuri, utaona mwandishi kaweka angalizo la Taarifa za awali...
Halafu akaja kusema watoto wa diwani ambao ni maarufu kwa ujambazi...
Tukiweka ushabiki wa vyama pembeni. Pamoja na vile mwandishi anavyopenda wasomaji wake walitazame.
Inawezekana taarifa isiwe sahihi, inawezekana ikawa imeongezwa chumvi ili ikamilishe malengo ya kisiasa au
inaweza kuwa ni tukio ambalo ni purely la uhalifu kama uhalifu mwingine wowote. Kwani naamini ili mtu uwe
maarufu kwa ujambazi lazima utakua na historia ya matukio ya kutisha siku za nyuma.
Ni vyema chombo huru kifuatilie na kutoa taarifa iliyo kamili, kuliko vyama vya siasa kuingilia uchunguzi.
This is lazy thinking Alwatan. Funguka akilini mwako. Majambazi wanauwaga watu wasio na mali??/ What for?? Majambazi wangevamia kwenye hotel ya CHADEMA au hata ya CCM na kuiba hela za kampeni etc. BUT This is Planned Murder