Mahakama Arusha yaizuia CDM kuwazomea madiwani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa Arusha imetoa uamuzi mdogo wa zuio la muda dhidi ya mikutano ya Chadema kuwasema hadharani madiwani watano wa chama hicho waliotimuliwa.

Mahakama hiyo pia imesema hata kama Chadema itapata kibali cha kuhutubia kihakikishe suala la madiwani hao halizungumzwi wala kuzomewa, kuwatolea lugha chafu na za vitisho wakati huu ambao hapo kesi ya msingi imefunguliwa.

Source: HabariLeo

Wana JF,

Nilipenda tu kuijurisha mahaka kuwa au huyo mwanasheria aliye iomba mahakama ito Tamko hilo sijui ndio kukiuka kipengele cha katiba kile kinacho husu Uhuru wa kila Raia au.?

Maana ukifanya madudu tutakuzomea ukifanya mema tutakupigia vigeregere na vifijo na sio lazima iwe kwenye muhadhara au kanisani hata huko njiani ukipita tena huko ndipo wanasiasa wanapenda ukipita njiani ukisafishwa na watu kwa vigereger unafurahi sana iweje leo umefanya upuuzi unasema au unaiomba mahaka ikuwekee kifua khaaaaa wewe achani upuuzi huo sasa naona munataka kutumia mahakama vibaya sasa mwaingiza mahakama kwenye hizo siasa zenu za ajabu.

Mahakama imetoa uamuzi huo nadhani mwanasheria wake aka withdraw hiyo order kwani tulipashwa habari awali kuwa malla alijaribu kuwahonga police kitu kidogo ili ule mkutano wa chadema kule arusha usifanyike sasa hapo hamuoni huyo (walalamikaji) wa/analalamika ni mnafki kama yeye alitaka afanyiwe haki mbona alikuwa anatumia police kutokutoa kibali wenzake wapate haki ya kuhutubia wananchi its ridicules kwa mwana sheria na Mahakama kutumika hivyo kama walipenda kuamua hilo sidhani kama hawakufikishiwa hizo tuhuma za hao madiwani walio taka kuhonga police wazuie mkutano inamaana wana wakanganya mawakili na mahakama
 
Huo ndio utawala wa sheria. Kitu au shauri likiwa mahakamani haliruhusiwi kuzungumziwa mpaka patakapo tolewa maamuzi na mahakama.<br />
<br />
Muiache mahakama ifanye kazi zake pasi na kuingiliwa na midomo ya wanasiasa
<br />
<br />
sawa, lakini tatizo ni kwamba hizi mahakama zinatumiwa isivyo. Mtu akishaona amevulunda mambo anakimbilia kuficha maovu yake, asiguswe kwa kisingizio kesi iko mahakamani. Huu ni upuuzi.
 
wadau msilete ushabiki wa chama kwenye masuala ya kisheria, jambo likishakua mahakamani hakuna mwenye haki ya kulijadili nje ya mahakama mpaka pale hukumu itakapotoka na asiyeridhika na maamuzi atakata rufaa. Na pia tuelewe kwamba hao madiwani kufukuzwa cdm si kupoteza haki za msingi za raia ikiwemo uhuru wa kwenda popote bila kubughudhiwa. Kuwazomea ni kosa na kulijadili suala lililo mahakamani ni kosa pia.
 
<font size="4">Haruna rais, hatuna mawaziri, hatuna serikali. Hii nchi ni f. up kabisa. Nauliza kwa nini kwanza waitwe madiwani? CDM inawaona hao ni watu tu wa kawaida kwani ilishawanyang'anya kadi. Kama wanan'gang'ania wao ni madiwani basi wanapokuwa katika vikao vya Baraza la Madiwani wataje wao wako humo kwa tiketi ya chama gani? Hawa watu ni wajinga kabisa kwenda mahakamani kwa kesi kama hii -- wanataka kitu gani? Ni bora tangu sasa mahakama zitangaze basi kwamba kama chama kinataka kumfukuza mnwanachama wake basi kiende mahakamani kufanikisha hilo -- yaani namna ya kufukuza kihalali ili kusiwepo migogoro. Shit!</font>
<br />
<br />
Haruna Rais?
 
