Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Hapana,
Moja ya mila ni kwamba ukitaka kuoa mambo yote yanapitia kwa washenga.
Kikwelikweli kwa utamaduni wetu hata hutakiwi kumjua kwa sana personally mke mtarajiwa, kuna watu maalum kazi yao kumchunguza na ku negotiate mahari.
Sio siku hizi watu mshakaa, mshatiana mimba, mshazichoropoa (ashakum, ndo ukweli wenyewe), leo mnaenda kuulizana mahari?
Au binti hata litmus test ya Tantawi hawezi kupita hana hata haya anadai mahari na yeye!
La!
Hahaha hivi hao wanawake nyie wote mnawaona sawa? Kuna wanaofika kuolewa wala jimai haijapita na huyo mwanamme, full haya na utasema vigezo Tantawi kamuangalia yeye ndo akaweka.....asidai mahari kwa sababu gani?
Acheni kuwaweka wanawake wote kwenye chungu kimoja. Mshenga kabla ya kudaiwa mahari kaka wa binti atamuuliza binti iweje, binti atataja, kaka atawasilisha kwa mshenga. Simple as that.