Emmadogo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,126
- 3,751
Uliamua kuoa mwenyewe au ulifuata maneno ya watu ya mbona mpk Leo hujaona!! Ukaamua kuoa golikipa kufurahisha watu!! Jamani jiandaeni kabla ya kuingia kifungoni coz at the end of the day ni msalaba wako sio wa hao waliokushauri . anyway yashatokea we mtafutie bby kazi msaidiane