Baadae tusiseme tumeibiwa...
Haiwezekati CCM ikose wapiga kura 15 kila tawi...
Hapa mimi ndio uwa simuelewi kabisa maana hizo nchi anazotolea mfano kwani walikiondoa chama tawala kwa chaguzi au mabavu ya kivita? Au na yeye anataka niaminisha kuwa ata wakishindwa hawatoachia nchi mpaka mtutu?
Eti msifanye mabadiliko ya pupa kama misri na libya, mwambieni tumeshaamua hivyo, acha tujute baadae baada ya ccm kuondoka kuliko kuendelea kukumbatia madhambi yao. Mabadiliko hayakwepeki jambo namuonea sana huruma jinsi anavyoongea kwa kukata tamaa. Yupo kutimiza maandiko
Mtachonga sana lakini magufuli ndiye rais wenu
VUTA-NKUVUTE thibitisha hii habari, maana wewe uko jikoni, hali ya hapo chamani ikoje?, ni kweli mgombea wenu alilialia?,Akatisha mikutano ya kuomba kura na kuwageukia maofisa wa CCM kufanya nao mkutano mkubwa na kuwambia kuwa Chama kinazama kwani mitaani hali si shwari tena,
Katika hali isiyo ya kawaida mgombea Uraisi kwa tiketi ya CCM ameonekana akifanya mikutano na makada wa Ccm ndani ya Jumba la CCM Daresalaam jana ,kilio cha Magufuli ni baada ya kuona na kusikia kuwa wananchi hawana imani na CCM na kura zao hawatampa Magufuli na badala yake kuzielekeza UKAWA,
Kila wakati alikuwa akisikika akisema wambieni wananchi wasiipe kura kura ,wambieni waje kusikiliza sera zangu ,huko UKAWA hakuna kitu ,na akionyesha kusema kwa sauti ya huruma yenye kuashiria kuwa mambo sio mazuri.
baadhi ya maofisa wa CCm wakiwemo wenye viti wa mikoa mitaa wa CCM walimuahidi Magufuli kuwa watafanya kazi na kuwashawishi wananchi usiku na mchana na asiwe na wasiwasi kwani watajitahidi kumfanyia kampeni ili wananchi hao wabadili mwelekeo.Anatia huruma huku akijaribu kujiliwaza kwa mikutano iliyopita.
Cha kujiuliza kwanini Magufuli alikatisha Ziara na kukutana na wakuu wa Chama chake ghafla ?
https://www.youtube.com/watch?v=-eRuFnpf4Zo
Hizi propaganda za kitoto...bavicha mnajisumbua Magufuli ndio rais wetu.
makongoro aliwambia ukweli pale jagwani mkitaka ni mpigiye magufuli kampeni ccm eache tabia ya kukusanya watu kutoka mikoa tofauti na kampeni inako fanyika pia eache tabia ya kutumia rundo la wana mziki na wachekeshaji ! Akawambia ccm mnajuwa mimi ni msema ukweli mkishindwa kuacha hiyo tabia msije nilaumu maana nimesha watahadharisha !vuta-nkuvute thibitisha hii habari, maana wewe uko jikoni, hali ya hapo chamani ikoje?, ni kweli mgombea wenu alilialia?,
pia ningeomba utufahamshe ile kamati ya kampeni iliyotangazwa kwa mbwembwe na nape vipi? Imeshindwa kazi au mgombea hauziki?
DuppyConqueror umepita huku umuone Magufuli anavyolia? Jana niliona huo mkutano walivyokuwa wanajifariji.
so shame kwakweli,barabara ya Kidatu-Ifakara haifiki km 70 ila unatumia at leats 3 hrs kufika Ifakara kwa kutokea Kidatu.
Eti msifanye mabadiliko ya pupa kama misri na libya, mwambieni tumeshaamua hivyo, acha tujute baadae baada ya ccm kuondoka kuliko kuendelea kukumbatia madhambi yao. Mabadiliko hayakwepeki jambo namuonea sana huruma jinsi anavyoongea kwa kukata tamaa. Yupo kutimiza maandiko
Eti msifanye mabadiliko ya pupa kama misri na libya, mwambieni tumeshaamua hivyo, acha tujute baadae baada ya ccm kuondoka kuliko kuendelea kukumbatia madhambi yao. Mabadiliko hayakwepeki jambo namuonea sana huruma jinsi anavyoongea kwa kukata tamaa. Yupo kutimiza maandiko
Mbona hataji kenya..Malawi
umejiandaa na familia yako??? ila nawaamini wale wadau wa JWTZ so problem solved :glasses-nerdy:
Jidanganye hivyo hivyo, hakuna jeshi lolote duniani ambalo liwahi kuishinda nguvu ya umma. Mabadiliko ni lazima na hata huko jeshini sio wote wanaunga mkono CCM.
Nilishawasmbia kuwa wasipoweka lami 2014/2015 sitawapa kura yangu. wametudharau na kutupuuza watu wa Kilombero kwa kipindi chote cha miaka 50. Barbara hii ya kidatu ifakara inaumuhimu mkubwa sana kwa uchumi wa wana Kilombero.
Wamepiga marufuku kuuliza wananchi rais nani maana kila wanapouliza hivyo wanaambiwa LOWASA