Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa Arusha imetoa uamuzi mdogo wa zuio la muda dhidi ya mikutano ya Chadema kuwasema hadharani madiwani watano wa chama hicho waliotimuliwa.

Mahakama hiyo pia imesema hata kama Chadema itapata kibali cha kuhutubia kihakikishe suala la madiwani hao halizungumzwi wala kuzomewa, kuwatolea lugha chafu na za vitisho wakati huu ambao hapo kesi ya msingi imefunguliwa.

Source: HabariLeo

Huo ndio utawala wa sheria. Kitu au shauri likiwa mahakamani haliruhusiwi kuzungumziwa mpaka patakapo tolewa maamuzi na mahakama.

Muiache mahakama ifanye kazi zake pasi na kuingiliwa na midomo ya wanasiasa
 
sometimes unajiuliza hawa maakimu wengine ni nani hivi anayewapa uhakimu kwa maana wamefikia mahala mpaka ku control speech.
nani amekupa mamlaka ya kuzuia watu wasitoe maoni yao kwa kuwaambia nini wasizungumze na nini wazungumze ktk kutoa maoni yao ??
hakimu/polisi siku zote inapojiingiza ktk kuwaamulia watu kitu cha kuzungumza au kuwakataza watu kwa kusema maoni haya ni mabaya au haya ni mazuri inajiingiza ktk kazi ambayo hiko juu ya uwezo wao kwani maoni hayo yanaweza kuwa mabaya au mazuri kutegemea mtu na mtu hii ni sawa mahakama kutuchagulia mwanamke mwenye sura ya aina gani ni mzuri au mbaya??

Practically speaking, utazuiaje watu kuzomea? Polisi watapita kila mahala wanapopita hawa madiwani ili wasizomewe? Kuzomea ni njia mojawapo ya mtu/watu kuonesha kutofurahishwa au kutokubaliana na jambo fulani kama ambavyo watu hushangilia wanapofurahia jambo. Sasa, ni kifungu gani katiba katiba yetu kinachokataza kuzomea au kushangilia for that matter? Huku si kuvunja haki za binadamu kwamba hawatakiwi kujieleza (kivitendo) kutokubaliana na mienendo ya madiwani hao?

Huyu hakimu naona anataka kudhalilisha huu mhimili wa dola!
Now days watu wamekuwa kama wapuuzi vile, siju hata hatuwezi kutumia akili zetu walau kwa sekunde moja kusoma hoja iliyopo kabla ya kuchangia,
Watu wanameza kilichoandikwa kizima zima bila tafakari as long kiko in favour na CDM, Watu wapo driven na hiasia upenzi wa vyachama kuliko kuangalia facts.
Nahizi comments hapo juu, if you know nothing about laws you better rest your keyboard and save some credit in your bundle kuliko kuonyesha ulimbukeni wako wa kutojua sheria za mahakama


Ajabu kweli' hivi kama mume akimtosa mke wake mahakama inaweza kumlazimisha kubaki naye? Ili iweje? NYAMBAFU!

Wanataka talaka ichanwe mbele ya shehe mme bado wanampenda.
Kauli kama hizi zinaonyesha ni jinsi gani watu bado hawajakomaa kisasa na bado wana fikra za ki Mrema na Cheyo kuwa chama ni mali ya watu fulani.
Next time before you post pumba zako jiulize chama ni nani na unawezaje kulinganisha siasa na ndoa, thats too low

Muulizeni vizuri mleta hoja awaambie msingi na nini contents ya zuio la mahakama
 
Inashangaza sana kuona nchi yetu inaendeshwa kienyeji. Hivi hata mahakama inafuata kanuni kweli za utendaji wa kazi zake? Katiba inaipa mahakama mamlaka ya kukiambia chama fulani kinaweza kufanya nini katika vikao vyake? Kuna kifungu chochote cha sheria kilichotumika kuwakataza Chadema kuwataja hadharani hao waliokuwa madiwani wake wa Arusha ambao kwa sasa Chadema imewafukuza uanachama? Pili, hivi mtu akifukuzwa uanachama anawezaje kuendelea kuwa diwani wakati Tanzania haina wagombea na viongozi ambao hawafungamani na chama chochote (independent)? Hili pia linanitatiza ninapoona Shibuda bado ni mbunge wakati alishatoka Chadema. Au ile sheria ya kukataa independent candidates ni changa la macho tu wakati wa uchaguzi, ila mtu akishachaguliwa anao uhuru wa kuwa mbunge independent? Je JK akifukuzwa uanachama wa ccm ataendelea kuwa Rais? Ninavyoelewa mimi ni kwamba mahakama haiwezi kisheria kuingilia chama chochote kile kama kimeamua kufanya jambo fulani lenye tija kwenye chama chake. Chama cha magamba kilipoamua kuwavua magamba watu wake mahakama zilikaa kimya, au ndio kusema mahakama zote Tanzania ni sehemu ya chama cha magamba? Ziko chini ya idara ya Nape? Chombo kinachotakiwa kulinda na kutetea haki za raia kikishawekwa mifukoni na watu wachache maana yake ni kusema nchi haina sheria! Wataalamu wa maswala ya Katiba hebu tujuzeni kuhusu hili.
 
