Kwako Makonda, RC Mpya wa Arusha: Kipaupembele chako kikuu kama RC kiwe ni kuboresha mazingira ya utalii bora

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,603
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg.Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema https://www.google.com/url?sa=t&source=web&rct=j&opi=89978449&url=https://www.jamiiforums.com/threads/tumshauri-rais-ateue-vijana-wasio-na-uzoefu-lakini-wana-vipaji-vya-uongozi-kwenye-taasisi-za-umma-hawa-ni-watu-potential-sana.2194963/?amp=1&ved=2ahUKEwjtv5ih1Z2FAxWmg_0HHQbiCr0QFnoECBcQAQ&usg=AOvVaw2MWsk7nV7RvsFfjitHrV_F niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia ,mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Wale Wamarekani mabeberu walivyo na gubu wataanza kutoa News Alert: Arusha si salama kwa Watalii wao kuja.

😂😂
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg.Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia ,mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Bashite kipaumbele chake ni kupambana na chadema
 
HALELUYA NI KWA BWANA YESU MAANA AMEFUFUKA

PASAKA NJEMA KWA DINI ZOTE
5bc0d428-aadf-40bf-ba42-f1cfdeaaffdc.jpg
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Hii nchi imejaa vichasa, Nini hiki umeandika utalii unaboresjwa na mkuu wa mkoa? Tatizo Arusha ni utalii?
 
Wafanyabiashara wa Tanzanite na makampuni ya utalii watatekwa sana, na watalii wakiambiwa aina ya mkuu wa mkoa aliyeko hapo, wanaweza wakawa wanafuta safari.

Sabaya amepata sehemu ya kwenda kula dinner na kupiga mizinga
 
Wafanyabiashara wa Tanzanite na makampuni ya utalii watatekwa sana, na watalii wakiambiwa aina ya mkuu wa mkoa aliyeko hapo, wanaweza wakawa wanafuta safari.

Sabaya amepata sehemu ya kwenda kula dinner na kupiga mizinga
Nina wasi wasi sana.....ile press release ya Wahisani sio kwamba imesahaulika.
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Ahakikishe CCM inachukua viti vyote vya udiwani , ubunge na mengine mambo ya utalii haihusu CCM, maana hata watalii wasipokuja mtalipa kodi tu.

siasa ni zaidi ya mambo yenu ya utalii.
 
vya sasa si shujaa alipora wazi wazi, walau mama kalegeza,hivyo Bashite kapelekwa kimkakati.
Kama ni maendeleo angepelekwa Mtwara ama katavi, hii mikoa ni Maskini na haina mchango kwenye pato la Taifa.
Kwenye swala la urafi wa madaraka wote wanafanana
 
Hii nchi imejaa vichasa, Nini hiki umeandika utalii unaboresjwa na mkuu wa mkoa? Tatizo Arusha ni utalii?
Nafikiri upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana Hilo sina shaka nalo kulingana na comment yako ,usinge comment na kukaa kimya tusingejua zaidi kuhusu wewe.

Kwenye mada yangu nimezungumzia masuala ya ulinzi na usalama ambayo kimsingi ni masuala mtambuka kwenye sekta ya utalii. Mkuu wa Mkoa ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, kama hali ya usalama haitakuwa ya kuridhisha basi kimsingi ni ngumu kuweka mazingira ya utalii bora. Sote tunafahamu tabia ya vijana wa Arusha na hali ya maadili isivyo ya kuridhisha, yote hayo yanaweza kuchochea utalii kuwa mbaya siku za mbeleni.

Jambo lingine nililozungumzia kwenye mada yangu ni uthubutu na ushawishi wa Makonda. Leo Makonda ni role model wa wengi na Kila anachofanya kinazungumziwa sana ,akienda kufanya hivyo kwenye utalii, vivutio tulivyonavyo vitazungumziwa sana.

Je, mambo hayo yakifanyika RC Makonda hawezi kusaidia kukuza utalii ndani ya Arusha?
 
Back
Top Bottom