Maina Owino wa CCM UK awashukia wabunge wa CHADEMA juu ya kumsusia JK

Hivi bunge lisiloleta maendeleo kwa wananchi lina utukufu gani? bunge ambalo linaketi kama kikao cha CCM au kikao cha walevi wasiotaka kupingwa, hata kwa hoja?

Hivi ni mara ngapi tunashuhudia bunge likiwa tupu kabisa au likiwa na wabunge wanaouchapa usingizi baada ya kazi nzito ya kutumbua maraha usiku at an expense of our kodiz?

Then fools like Maina hawaoni hili wanakuja kuturembulia macho humu na posts zao zisizo na kichwa wala miguu..pheeeuw.
 
Ukisikia kauli kama hizo za akina Owino sijui Awina unajiuliza kama kulikuwepo na upigaji kura. Kama mtu ulijiandikisha kupiga kura kihalali, ukapiga kura kihalali kisha kura yako ikaibiwa lazima utakuwa na machungu kwenye haki yako kuibiwa. Kama huna hiyo sense basi huenda hukupiga kura au una support hayo yanayofanywa na JK pamoja na genge lake.
 
Owino sio mtanzania ndio maana hana uchungu na wananchi, mtu kuja? Akili finyu sana huyo, wabunge wa chadema msibabaishwe na kijitu kama hicho, halina mwelekeo wala akili timamu

uyu jamaa si mkenya aliyekimbilia dar kusoma? Nasikia ni mkimbizi USA anakaa mitaa ya wazibua mitaro! Uyu mkimbizi anataka kututibua wabongo si atulie uko na ka full sikolashipu alikopata? Sie ndo watz bwn,hatutaki wakenya kuingilia maamuzi ya watz,kaungane na musyoka mkituibie mt.kilimanjaro! Hamnazo. Otieno,oh sori owino!
 
@Maina Owino, Kwani nani kakuambia kuwa ile siku wabunge walikua wanafanya kazi walizotumwa na wananchi? Ebu jaribu kufikiria walau kidogo.... Sisi wapiga kura hatukuwatumwa wabunge wetu waende kumsikiliza JK bungeni, kazi tuliyowatuma tunaamini wataifanya... SUbiri, utaona moto wake siku c nyingi. Na kama upo nje nchi, unategemea kuja kupata ubunge kwa kupitia CCM hesabu imekula kwako... TZ ya leo imebadilika,watu wanataka fikira mpya sio kama hizo zako.
 
Watu wengine nawashangaa kweli, hivi walitaka maelewano ya namna gani? Kisheria haturuhusiwoi kuhoji mahakamani. Kwenda msituni ni uhaini, kuingia barabarani na kuitisha maandamano si ustaarabu, sasa walitaka wabunge we2 wa ukweli wafanyeje? Hii ndo shida ya people who are myopic. Uko Uingereza hujajua namna ya kudai haki bado? Tatizo la wa2 mliopelekwa majuu kwa pesa za kifisadi na hii imewafanya mfumbwe macho na kutoona mnayopaswa kuyaona! Subiri tu viti maalum au Uteuliwe!
 
dondosha tone la maji kwenye kisima kilichotulia uone mawimbi yake yanavyotapakaa.

My take, read between the lines you will understand. There are more things than you may thought "have a break, have a kit kat"


Kiswahili hujui, kingereza taabu, fikra finyu................. ungekaa kimya tusingegundua matatizo yote haya. Siasa huziwezi.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Wewe unaongea kama uliyeridhika na umasikini wako wa kimawazo kwa nini hukumambia Kikwete na Nec unasubiri Chadema wamsusie Kikwete ndipo uone kuna kosa? Mbona swala hili limewauma sana Wana CCM? Na mbona nyinyi hamuangali chanzo ambacho ni Ccm na na Nec kuiba kura za wananchi? Mnakimbilia kuwashutumu tu Chadema? Anzeni kuishutumu Nec na Ccm kwanza. Kisha mje kwa Chadema.
 
Anaongea kitu gani huyu owino" huyu si nikibaraka wa ccm!Tena ni mwenyekiti wa tawi la ccm huko Reading na wala sio london..
 