Mahakama za Tanzania zilipoteza uhalali wake tangu siku ile walipofuta hukumu ya Jaji Rugakingira ya mgombea binafsi kwa kumfurahisha KIkwete na CCM,jambo hilo Jaji Samata amelisemea sana hakuridhika nalo
Mahakama za Tanzania zinadharauliwa na wananchi wote,wameendekeza rushwa,hawana tena moral authority ya kuwa chombo cha kuaminika ndio maana wanajichukulia sheria mkononi baada ya kuona Mahakama ni chaka la wapinga haki
Mimi nikienda Arusha nikiwaona popote nitawazomea tuu
 
Inashangaza sana kuona nchi yetu inaendeshwa kienyeji. Hivi hata mahakama inafuata kanuni kweli za utendaji wa kazi zake? Katiba inaipa mahakama mamlaka ya kukiambia chama fulani kinaweza kufanya nini katika vikao vyake? Kuna kifungu chochote cha sheria kilichotumika kuwakataza Chadema kuwataja hadharani hao waliokuwa madiwani wake wa Arusha ambao kwa sasa Chadema imewafukuza uanachama? Pili, hivi mtu akifukuzwa uanachama anawezaje kuendelea kuwa diwani wakati Tanzania haina wagombea na viongozi ambao hawafungamani na chama chochote (independent)? Hili pia linanitatiza ninapoona Shibuda bado ni mbunge wakati alishatoka Chadema. Au ile sheria ya kukataa independent candidates ni changa la macho tu wakati wa uchaguzi, ila mtu akishachaguliwa anao uhuru wa kuwa mbunge independent? Je JK akifukuzwa uanachama wa ccm ataendelea kuwa Rais? Ninavyoelewa mimi ni kwamba mahakama haiwezi kisheria kuingilia chama chochote kile kama kimeamua kufanya jambo fulani lenye tija kwenye chama chake. Chama cha magamba kilipoamua kuwavua magamba watu wake mahakama zilikaa kimya, au ndio kusema mahakama zote Tanzania ni sehemu ya chama cha magamba? Ziko chini ya idara ya Nape? Chombo kinachotakiwa kulinda na kutetea haki za raia kikishawekwa mifukoni na watu wachache maana yake ni kusema nchi haina sheria! Wataalamu wa maswala ya Katiba hebu tujuzeni kuhusu hili.
Mkuu Kiwi kazi ya mahakama ni kuhakikisha haki inatendeka, sheria ya mahakama inaruhusu kuzuia jambo katika chama kama kuna madai ya msingi ya kufanya hivyo. hujawahi sikia marangapi chama fulani kimezuiwa na mahakama kufanya uchaguzi hadi kesi ya msingi iishe? waweza pia kuzuia uchaguzi mkuu uzuiwe au hata rais astangazwe nk.

Chama kinauwezo wa kutoa maamuzi yake lakini wanachama nao wanahaki ya kwenda mahakamni kuzia maamuzi ya chama na chochote wanachoona kina athiri kesi yao ya msingi iwapo wanaona misingi ya haki imekiukwa, hii ndio sheria ilivyo duniani kote.

Hakuna aliye waita wale in madiwani ila mleta hoja mwenyewe,

Unaelekea umekurupuka tu Shibuda hajafukuzwa na chama kama madiwani wa Arusha, so hoja yako ya independent candidate haina kichwa wala miguu.

Unasema mahakama haina uwezo kuingilia maamuzi ya chama kama yana tija kwa chama husika? hapana inaweza hata kutengua ikiwa hayakufuata misingi ya haki.

Mhakama za TZ zinaweza zikawa hazitowi haki kweli lakini hii haiondoi uhalali wa mahakama kuingilia maamuzi yoyote iwapo kutakuwa na madai ya ukiukwaji wa misingi ya haki
 
Mahakama za Tanzania zilipoteza uhalali wake tangu siku ile walipofuta hukumu ya Jaji Rugakingira ya mgombea binafsi kwa kumfurahisha KIkwete na CCM,jambo hilo Jaji Samata amelisemea sana hakuridhika nalo
Mahakama za Tanzania zinadharauliwa na wananchi wote,wameendekeza rushwa,hawana tena moral authority ya kuwa chombo cha kuaminika ndio maana wanajichukulia sheria mkononi baada ya kuona Mahakama ni chaka la wapinga haki
Mimi nikienda Arusha nikiwaona popote nitawazomea tuu
Kama kuzomea wamezuia basi mimi nitakuwa nawacheka kila niwaonapo.
 