Kimsingi hawa jamaa walichofanya ni kuweka zuio la mahakama ili wasisemwe kwenye mikutano ya hadhara,na hilo shauri litasikilizwa tarehe 1 september kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.Wakati wakiomba mahakama izuie chadema kuwasema kwenye mikutano wamekata rufaa kwenye baraza kuu la chama,wakipinga maamuzi ya kamati kuu
 
Kibaraka wa Lema umekuwa mpumbavu kiasi unashindwa kujua uhuru wa mahakama hautakiwi kuingiliwa hata mara moja.

Kimsingi hawa jamaa walichofanya ni kuweka zuio la mahakama ili wasisemwe kwenye mikutano ya hadhara,na hilo shauri litasikilizwa tarehe 1 september kwenye mahakama ya hakimu mkazi Arusha.Wakati wakiomba mahakama izuie chadema kuwasema kwenye mikutano wamekata rufaa kwenye baraza kuu la chama,wakipinga maamuzi ya kamati kuu
 
Mungemuuliza huyo hakimu awachagulie hao madiwani, KUZOMEWA NA KUPOPOLEWA MAWE WANACHAGUA KIPI?
 
Kibaraka wa Lema umekuwa mpumbavu kiasi unashindwa kujua uhuru wa mahakama hautakiwi kuingiliwa hata mara moja.
yaani hapa umeonyesha chuki yako zidi ya Nanyaro...Nanyaro ametoa taarifa wewe unakuja maneo ya chooni..sasa hapo nani mpumbavu kama siyo wewe...
 
wadau msilete ushabiki wa chama kwenye masuala ya kisheria, jambo likishakua mahakamani hakuna mwenye haki ya kulijadili nje ya mahakama mpaka pale hukumu itakapotoka na asiyeridhika na maamuzi atakata rufaa. Na pia tuelewe kwamba hao madiwani kufukuzwa cdm si kupoteza haki za msingi za raia ikiwemo uhuru wa kwenda popote bila kubughudhiwa. Kuwazomea ni kosa na kulijadili suala lililo mahakamani ni kosa pia.
<br /> <br / wanaowazomea ni viongoz wa chadema au raia?km ni raia basi ushaur wng kwa mahakama ni 1.kila ck Wapite na gari la matangazo mita na vichochoro vyt kuwakumbusha raia wasiwazomee wasaliti 2. Wabandike matangazo jijini arusha yanayowaonya raia wasiwazomewe wasaliti 3. Wawatengenezee wasaliti wote mabango watakayoyavaa shingoni popote pale waendapo yatakayosomeka MIMI MSALITI USINIZOMEE MAHAKAMA ITAKUSHITAKI vngnevyo watazomewa mpaka wakome lbd wahame mji
 
Kibaraka wa Lema umekuwa mpumbavu kiasi unashindwa kujua uhuru wa mahakama hautakiwi kuingiliwa hata mara moja.

Hivi mkuu tukikuita nawe ni Kibaraka wa Hao madiwani kuanzia bosiwao Malla Utafurahiiii???

Huyo jamaa Nanyaro katupa hapa taarifa tu kimsingi kuutaarifu Umma jinsi ilivyo wewe tayari umerukia kibaraka jamani khaaa hata taaarifa tuu ya kutoka mahakamani mbona hao madiwani wasitoe taarifa zote tokea walipo anza itwa vikao vya dar, akaenda Marando huko Arusha, wakaitwa Dodoma na kushauliwa sana ila wakakaidi mbona wasi mwage hadharani wananchi waujue ukwli kama wao wameonewa jamani si wana taka haki au publicity basi waweke hadharani kama hao mambosi wao wa CDM walivyoenda Arusha nao wawaite wananchi wa jimbo la arusha mjini hapo tuwasikie waki mwaga na kuwachanacha viongozi wa CDM tuwaone.