Nawashukuru CHADEMA kwa changamoto yao katika siasa, maana kwa kufanya hivyo wamefungua hoja nyingi za watu zinazoonyesha ufahamu wao wa demokrasia. Inaelekea watu wengi, kama huyu mtoa maoni, haelewi mchakato mzima wa demokrasia unakwendaje. Watu wengi bado wanatawaliwa na fikra za udikteta wa chama kimoja, kutukuza viongozi na utamaduni wa 'ndio mzee'. Nina hakika wakati utafika ambapo sote tutakuwa tunaielewa na kuitekeleza demokrasia halisi kwa maendeleo ya nchi yetu na wananchi wote kwa ujumla.

Ps. Maandishi mekundu ni hoja zake tata ambazo angezitolea ufafanuzi.

Jamaa ananifurahisha kweli eti Chadema wameasisi mkakati ulioshindwa kabla haujaanza, da huyu kweli yuko Uingereza, amuulize JK alivyohamaki na kukosa mood alipoona jamaa wanatoka. Leo nimeamini kumbe unaweza kuishi dunia ya kwanza ukabaki na upuuzi wako wa dunia ya tatu.Pole Owino, subiri wakupe cheo wakiwa wanakijenga upya chama chao baada ya kuangushwa 2015
 
Majina yote mawili sounds like a kikuyu person,kama sio basi ana origin ya uko.
Tunaomba utuache na mstakabali wa nchi yetu unaongelea NIDHAMU kwenye suala la wizi kama unanufaika na serikali ya CCM kaa kimyaa.
UKkO KWENU KENYA MBONA MLIZIPIGA SEMBUSE SISI KUTOKA NJE
 
Huyu kalumekenge kweli mlamba makalio..

Vidonge vyenyewe vi wapi? Kama hawa ndio wasomi wenyewe wa kuwategemea kweli tunalo.
 
Hivi bunge lisiloleta maendeleo kwa wananchi lina utukufu gani? bunge ambalo linaketi kama kikao cha CCM au kikao cha walevi wasiotaka kupingwa, hata kwa hoja?

Hivi ni mara ngapi tunashuhudia bunge likiwa tupu kabisa au likiwa na wabunge wanaouchapa usingizi baada ya kazi nzito ya kutumbua maraha usiku at an expense of our kodiz?

Then fools like Maina hawaoni hili wanakuja kuturembulia macho humu na posts zao zisizo na kichwa wala miguu..pheeeuw.
Mkuu nilitaka nikungongee Thanks zaidi ya mbili imeshindikana! huwezi ukasajiliwa na ccm ukawasaidie mkuu sababu usajili wao ni wavilaza tuu!
 
Eti Maina Owino wa ccm uk, what is the point here? kuwa uk au kuwa maina owino. maina owino ni nani, just a certain bogus aliyeshindwa kumpiku profesa sarungi anajipendekeza kupata viti maalumu.aaaaaagh
 
we dont need watu kama hawa tena nigefurahi sana kama huyu mtu (whatever she is) angehamia kabisa huko huko UK na asirudi kwanza kura hakupiga... Na mimi kama mtanzania niliopiga kura na kuwatuma Chadema bungeni ninaunga mkono kwa walichofanya..... Pili sijui kama huyu dada ni ignorant au anajifanya chizi, Chadema haitagomea Bunge iligomea Hotuba ya mtu ambayo inaamini kuwa uchaguzi wake haukuwa halali therefore evertime huyu bwana akihutubia jamaa hawamsikiliza and for that nawaunga mkono...... We dada i will be very happy kama utachukua uraia wa hukohuko i think we need less people like you here

Muombe radhi Maina ni 'He' sio 'She'.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Thanx Maina , ukweli umeusema. Tunasema 'SEMA UKWELI JAPOKUWA NI MCHUNGU' ujumbe umefika japokuwa wengine inawauma sana kusikia haya maneno yako yaliyojaa hekima na busara, Thanx !
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

hii ndio aina ya watanzania walioko ughaibuni,hawana uzalendo wala mchango wowote kwa taifa,jifunzeni kwa wenzenu kama wachina.kwa sababu mmetutosa kamwe msikanyage bongo tuacheni wapenda nchi tuirekebishe nachelea kusema HAPANA KWA DUAL CITIZENSHIP!"YOU ARE EITHER WITH US OR AGAINST US"
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom