Zasasule
JF-Expert Member
- Aug 12, 2009
- 1,001
- 103
This topic realy touchd my heart. usikate tamaa.mbona unapata good salary.kuna wa2 wanalipwa chini saana makazini.Try to do survey n c.pangilia matumizi yako.tafuta mbinu za kuzalisha pesa yako na cyo kuiweka ndani 2...ucwaze saana,utapata stress..wish u the best.Mungu atakujaalia wepec ishallah.