Mahakama zetu siku hizi kumejaa Walevi! Majaji walevi, Mahakimu walevi. Ni ulevi, ulevi tu! Busara ya Mahakama haipo kabisa, shauri ya ulevi.
 
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa Arusha imetoa uamuzi mdogo wa zuio la muda dhidi ya mikutano ya Chadema kuwasema hadharani madiwani watano wa chama hicho waliotimuliwa.

Mahakama hiyo pia imesema hata kama Chadema itapata kibali cha kuhutubia kihakikishe suala la madiwani hao halizungumzwi wala kuzomewa, kuwatolea lugha chafu na za vitisho wakati huu ambao hapo kesi ya msingi imefunguliwa.

Source: HabariLeo

A court giving such an order is not worth that name
 
Mods mbona mnafuta posts zinazoiponda CDM acheni hizo mbona kuna thread kibao tu kwenye majukwaa tofauti tofauti Pro-CDM wanaponda lakini posts zao zipo tu
 
Mods mbona mnafuta posts zinazoiponda CDM acheni hizo mbona kuna thread kibao tu kwenye majukwaa tofauti tofauti Pro-CDM wanaponda lakini posts zao zipo tu

Acha kulia-lia kama shangazi, toa issue za msingi au unalipwa kupost hizo post za kuponda?
 
Hapo mdau umenena, hivi vyombo vyetu vya serikali vinaweza kuona sana mikutano ya chadema ila si matatizo yanayotukabili. intelejinsia ya polisi haina uwezo wa kuona wachakachuaji wa mafuta, kitu kinachopelekea mafuta kupandishwa bei wala hilo hawalioni, mahakama hazioni hawa mafisadi ambao wamelitafuna taifa vibaya na ushahidi upo ila wana uwezo wa kujua ni diwani gani kazungumziwa kwenye mkutano wa chadema. huu ni uzuzu wa hali ya juu!!!!!
Tena hawa viumbe hawaoni utoroshaj wa wanyamapori wala madudu menghne mengi tu.
Hakika wote hawa wachumia-matumbo, mchwa wa rasilimali zetu wanapaswa kulaaniwa kwa nguvu zote.
Kwanza hapa tuna utawala wa sheria ambao umeundwa na sheria mbovu kabisa.

Katiba mpya, bomoabomoa uozo wote huu, ili haya maduduwatu yanayo jineemesha na amani yetu yasombwe na gharika.
 
Mods mbona mnafuta posts zinazoiponda CDM acheni hizo mbona kuna thread kibao tu kwenye majukwaa tofauti tofauti Pro-CDM wanaponda lakini posts zao zipo tu
Ushauri wa bure Malaria Sugu kaanzisha blog yake kwa hiyo pro-magamba wote mnaweza kwenda huko kujadili nani kati ya RA na Chenge kwenye kujivua gamba kamzidi Nape ujanja ha ha ha..
 
Mods mbona mnafuta posts zinazoiponda CDM acheni hizo mbona kuna thread kibao tu kwenye majukwaa tofauti tofauti Pro-CDM wanaponda lakini posts zao zipo tu
Usiwe na wasiwasi Nape keshaziona kabla Mods hajazifuta posho utapata kama kawaida.
 
Ushauri wa bure Malaria Sugu kaanzisha blog yake kwa hiyo pro-magamba wote mnaweza kwenda huko kujadili nani kati ya RA na Chenge kwenye kujivua gamba kamzidi Nape ujanja ha ha ha..
Wewe kweli debe tupu kabisa unadhani JF ni ya CDM Akili Masuburi kabisa
 
Usiwe na wasiwasi Nape keshaziona kabla Mods hajazifuta posho utapata kama kawaida.
Nimeamini Valeur Brandy, mbaya sana ikigusa ubongo.
Mtu yoyote hakiwa Agaisnt na CDM basi ni CCM, kwangu mimi CCM na CDM wote ni takataka, huyu Nape na Mbowe wote ni wahuni tu wacheza disco Billicanas
 
Kwa hiyo shangazi yako anapenda kulia basi mwambie takuja leo usiku kumnyamazisha


Toka lini shangazi akamnyamazisha shangazi mwenzie? Keep on whining huwezi jua.. kuna watu wanapenda type yako.
 
Back
Top Bottom