Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,176
wakati nakua
mashindano ya ngoma za asili
yaliamliwa kwa mwenye watu wengi hadi muda ngoma inaisha ndio mshindi
ikikaribia muda wa kuisha ngoma
ndo ulikuwa muda wa viroja
maana kila mmoja anata kukusanya watu
wapo walovua hadaharani
wapo walodi...na hadharani
ndo yamekuwa hivi.
mashindano ya ngoma za asili
yaliamliwa kwa mwenye watu wengi hadi muda ngoma inaisha ndio mshindi
ikikaribia muda wa kuisha ngoma
ndo ulikuwa muda wa viroja
maana kila mmoja anata kukusanya watu
wapo walovua hadaharani
wapo walodi...na hadharani
ndo yamekuwa hivi.