ni katibu mkuu wa zamani wa darusa pale mlimani.
Kumbukumbu zinaonyesha ya kwamba alisaliti sana wanafunzi wenziye pale na wengi kufukuzwa chuo miaka hiyo kwa kupanwa kichwani na u-ccm. president eng maimu, rais aliyekuja baada ya kifaa mh kitila mkumbo, ndiye alikua bosi wake. Matatizo ya vyumba bwenini kupigwa mnada usiseme. Baada ya hapo, alitoka moja kwa moja chuoni na kwenda kugombea ubunge kwao huko.
huyu bwana, mpinzani wake jimboni mara mara huko alikua ni mzee prof sarungi ambaye inasemekana ilibidi amuweke kwenye pipa aruke huko maughaibuni kusaka elimu zaidi. Japo aliahidiwa na huyu mfadhili wake kwamba kwa jinsi uzee unavyomnyemelea kwa kasi mno, akampishe tu kwa wakati huo na baadaye atarajie kupigwa tafu kuukwa ubunge sijui wa jimbo gani vile.
Kwa mara ya mwisho alisemekana kuchakachuliwa kwenye uteuzi na badala yake kulipwa scholarship aruke nayo kwa mama thatcher. Labda baada ya kuosha sana macho huko kwa wenzetu huenda kabadilika, huwezi kujua ...
Hivyo kauli yake hiyo hapo juu, kwa wanaomfahamu vema, wala isingekua vema zaidi ya hapo.
who the hell is maina a kikuyu or a luo? Mr omera this is tanzania wewe endeleea kunywa chang'aa afterall you didn't vote so leave us alone she..........z type.
she's ignorant of the current home politics, a buffoon, boot licker and a court jester of the sultanate of kikwete and doesn't even qualify for a post of a ten cell leader, no wonder she failed to qualify in ccm's preliminary votes.
God bless this political prostitute.
thanks maina, tumekusiki kwamba upo uk na ni wa ccm... Unfortunately you might think you are important... Well, not at all
we dont care kama ni wa uk au ukeni, we would bother kama ni jaluo la kenya au tz and most important those who know you have said it all
i advice that you consider youself very lucky and blessed
kama ni statement basi wabunge wa chadema washa make statement kubwa saana tena.. Ila nafkiri vikao vijavyo wasitoke nnje ya bunge kwa wananchi hawawajawatuma kwa kazi hiyo. Wakati wao wakiwa nje kule ndani kunaweza kukafywa maamuzi ya upande mmoja ambayo yawaathiri wananchi waliowatuma katika majimbo yetu. Hii statement moja inatosha mlioifanya hadi ikatangwazwa katika vyombo vya habari vya kimataifa inatosha. Ni wakati wa kazi sasa tumikieni wananchi wenu majimboni
she's ignorant of the current home politics, a buffoon, boot licker and a court jester of the sultanate of kikwete and doesn't even qualify for a post of a ten cell leader, no wonder she failed to qualify in ccm's preliminary votes.
God bless this political prostitute.
thanks maina, tumekusiki kwamba upo uk na ni wa ccm... Unfortunately you might think you are important... Well, not at all
we dont care kama ni wa uk au ukeni, we wouldnt bother kama ni jaluo la kenya au tz and most important those who know you have said it all
i advice that you consider youself very lucky and blessed