My Take:
Hao madiwani walisha chemka walipaswa fikilia kwanza baada ya uamuzi ulipo tolewa na kamati yao kuu kwani ina zaidi ya wanasheria kama 7 hivi yawezekani walilipitia hilo kwa umakini na wakajua hata kama wakilipeleka mahakamani still watakuwa wako safe side na hao madiwani wanakuwa ndio wamejipalia mkaaa.
Tetesi
na twasikia ati walienda kutaka kujiunga na TLP office za kijenge na watu wakawashtukia na wakaaanza zomewa ati walitaka wakagombee tena udiwani sasa hapo ndipo watakapo haribu kabisa
 
<br /> <br / wanaowazomea ni viongoz wa chadema au raia?km ni raia basi ushaur wng kwa mahakama ni 1.kila ck Wapite na gari la matangazo mita na vichochoro vyt kuwakumbusha raia wasiwazomee wasaliti 2. Wabandike matangazo jijini arusha yanayowaonya raia wasiwazomewe wasaliti 3. Wawatengenezee wasaliti wote mabango watakayoyavaa shingoni popote pale waendapo yatakayosomeka MIMI MSALITI USINIZOMEE MAHAKAMA ITAKUSHITAKI vngnevyo watazomewa mpaka wakome lbd wahame mji

Tetesi
nyingine zaidi wanadai kuwa na wao wanawindwa kuuliwa na majambazi na hiyo waipeleke mahakamani pia wawaombe majambazi wasiwaue ili kesi imalizike pia pia,

Hapa ndipo nachoka wananchi wanawazomea majambazi ati wanawatishia kuwaua madiwani hao sasa nashindwa pata jibu ingekuwa wakipita mahali na wananchi wanawaponda mawe hapo ndipo ningesema kweli maisha yao yako hatarini sasa majambazi imetoka wapi wanamtafuta mtu hapo ili wajichukulie ujiko au publicity na wasitegemee Mercy Publicity at all walijikanganya mwazoni sisi wapigania haki tukisha kula kiapo ndicho hicho mpaka tushinde hawa mafisadi wa CCM sasa mpigania haki nae anakimbia?

Hata kipindi cha maanadamano ya watu walikufa last year hawa jamaaa hawakushiriki pia
 
Mimi sina tatizo na amri hii ya mahakama. Watu wanabisha bila uelewa tu lakini jambo likishatinga mahakamani ni haramu kuliongelea hata bungeni , achilia mbali mkutanoni.

Siendekezi wana-CHADEMA wawazomee wale jamaa kwa sababu adhabu kubwa mmeshawapa, kuwatimua uanachama. Sasa ya nini kuwafuata nyendo zao maadamu hazina uhusiano na CHADEMA. Mnawazomea nini wakati na wao hawana haja na CHADEMA.

Taabu yangu ni mazingira ya kisasa ambapo mahakama za dunia haziwezi kuazuia. Ok, hata mimi nimeshamsema sipendi kuzomea. Lakini nitawazuia vipi wenye dhamira ya kuzomea.

Mmoja kasema kuzomea ni ishara ya kutoa moyoni kinachokukera kuonyesha humpendi fulani. Mkutanoni wana-CHADEMA wanaweza kuzomea. Lakini eti mimi au mahakama inawakataza. Je, hapohapo mkutanoni mtu akiamua kusambaza meseji ambao ujumbe wake ni zaidi ya kuzomea mahakama itajuaje na itafanyaje?

HUmu JF kinachofanyika kwenye thread hii ni zaidi ya kuzomea. Je, mahakama itafanyaje?

