Magaidi na wauaji wa kukodiwa, je hawa viumbe wa silika za hisia za huruma na ubinadamu?

Richard Chase aliamini kwamba Wanazi walikuwa wakigeuza damu yake kuwa unga kwa sumu waliyoiweka chini ya bakuli lake la sabuni. Hili lilimfanya awe na wasiwasi kwamba angeishiwa damu. Hivyo akawa anawapiga risasi wahisiwa wake, kufanya ngono na maiti, na kisha kuoga kwenye dimbwi la damu. Kati ya idadi ya watoto wadogo aliowaua, alikula viungo vyao vya ndani na kunywa damu yao. Hatimaye alikamatwa na kuhukumiwa kifo kwenye chumba cha gesi. Mnamo tarehe 26 Desemba 1980, hata hivyo, alipatikana kuwa amejiua gerezani.

NB:
Huyu alifanya yote hayo kwasababu ya wasiwasi tuu.. Just imagine.. Wasiwasi... Fear of the unknown...! Lakini je.. Mtu kama huyu hakuwa na background iliyojaa maumivu?View attachment 2553794
Body language na emotional intelligence ni masomo yanatakiwa kuwekwa kama nyongeza baadae yajumuishwe mazima ktk mitaala ya elimu kuongeza UFAHAMU mana haya ni masomo ambayo tunayaishi kila siku kila saa shida wengi hatuna trained eye even mind.
So Tunapitwa na vingi mbele ya macho na ku jikuta tuko nyuma ya muda.
 
Najaribu kujiuliza baadhi ya maswali; Neema (Martha), alipopigiwa simu, ambayo namba ilikuwa ngeni, japo inasemekana mpigaji aiiiga sauti ya boyfriend wake (Neema) na kumfanya Neema kutoka ndani ya kanisa na kuwafuata wauwaji. Hivyo, ni wazi kuwa, alitegemea angemkuta boyfriend wake katika eneo la tukio (eneo la alilotekwa). Ninachojiuliza ni kuwa, je, Neema hakushtuka kukuta sura ni ngeni, tofauti na mategemeo yake (maana huyo boyfriend hakumwona)?! Baada ya kutomuona boyfried wake, je, bado aliwasogelea watu ambao hawajuwi na wakati huohuo wamemdanganya kuwa ni boyfriend wake? Walimlaghai vipi, kiasi cha kukubali kuingia kwenye gari, maana yeye ni mtu mzima, na ameshaona dalili moja ya kudanganywa kuwa aliyepiga simu ni boyfriend wake? Na je, kama walitumia nguvu kumteka, hakuweza kupiga kelele za kuomba msaada maana lilikuwa eneo la karibu na kanisa, kwahivyo ingekuwa rahisi kusaidiwa?
 
Najaribu kujiuliza baadhi ya maswali; Neema (Martha), alipopigiwa simu, ambayo namba ilikuwa ngeni, japo inasemekana mpigaji aiiiga sauti ya boyfriend wake (Neema) na kumfanya Neema kutoka ndani ya kanisa na kuwafuata wauwaji. Hivyo, ni wazi kuwa, alitegemea angemkuta boyfriend wake katika eneo la tukio (eneo la alilotekwa). Ninachojiuliza ni kuwa, je, Neema hakushtuka kukuta sura ni ngeni, tofauti na mategemeo yake (maana huyo boyfriend hakumwona)?! Baada ya kutomuona boyfried wake, je, bado aliwasogelea watu ambao hawajuwi na wakati huohuo wamemdanganya kuwa ni boyfriend wake? Walimlaghai vipi, kiasi cha kukubali kuingia kwenye gari, maana yeye ni mtu mzima, na ameshaona dalili moja ya kudanganywa kuwa aliyepiga simu ni boyfriend wake? Na je, kama walitumia nguvu kumteka, hakuweza kupiga kelele za kuomba msaada maana lilikuwa eneo la karibu na kanisa, kwahivyo ingekuwa rahisi kusaidiwa?
At point black ya bastola pengine alishikwa na butwaa na kunyakuliwa kama kuku ... Hii ni kwa mujibu wa mtazamo wangu tuu
 
Imagination from cases
Sababu ya mauaji:Kisasi
Mhusika:Mwanamke(Neema)
Kazi:Muhasibu benki
Aina ya mauaji:Mauaji ya kikatili yenye kuashiria jambo.
Mtego:Sauti ya boyfriend wake ilitumika
Siku ya tukio marehemu:Mara ya mwisho alikuwa kanisani akapigiwa simu huku sauti iliyotumika ilikuwa ya boyfriend wake.

