GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,641
- 109,014
Hivi ule Uzi wangu GENTAMYCINE niliouandika hapa JamiiForums mapema mwaka huu hamkuuelewa au ni Jeuri na Dharau zenu tu?
Nilisema kuwa CHADEMA na Watu wengine acheni Kuhangaika na hii Kesi ya hawa Wabunge wenu Waasi 19 kwani hakuna ambacho Kitabadilika na wataendelea kuwa Wabunge hadi June 2025.
Hivi mna Akili kweli nyie? Yaani Serikali na Bunge linatumia uwepo Wao Wabunge hao ( akina Halima Mdee ) ili kuonyesha Jumuiya za Kimataifa kuwa Tanzania kuna Demokrasia ya Kweli ili Mama yenu aaminike na apate Pesa zao za Misaada halafu nyie mnataka Wasiwepo?
Niliwaambia kitakachofanyika katika hiyo Kesi yenu nao ni Hukumu za Kutatanisha kutolewa na Mahakimu na mkikata Rufaa kitakachofanywa ni Kesi hiyo ya Rufaa kupigwa Kalenda ya kati ya Miezi Sita hadi hata Mwaka ili mradi tu wafike / waende nao hadi June 2025 wakati Bunge la JMT litakapovunjwa rasmi kujiandaa na Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2925.
CHADEMA ina maana Siku hizi hamna Watu wenye Akili Kubwa ambao walitakiwa walijue hili, waachane nalo na Wajikite zaidi Kukiimarisha Chama chenu ambacho kwa sasa Kimefifia Kiumaarufu na kimeshapoteza hata Dira ya Kiushindani ya Kisera na Kisiasa nchini?
Endeleeni tu Kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums, ila mngekuwa mnasikia Ushauri wangu Kwenu wa mara kwa mara hapa nina uhakika wa 100% kuwa hivi sasa mngekuwa mbali mno Kisiasa na Kidemokrasia.
Achaneni na hiyo Kesi ili mjijenge Ok?
Nilisema kuwa CHADEMA na Watu wengine acheni Kuhangaika na hii Kesi ya hawa Wabunge wenu Waasi 19 kwani hakuna ambacho Kitabadilika na wataendelea kuwa Wabunge hadi June 2025.
Hivi mna Akili kweli nyie? Yaani Serikali na Bunge linatumia uwepo Wao Wabunge hao ( akina Halima Mdee ) ili kuonyesha Jumuiya za Kimataifa kuwa Tanzania kuna Demokrasia ya Kweli ili Mama yenu aaminike na apate Pesa zao za Misaada halafu nyie mnataka Wasiwepo?
Niliwaambia kitakachofanyika katika hiyo Kesi yenu nao ni Hukumu za Kutatanisha kutolewa na Mahakimu na mkikata Rufaa kitakachofanywa ni Kesi hiyo ya Rufaa kupigwa Kalenda ya kati ya Miezi Sita hadi hata Mwaka ili mradi tu wafike / waende nao hadi June 2025 wakati Bunge la JMT litakapovunjwa rasmi kujiandaa na Kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2925.
CHADEMA ina maana Siku hizi hamna Watu wenye Akili Kubwa ambao walitakiwa walijue hili, waachane nalo na Wajikite zaidi Kukiimarisha Chama chenu ambacho kwa sasa Kimefifia Kiumaarufu na kimeshapoteza hata Dira ya Kiushindani ya Kisera na Kisiasa nchini?
Endeleeni tu Kunichukulia poa GENTAMYCINE hapa JamiiForums, ila mngekuwa mnasikia Ushauri wangu Kwenu wa mara kwa mara hapa nina uhakika wa 100% kuwa hivi sasa mngekuwa mbali mno Kisiasa na Kidemokrasia.
Achaneni na hiyo Kesi ili mjijenge Ok?