Mfano nikijitengenezea ringone ya kuwakazomea hao jamaa kisha ukinipigia simu unasikia ninavozomea utanifanya nini. Kisha hio ringtone nikaisambaza hadi hata hakimu mwenyewe akaisikia kwa kumpigia anaewachukia "madiwani-watimulia" atafanya nini?

Siku moja kwenye taasisiniliyowahi kufanyia kazi nilionywa eti nisiendekeze kusambaza email kgi kwa sababu ninasababisha muamko na watu wanaweza kugoma. Nilichofanya nikatumia simu yaani nikatuma SMS kuwaambia wegni tu kuwa nimekatazwa email hivyo tutakuwa tunataarifiana kwa SMS yaani meseji!

HIvyo lengo langu likawa linafika tena kwa haraka maana email hadi mtu aende kuisoma wakati ule lakini meseji ni hapohapo anapata taarifa unayoisambaza.

Hivyo ndiyo taabu inaopata mahakama zetu. Nikiandika email au meseji hii: {Madiwani wasaliti tuwazomee kwa kutumiana meseji}. Nikiogopa zaidi nitamuambia rafiki yangu aliyeo Ulaya anitumie ili niisambaze huku. Huyo hakimu hata akijua mimi ndiye niliyeituma bado mwanzilishi wa eseji ile yuko Ulaya na hana la kumfanya.

Hivyo, kipindi hiki unaweza kujikuta unatoa amri badala yake unaongeza wingi wa kuikaidi. Hivo amri hii haitekelezieki hata kama kesi hii msingi wake ni kupinga kudhalilishwa kwa kuzomewa ovyo mitaani na si kesi ya kupinga kufukuzwa uanachama.
 
Kibaraka wa Lema umekuwa mpumbavu kiasi unashindwa kujua uhuru wa mahakama hautakiwi kuingiliwa hata mara moja.
Kama wewe si Malah basi ni mmoja wa waathirika umeshindwa kabisa kutawala emotions zako tulieni mnyolewe mliyataka wenyewe.
 
Kibaraka wa Lema umekuwa mpumbavu kiasi unashindwa kujua uhuru wa mahakama hautakiwi kuingiliwa hata mara moja.
<br />
<br />
Wewe ni Malla au kibaraka wake ndo maana chuki imekujaa bila sababu ushindwe na ulegee.
 
Hivi mahakama na mwanasheria mkuu wa ccm Werema wanaitaka nini labda chadema mwanasheria mkuu anataka kutunga sheria ya kuzia maandamano ya chadema mahakama inaingilia maamuzi ya chadema jamani nazidi kuichoka ccm na vyombo vyake
 
fetesi
nyingine zaidi wanadai kuwa na wao wanawindwa kuuliwa na majambazi na hiyo waipeleke mahakamani pia wawaombe majambazi wasiwaue ili kesi imalizike pia pia,
Hapa ndipo nachoka wananchi wanawazomea majambazi ati wanawatishia kuwaua madiwani hao sasa nashindwa pata jibu ingekuwa wakipita mahali na wananchi wanawaponda mawe hapo ndipo ningesema kweli maisha yao yako hatarini sasa majambazi imetoka wapi wanamtafuta mtu hapo ili wajichukulie ujiko au publicity na wasitegemee Mercy Publicity at all walijikanganya mwazoni sisi wapigania haki tukisha kula kiapo ndicho hicho mpaka tushinde hawa mafisadi wa CCM sasa mpigania haki nae anakimbia?
Hata kipindi cha maanadamano ya watu walikufa last year hawa jamaaa hawakushiriki pia

Hupo tayari kutoa huo ushahidi wako mahakamani!
lolote baya litakalo watokea Madiwani wetu wapambanaji tunaanza na wewe utawataja na wenzako
 
Hupo tayari kutoa huo ushahidi wako mahakamani!
lolote baya litakalo watokea Madiwani wetu wapambanaji tunaanza na wewe utawataja na wenzako
Una madiwani weye inawezekana mnadanganyana na mai waifu wako Malah bado ni diwani.
 
Back
Top Bottom