Visasi.....(1)Mapenzi
.....(2)Dhuluma

(1)Mapenzi
*Historia ya marehemu kwenye mahusiano
*Kwa nini itumike sauti ya boyfriend wake??
*Wanawake ambao boyfriend wake anamahusiano nao???
*Mahusiano yake yeye na boyfriend wake siku chache kabla ya umauti kumkuta???
*Marehemu alikuwa kwenye Moody ipi siku chache kabla ya kifo chake??

(2)Dhuluma
*Mara ya mwisho marehemu alikuwa akidaiwa na nani???
*Mara ya mwisho marehemu alikuwa na mipango gani???
*Marehemu alishawahi kushtaki au kushtakiwa?
*Tofauti na kazi ya benki marehemu alikuwa akijihusisha na biashara nyingine??
*Rekodi ya akaunti yake ya benki inasemaje?
*Mahusiano yake yeye na wafanyakazi wenzake????
 
Imagination from cases
Sababu ya mauaji:Kisasi
Mhusika:Mwanamke(Neema)
Kazi:Muhasibu benki
Aina ya mauaji:Mauaji ya kikatili yenye kuashiria jambo.
Mtego:Sauti ya boyfriend wake ilitumika
Siku ya tukio marehemu:Mara ya mwisho alikuwa kanisani akapigiwa simu huku sauti iliyotumika ilikuwa ya boyfriend wake.

Visasi.....(1)Mapenzi
.....(2)Dhuluma

(1)Mapenzi
*Historia ya marehemu kwenye mahusiano
*Kwa nini itumike sauti ya boyfriend wake??
*Wanawake ambao boyfriend wake anamahusiano nao???
*Mahusiano yake yeye na boyfriend wake siku chache kabla ya umauti kumkuta???
*Marehemu alikuwa kwenye Moody ipi siku chache kabla ya kifo chake??

(2)Dhuluma
*Mara ya mwisho marehemu alikuwa akidaiwa na nani???
*Mara ya mwisho marehemu alikuwa na mipango gani???
*Marehemu alishawahi kushtaki au kushtakiwa?
*Tofauti na kazi ya benki marehemu alikuwa akijihusisha na biashara nyingine??
*Rekodi ya akaunti yake ya benki inasemaje?
*Mahusiano yake yeye na wafanyakazi wenzake????
Rekodi ya akaunti yake ya benki inasemaje? MPAMBANAJI
 
56bda2b3f27298b1b68d422035ce21f8.jpg
 
Kwamba kuna mazingira wanaweza kughairi kutekeleza mauaji kwa silika za hisia za upendo, huruma ama ubinadamu!?

Case study 1
Kuna shambulishi la kigaidi lilitokea Kenya kwenye jengo moja maarufu mtaa wa Westland wakati wa utawala wa Kenyatta.. Magaidi waliua watu wengi sana lakini kuna kijana alinusurika kwa kudra tu kisa ni kumhudumia vizuri gaidi kila alipokuja kwenye mgahawa wao ndani ya hilo jengo wakati huo gaidi akichora racket
Ni katikati ya milio ya risasi na watu kukimbia huko huko macho yao yalikutana na gaidi yule akaelekeza bunduki yake na kuendelea kuua wengine akimuacha hai yule kijana mhudumu waliyefahamiana pale mgahawani.. Hizi ni silika za ubinadamu na hutokea kwa ghafla sana!

Case study 2
Kuna muuaji maarufu wa kukodiwa ambaye alitajwa kama mmojawapo wa watu wenye roho mbaya zaidi duniani.. Huyu akapewa tenda ya kumuua binti mmoja mrembo aliyekuwa anadate na muuza madawa mmoja
Jamaa akapewa racket nzima na kila alichohitaji ili kukamilisha kazi yake ya mauaji... Akaenda mpaka mji aliokuwepo mrembo husika, akafika mpaka kwenye nyumba aliyokuwa anaishi huyo mrembo.. Akaingia ndani kwa mbinu zake
Kufika sitting room akamkuta binti mpweke kaka pekeyake.. Kuna kitu kikamkumbusha udogoni lakini akakikataa haraka sana akainua bastola amalize kazi lakini ghafla yule binti akamwambia.... Natambua umekuja kunimaliza na sina uwezo wa kujitetea ila nisaidie kitu kimoja tuu...

