Magufuli alia kwa wananchi kuikataa CCM aomba msaada kwa maofisa wa CCM

so shame kwakweli,barabara ya Kidatu-Ifakara haifiki km 70 ila unatumia at leats 3 hrs kufika Ifakara kwa kutokea Kidatu.

Tatizo ni ukosefu wa pesa ndio unasababisha barabara hiyo isijengwe. Ila Feasibility study (ESIA), Preliminary & Final Design and Preparation of Cost Estimates ya barabara: Mikumi - Kidatu (35km) na Kidatu - Ifakara (70km) zimekamilika!
 
Tatizo ni ukosefu wa pesa ndio unasababisha barabara hiyo isijengwe. Ila Feasibility study (ESIA), Preliminary & Final Design and Preparation of Cost Estimates ya barabara: Mikumi - Kidatu (35km) na Kidatu - Ifakara (70km) zimekamilika!

Ukosefu wa fedha kivipi na kwa sababu zipi kwa miaka 54?
 
Yani REYRO kutoka kidatu hadi ifakara barabara mbaya ndani ya miaka hamsini bado wanaendelea kutuahidi yale yale... Sasa wananchi ndo tutawaonyesha asira zetu kwenye kura
 
Baadae tusiseme tumeibiwa...

Haiwezekati CCM ikose wapiga kura 15 kila tawi...

Sampling ichukulie kwa ule mkutano wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM pale Dodoma. Ni wangapi walikuwa wanaimba mbele ya mwenyekiti kuwa "Tunaimani na Lowasa!"?
 
FaizaFoxy samahani, mimi ni mwanachama mpya wa #HapaKaziTu. Naomba uniweke sawa. CCM ina wanachama hai wangapi?
Naona kuna malofa wananiingiza mkenge

Ndio uwe unajipanga kabla ya kukurupuka,sio ukiona kitu FB unakurupuka kuleta hapa!Kwa taarifa yako ukijumlisha wanavyama wa vyama vyote vya siasa hawafiki nusu ya idadi ya waliojiandikisha!
 
Last edited by a moderator:
Kuna ticha wangu mmoja miaka ya tisini na kitu alikuwa akichapa mwanafunzi anataka mwanafunzi aseme"Asante mwalimu".Sasa mbona huyu jamaa hasemi hivyo?

Huyo jamaa kakuta sehemu mtu kaandika na yeye kabeba kaleta JF bila hata kufanya utafiti!Sasa naona anaomba msaada kwa kada mwenzake amuwekee sawa kumbukumbu!Akidanganywa huko atapokea lilivyo nakuja hapa povu linamtoka,tutampa dozi nyingine ili akapumzike kabisaa!
 
Hizi propaganda za kitoto...bavicha mnajisumbua Magufuli ndio rais wetu.
 
Hahahahaha

Mmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Mtakuja na kila uongo mwaka huu.

#HapaKaziTu

Ni kweli Mkuu, lakni mimi naona kama CCM yenyewe haijipendi. Kampeni za miaka iliyopita walikuwa wanaandika CHAGUA CCM, CHAGUA KIKWETE AU CHAGUA CCM, CHAGUA MKAPA. Imekuwaje sasa hivi wamebadilisha na kusema CHAGUA MAGUFULI, HAPAKAZI TU. Kwa maana hiyo, Chama kinampigia kampeni mgombea urais tu bila kuwapigia kampeni madiwani na wabunge, je, akichaguliwa Magufuli tu atatoa wapi Mawaziri ? Kitendo cha kuandika Chagua Magufi, Hapakazi tu. Hakiombei wagombea wengine kura, kinamwombea Rais pekee.
 
Anaposema mkifanya mabadiliko watu mtajuta, hii ni cheap politics maana mpaka sasa watu wanajuta kwa nini CCM ipo madarakani. Ukipata shida kubwa ndo mtu unatia akili. Sasa watu waliambiwa jamani chagueni upinzani mwaka 2005-2010, wakafikiri utani, nadhani watu wametia akili na wamebadilika sasa. Kwa hiyo asilie akubali tu. Magufuli yuko vizuri lakini taasisi yake ya hovyo sana na ndo inamwangusha
 
Jana kwenye huo mkutano alionyesha uchovu. Sauti imeiacha kwenye barabara za mavumbi Sumbawanga na Tunduma?

EL mjannja wa kuhifadhi sauti, hakariri lugha za makabila kwani sio sera.
 
Wamepiga marufuku kuuliza wananchi rais nani maana kila wanapouliza hivyo wanaambiwa LOWASA
 
Magufuli kweli anatia huruma manake kashasoma upepo watu hawana imani n ccm, na wanataka mabadiliko kwa sauti na hari ya juu kabisa. Na watu wana imani na ukawa na wanaahidi kutoa kutoa kura kwa lowasa. Magufuli katupiwa gunia la misumari ahangaike nalo.
 
Back
Top Bottom