Maina Owino wa CCM UK awashukia wabunge wa CHADEMA juu ya kumsusia JK

hivi maino ni kiumbe gani mpaka tamko lake lipewe 'habari'!!!! Watanzania kwa porojo, sina hamu!!!

dondosha tone la maji kwenye kisima kilichotulia uone mawimbi yake yanavyotapakaa.

My take, read between the lines you will understand. There are more things than you may thought "have a break, have a kit kat"
 
He is one of the most corrupt DARUSO fisadis. Him and his cronies Maimu and Mafuru introduced the cult of selling rooms at UDSM, of course their chaperone being Mrs/Ms bali

Mawino - CCM Pro*****e in UK
Unaweza kueleza kuhusu the above quote , kabla huja qualify hata kushauri Wabunge wa CHADEMA na Watanzania waliowapigia kura.:angry:
 
[/QUOTE]Siasa za kutafuta masifa zimepitwa na wakati.
Ukisusa wenzio wala.[/QUOTE]

Hamwoni aibu kula uchafu wa mafisadi!! Hamna hata aibu, looooo!! Endeleeni kula 'vya moto'. Lazima vitawatokea puani ifikapo 2015.
 
tarehe thu nov 18, 09:28:00 pm, mtoa maoni: Maina ang'iela owino

chadema mtindo huu wa siasa za shangwe umepitwa na wakati hasa ktk taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki demokrasia isiyo na nidhamu hasa kwa watanzania waliowatuma kuwawakilisha bungeni.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye kodi zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali itikadi ya vyama, sikutegemea hata wewe zitto, halima mdee,mnyika na vincent nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na rais kikwete kwa kuondika nje ya bunge lao tukufu.hii ni haki yenye aibu.

Siamini kama mlimshirikisha mhe. Mabere marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya bunge wakati linafunguliwa rasmi.haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa serikali ya chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai uhuru. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

Maina ang'iela owino.
(source:michuzi blogspot)
\

hakuna cha maana zaidi ya kuonyesha mahaba yake kwa sisiemu.....
 
mtachonga sana. Chadema wamechemsha kususia ufunguzi wa mhimili wa serikali. Siasa za kutafuta masifa zimepitwa na wakati.
Ukisusa wenzio wala. Kazi ipo mpaka mueleweke. Eti ni chama cha Democracy. Ironic name. Watanzania kama walijua vile. To take power of the country will take years. Tumejua kumbe Marando ni mtaalum wa kupotosha Chama. Eti walikaa kujadili kama kisheria kuna Efect yoyote. Wakasahau effect kwa watanzani. Devil Pary Chadema. God is great kutuepusha na utoto huu.

Punguza kidogo JAZBA ndugu, kwa hizo alama zako 18 tu tayari umeanza kuwamwagia mchanga wenyeji tuliowakuta humu wenye poits 15,000 huko hivi kweli huoni vibaya hivyo.

Hoja ni hoja na ikiwa na NGUVU basi itajitetea yenyewe to wala mtu haitaji kuipa tena msaada ili ipate kusimama. Kama vipi, basi kapumzike kwanza maana siyo peke yako uliyechanganyikiwa kwa wizi huu mkubwa. Wote wezi wamechanganyikiwa, walioibiwa hivo hivo na wapiga kura pia. Pole sana lakini.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

yaani huyu jamaa kashindwa kuikemea NEC kwa mambo walofanya leo anakuja kuwashauri Chadema, ataona aibu siku ambayo mabadiliko ya katiba yatakapokuja kwa msukumo toka Chadema na watu wenye mapenzi mema na nchi hii,
anyway nikupe hongera kwa kutoa mtazamo wako, lakini uko wrong
 
Unabeba mabox ulaya huna lolote unalolijua wewe.kama kwei ni mtanzania wewe unapajua KOGAJA? AMA SOKO LA BORO, INGIRI JUU? hivo vijiji vina maji,barabara na shule? mana viko kwenu hivyo. usifurahishe majizi kwa kuwa na upeo mdogo!! huna maaana
 
kazi ipo. chadema finished.
Pole Zuhura kwa hili! Huna jipya la kudiscuss jukwaani bora ukae kimya ka mie! Kama kutoka kwa Chadema hakuna athari ya nini mnalalama? Si mwende zenu mkawatetee wana ccm wenzenu kwenye bunge la ccm, na accomplice wenu CUF na wengineo? Nawasifu Chadema hawakupoteza muda kusikiza maneno yale yale kila siku except venue na date. Full stop
 
wakati mwingine watu kama Maina siyo hata wa kupewa shavu mahali kama hapa,maana hoja yake haina mshiko.Maina is just a crap na opportunist basi hana sifa wala uzalendo wa kuropoka anayoyaropoka.
 
Hivi 'wa CCM UK' ndio kidudumtu gani??

Inaonesha hii njemba bado ushamba wa kule Mugumu sijui Rorya bado haujamtoka..
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Wakati mwingine watu mfanye analysis ya kina kabla ya kuzungumza. Raisi alienda kufungua bunge na hakukuwa na mjadala wowote wenye manufaa kwa wananchi. Kuonyesha kuwa ni kweli angalia alichozungumza, yale yale aliyofanya miaka 5, what for? tunataka aweke concrete plans for the future not what he did in the past. Atueleze namna ya kupambana na rushwa inayozidi kushika hatamu kila kona ya nchi na sio vitu vidogo vidogo.

CHADEMA hawajasema wanasusia mijadala ya Bunge, wamesusia hotuba ya Raisi ya kufungua bunge kwa sababu amechaguliwa kwa uchaguzi usiokuwa halali, period. Historia inatufundisha vyama tawala africa huwa haviachii madaraka kwa njia za kidemokrasia na hapa kwetu hili limedhihirika wazi. Muwe mnafuatilia habari nchi za wenzenu kabla ya kuropoka humu kisa mnafaidika na mfumo huu wa kinyonyaji uliopo.

Nchi hii itakombolewa na wenye moyo na nia safi, iwe leo au kesho ukombozi utakuja tu. CCM wanataka watu waende barabarani wapate kisingizio, hapo wamepotoka maana watanzania wameeamka, wanajua walivyoiweka amani ya nchii hii rehani, lakini njia za amani zitatumika kwa kila namna, na watadhalilika subiri tu.
 
Back
Top Bottom