Mahari bei gani

Wanawake inabidi wakubali moja.

A.Kuendelea kutolewa mahari na kuwa subservient kwa wanaume (wao wanaolewa, wanatolewa mahari, hawawezi kuwa sawa na wanaume).

B.Kukataa mahari na kudai usawa na wanaume.

Hawawezi kutaka vyote viwili kwa pamoja, la sivyo mahari itolewe na pande zote, kuwe na exchange of gifts tu.

Kwa nini muwafunge wanawake katika options hizo mbili wakati kuna option ya tatu ambayo wanaweza kwenda nayo?

What about wanawake kuendelea kudai mahari ambayo si mahari ya mali.

Ukidaiwa shairi au insha utasema mwanamke aendelee kuwa subservient kwa mwanamme kisa kaandikiwa shairi?
 
What about wanawake kuendelea kudai mahari ambayo si mahari ya mali.

Ukidaiwa shairi au insha utasema mwanamke aendelee kuwa subservient kwa mwanamme kisa kaandikiwa shairi?

Wao wadai kupewa halafu wao watatoa nini? Penzi la milele?
 
Kwa nini muwafunge wanawake katika options hizo mbili wakati kuna option ya tatu ambayo wanaweza kwenda nayo?

What about wanawake kuendelea kudai mahari ambayo si mahari ya mali.

Ukidaiwa shairi au insha utasema mwanamke aendelee kuwa subservient kwa mwanamme kisa kaandikiwa shairi?

Suala si nini kinadaiwa, bali nani ana haki ya kudai.

As long as mwanamke ana haki ya kumdai mwanamme bila ya mwanamme kuwa na haki ya kumdai mwanamke, mwanamke kashachukua bila mwanamme kuchukua.Itabidi mwanamme naye atake kusawazisha.

Ndipo hapo mtu anaanza "Mwanamke mwenyewe nimekutungia shairi, nichotee maji huko"

Tayari mtu kaona ana haki ya kumtuma mwenzake for the price of a song.

Swali ni, kwa nini mwanamke atake kutungiwa shairi yeye?

Kuna wengine unaweza kuwapa choice ya mahari ya shairi na milioni nne wakaona milioni nne rahisi hivoo.
 
Tatizo la kweli hapa ni kwamba ndoa imekuwa over institutionalized.

Na kama kitu chochote kinachokuwa over institutionalized, inapoteza natural flavor, inaongeza bureaucracy.

Na kama vitu vingi vinavyoongeza bureaucracy, inatoa mianya ya corruption.

Mojawapo ndo hii ya mtu kujipangia mahari mwenyewe bila hata breakdown.

Milioni nne wewe bikira wa miaka 18 mwenye degree ya uchumi na ujuaye mila zenu zote?
 
Suala si nini kinadaiwa, bali nani ana haki ya kudai.

As long as mwanamke ana haki ya kumdai mwanamme bila ya mwanamme kuwa na haki ya kumdai mwanamke, mwanamke kashachukua bila mwanamme kuchukua.Itabidi mwanamme naye atake kusawazisha.

Ndipo hapo mtu anaanza "Mwanamke mwenyewe nimekutungia shairi, nichotee maji huko"

Tayari mtu kaona ana haki ya kumtuma mwenzake for the price of a song.

Swali ni, kwa nini mwanamke atake kutungiwa shairi yeye?

Kuna wengine unaweza kuwapa choice ya mahari ya shairi na milioni nne wakaona milioni nne rahisi hivoo.

Mwacha asili kafiri. Unazungumzia mwanamke huyo wa kupewa milioni nne labda awe anajua mila na maadili, sasa moja ya mila ndo hiyo. Mwanamke kupewa haki ya kudai mahari.

Mwanamke na mwanamme si sawa, wewe mwanamme umepewa haki ya kuwa kiongozi wa familia. Au na hiyo hamuitaki?
 
Tatizo la kweli hapa ni kwamba ndoa imekuwa over institutionalized.

Not only that, but also commercialized. It has become an opportunity for people to make money.

Angalia tu hata michango ya harusi. Hupewi mwaliko kama hujatoa mchango. Na michango yenyewe inawekewa minimum amount....
 
Not only that, but also commercialized. It has become an opportunity for people to make money.

Angalia tu hata michango ya harusi. Hupewi mwaliko kama hujatoa mchango. Na michango yenyewe inawekewa minimum amount....

Usawa huu hamna kuoa babake.
 
wana Jf si kama siwezi afford that money ila nilikua naona kiasi ni kikubwa kwa sababu nilishahudhulia harusi ya rafiki yangu miaka kama saba hivi jamaa alioa kwa tsh 70000!!sasa nikaona labda mahari inakua kubwa kutokana na Elimu ya muolewaji?
 
Mwacha asili kafiri. Unazungumzia mwanamke huyo wa kupewa milioni nne labda awe anajua mila na maadili, sasa moja ya mila ndo hiyo. Mwanamke kupewa haki ya kudai mahari.

