jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,989
- 22,521
It could be unconstitutional.Unless freedom of speech hakuna hapo bongo.Mahakimu kweli inawezekana nao wa elimu ya kata hao.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa Arusha imetoa uamuzi mdogo wa zuio la muda dhidi ya mikutano ya Chadema kuwasema hadharani madiwani watano wa chama hicho waliotimuliwa.
Mahakama hiyo pia imesema hata kama Chadema itapata kibali cha kuhutubia kihakikishe suala la madiwani hao halizungumzwi wala kuzomewa, kuwatolea lugha chafu na za vitisho wakati huu ambao hapo kesi ya msingi imefunguliwa.
Source: HabariLeo
Wanasheria watueleze.Tuna mmiss Kuhani hapa.
BTW Mbona swindler yule wa ponzi scheme Ben Mardoff alikuwa na kesi lakini bado alizungumziwa na kuzomewa?Something is missing hapa,ama ni mimi?