Magwiji mmu na multi-id's

Nimegundua kuwa "magwiji" wa mmu wana id zaidi ya moja...wengine mbili, tatu, nne hata tano na kuendelea.
Na kila moja ina matumizi yake.
Kuna ile ya "ugwiji" hii wanaitumia pale wanapoona wana kitu substance cha kuchangia.
Halafu wanazo nyingine ambazo wanazitumia kutokana na mazingira pamoja na aina ya mchango wanaotaka kutoa.

"Magwiji" bwana!
......hivi hawa ndo wale wanaosemekana kuruka na ungo usiku!!?:lol:
 
Naomba na mie ugwiji (hivi kuna faida gani za kuwa gwiji?)
Kigezo kimoja ni "kumiliki" jukwaa na kuwafukuza wageni. Ukiulizwa unadai sisi tunalipia na huyu halipii....yaaani kama vile kiroho kinauma.
Halaf matra nying wanafanya kila njia kuhakikisha mgeni anapata ban ili wabaki peke yao.
Ni watu ambao kama haupo kwenye "mtandao"
wao basi unakuwa kama adui kwao.

VIBAYA VYA WENZAO VIZURI VYAO.
 
Kigezo kimoja ni "kumiliki" jukwaa na kuwafukuza wageni. Ukiulizwa unadai sisi tunalipia na huyu halipii....yaaani kama vile kiroho kinauma.
Halaf matra nying wanafanya kila njia kuhakikisha mgeni anapata ban ili wabaki peke yao.
Ni watu ambao kama haupo kwenye "mtandao"
wao basi unakuwa kama adui kwao.

VIBAYA VYA WENZAO VIZURI VYAO.


kwa mara ya kwanz umeongea yeny akili! Hata mm hilo la upendelei nimeona kwa membaz wa zaman. Hata akikutukana kama vile hawajaona. Tukana ww huyo memba wa zaman uone utavoshambuliwa.
 
kwa mara ya kwanz umeongea yeny akili! Hata mm hilo la upendelei nimeona kwa membaz wa zaman. Hata akikutukana kama vile hawajaona. Tukana ww huyo memba wa zaman uone utavoshambuliwa.
Umeonaeeh
Tatizo lako na wewe uanpenda sana ku-react na kuwa so persimistic.
 
Nakukubali sana "Lizzy wangu". Nipo mbioni kuleta posa, hebu nipe taratibu zake zikoje.
By the way, id zako nyingine ni zipi?

Posa kuna mtu namsaidia kuchanga changa akifikisha kiasi alete nyumbani. . . labda nikuunganishie kwa desh desh?

Heheh. . . hiyo ni siri ya watu watatu.
 
Posa kuna mtu namsaidia kuchanga changa akifikisha kiasi alete nyumbani. . . labda nikuunganishie kwa desh desh?

Heheh. . . hiyo ni siri ya watu watatu.
nyekundu: NITAFURAHI SANA AISEE!:lol:
buruu: akina nani hao?
 
Nimegundua kuwa "magwiji" wa mmu wana id zaidi ya moja...wengine mbili, tatu, nne hata tano na kuendelea.
Na kila moja ina matumizi yake.
Kuna ile ya "ugwiji" hii wanaitumia pale wanapoona wana kitu substance cha kuchangia.
Halafu wanazo nyingine ambazo wanazitumia kutokana na mazingira pamoja na aina ya mchango wanaotaka kutoa.

"Magwiji" bwana!
Hiyo ni hoja nayo eti!
Aisee!
 
Halafu, jinsi wanavyokuwa "wababe" humu, nilijua labda "magwiji" ni mijitu ya kutisha labda kama kina undertaker hivi....kumbe mmoja nimemuona kwenye ile picha ya British Council amevaa form six nyeupe yuko madawati ya mbele......dah!
 
Though hiyo 'magwiji' siinunui nadhani ni kweli wapo watu wana ID za kuandika thread za maana na za kupost vituko na pumba. . haswa kule chiti chati.

Sababu. . .labda ili
i) wasiwaangushe/wasiwashangaze/wasihukumiwe na wanaowafahamu.

ii) Wanakua na bifu na watu wengine ila hawathubutu kuwatukana kwa ID zao zinazojulikana kwahiyo wanajificha gizani ndio warushe makombora.

iii) Wanataka kuona wale wanaomkubali watamchukulia/wangemchukulia vipi kama angekua kama ambavyo ataAct/amua kufunguka na hiyo ID mpya.
Magwiji wanajuana kama waarabu wa pemba vilem. Mambo gwiji
 
Back
Top Bottom