Mwanamke na mwanamme si sawa, wewe mwanamme umepewa haki ya kuwa kiongozi wa familia. Au na hiyo hamuitaki?

Hapana,

Moja ya mila ni kwamba ukitaka kuoa mambo yote yanapitia kwa washenga.

Kikwelikweli kwa utamaduni wetu hata hutakiwi kumjua kwa sana personally mke mtarajiwa, kuna watu maalum kazi yao kumchunguza na ku negotiate mahari.

Sio siku hizi watu mshakaa, mshatiana mimba, mshazichoropoa (ashakum, ndo ukweli wenyewe), leo mnaenda kuulizana mahari?

Au binti hata litmus test ya Tantawi hawezi kupita hana hata haya anadai mahari na yeye!

La!
 
Tatizo la kweli hapa ni kwamba ndoa imekuwa over institutionalized.

Na kama kitu chochote kinachokuwa over institutionalized, inapoteza natural flavor, inaongeza bureaucracy.

Na kama vitu vingi vinavyoongeza bureaucracy, inatoa mianya ya corruption.

Mojawapo ndo hii ya mtu kujipangia mahari mwenyewe bila hata breakdown.

Milioni nne wewe bikira wa miaka 18 mwenye degree ya uchumi na ujuaye mila zenu zote?

Kwa hiyo ndo unataka kusema yupo mwenye haki ya kudai milioni nne?

Nakubaliana na wewe kuwa baadhi ya watu wanatumia mwanya wa mahari kujinufaisha lakini haina maana kuwa mila hiyo ni mbaya moja kwa moja.

Wanaofanya mahari kwa kiasi, hawana kosa hata moja. Ni njia moja wapo nzuri ya kukutana familia mbili mkajuana walau kwa undani kidogo kabla watoto wenu hawajaanza maisha yao pamoja.

Hata mimi ntahama kwetu (kwanza ntakuwa nilishahama zamani) na kuacha wazazi wangu, niwe wako wa milele daima. Haba?

Tunahamia wapi? Kwako au kwangu? Nani head of the family?
 
wana Jf si kama siwezi afford that money ila nilikua naona kiasi ni kikubwa kwa sababu nilishahudhulia harusi ya rafiki yangu miaka kama saba hivi jamaa alioa kwa tsh 70000!!sasa nikaona labda mahari inakua kubwa kutokana na Elimu ya muolewaji?

Mahari si lazima uimalize, ulizia kabila lao mila zikoje.

Unaweza kutoa "kishikia mke" ukachukua mke wako, mahari iliyobakia ukaweka kwenye "college fund" ya wanenu.Nyingine utawafadhili wazee vitu vidogovidogo over the years ambayo itakuja kuwa zaidi ya mahari.

Pengine unatajiwa kupimwa uanaume wako na nia tu.

Kutishika kwa kitu kama bei wakati hujaanza ku bargain si biashara.


Yeah, biashara, maana ishakuwa biashara siku hizi.
 
Kwa hiyo ndo unataka kusema yupo mwenye haki ya kudai milioni nne?

Nakubaliana na wewe kuwa baadhi ya watu wanatumia mwanya wa mahari kujinufaisha lakini haina maana kuwa mila hiyo ni mbaya moja kwa moja.

Wanaofanya mahari kwa kiasi, hawana kosa hata moja. Ni njia moja wapo nzuri ya kukutana familia mbili mkajuana walau kwa undani kidogo kabla watoto wenu hawajaanza maisha yao pamoja.



Tunahamia wapi? Kwako au kwangu? Nani head of the family?

Mimi naamini katika soko huria.

So as long as tunakubaliana ndoa ni biashara hata mtu akidai ufalme wote wa enzi ya Iskander, mpaka kwa ma Mogul huko, sawa tu.

Ila hapo ndo utumwa unapoanzia, no doubt about that.
 
Sasa uwezo unao, tatizo ni nini?

Punguzeni ubahili. Princess wa Spain aliutoa mji mzima wa Bombay kwa Mfalme wa Uingereza kama mahari, itakuwa milioni nne hata gari hununui!

Point inabidi ajitutumue but kama zipo vinginevyo ni nyingi sana kama ameanza life muda mfupi maana kuzichanga mpaka zifike ni kazi maana zikifika 2 million tatizo linakuja unapunguza laki tatu, Tupo wazee wa vimeo, hapo unapata gari moja na bodaboda
 
Hivi siku hizi mahari ipo? Kwa hakika hakuna anayeweza kulipa malezi na elimu kwa binti yangu hivyo kwangu mahari is a big no as it is with the case of Kitchen Party. Malezi yanayozingatia imani yangu ya dini yanatosha kabisa kumfanya binti awe mwasilifu na awe na familia bora kama mama yake. Ndiyo maana inapendeza wazazi tuwe mifano kwa watoto wetu na wakikua wataishi vizuri. Ndiyo imani zangu mbili za mahari and the so called kitchen party na bado hazijasaidia maana ndoa za siku hizi kaputi tu.
 
Back
Top Bottom