Jamaa akashikwa na butwaa kwakuwa alitegemea binti angepiga kelele na kukimbia ili apate vibe ya kummliza vizuri, lakini kinyume chake binti alitulia na kumwambia naomba kumbatio lako na busu lako moja tu kishapo ndio uniuwe.. Maana nimemiss kukumbatiwa na nimemiss kubusiwa tangu wazazi wangu walipofariki
Kwa sekunde chache ni kama jamaa alitaka kupoteza fahamu kuna vitu kama video inayoenda kasi sana vilipita machoni pake
Alivuta hatua mbili mbele akanyanyua mikono yote mmoja wa kulia ukiww bado na bastola akafumba macho akahisi tu mikono laini ikiwa kiunoni pake huku kichwa kikiwa kifuani mwake.. Kuna hisia anasema hajawahi kuzipata tangu azaliwe.. Walikiss na busu lile lilibadilisha kila kitu
Alibadili mawazo palepale akaisogelea simu na kumpigia boss aliyempa kazi na kumwambia nimeghairi kumuua nimeamua kuwa naye mpaka kifo kitakapotutenga...!

Kwanini nimeamua kutanguliza mifano hiyo miwili japo ipo mingi.. Kuna kitu kinaitwa the soft part of every human being.. Hapo mahali pakiguswa watu hubadilika kabisa tena ndani ya sekunde.. Na hiyo sehemu ina connection kubwa sana na macho! Macho huongea mengi zaidi sana kuliko mdomo..

Kilichonifanya niwaze haya ni kuhusiana na mauaji ya Neema! Bila kujali nini kilisababisha mpaka mwisho wake ukawa ule.. Nina hakika macho yalifanya kazi yake.. Kivipi?
Mdungaji sindano ya alikutanisha macho na mhanga.. Na inawezekana kabisa akaona ile hofu kubwa kwenye macho yake na pengine ile innocence katika wakati ule mgumu alishindwa kushindilia sumu yote! Na ilipofika wakati wa kumchoma moto alishindwa kabisa kummwagia mafuta usoni akikumbuka yake macho! Na ndio maana marehemu aliweza kukimbia kwakuwa alikuwa anaona.. (Haya ni mawazo yangu mimi)

Wazungu wanajua vema madhara makubwa ya 'soft part' kwenye mwili wa binadamu.. Soft part inaweza kutafsirika kama sehemu dhaifu/laini lakini haiko maungoni iko nafsini kupitia mlango wa macho
Wazungu wana mifano na kumbukumbu nyingi zilizofelisha mipango mikubwa hatari na ya siri kwasababu tu ya soft part..!

Kwa ajili ya kulikabili hili walifanya project nyingi za kuangalia namna ya kuua silika za hisia za kibinadamu ndani ya mwili wa mtu na wakagundua kuwa kwa sehemu kubwa zinabebwa na background katika makuzi ya mtu , toka utotoni, ujanani shuleni mpaka mtu anapofikia kwenye mafunzo ya ujasusi na mafunzo mengine yanayohitaji ukakamavu roho mbaya, roho ngumu nk..

Waligundua soft part inahusika sana na muingiliano kwenye makuzi na wazazi, ndugu, jamaa, marafiki, wapenzi na hata maadui..silika za hisia hujengwa toka makundi hayo

Naendelea..

Ukurasa wa pili
Ili kuweza kuua silika za hisia project mbili au tatu hivi zikaonekana zina matokeo chanya zaidi
Project ya kwanza ilikuwa ni kupata binadamu mpya ambaye tangu udogoni hajui wazazi,hajui marafiki hajui ndugu hajui furaha hajui huzuni nknk .. Zaidi ya anaokutana nao ambao nao nyuso zao hazioneshi hisia zozote zaidi ya kupewa kama ni chakula nguo au mafunzo
Hapa ndio wakaja na project ya watoto wa chupa.. Wanatungwa mimba kwenye chupa, mimba inalalewa maabara kwenye chupa na wanazaliwa maabara.

Wakitoka huko wanapelekwa mahali mbali kusiko na harakati za kidunia na kufunzwa kila watakacho mpaka wanapokuwa wakubwa wakiwa wameiva kwa mafunzo

Hawa hawana silika za hisia zozote kabisa! Hawajui kupenda, hawajui kupendwa, hawajui machozi hawajui huzuni hufanya kile wanachotumwa basi.. Hawashawishiki kwa pesa kwa ngono wala kwa chochote na kama nusu robot
Shida ilikuja kuonekana kwa baadhi kuanza kuwa na silika za hisia za kibinadamu baada ya kuanza kuchanganywa na binadamu wa kawaida waliozaliwa kupitia ngono na kubebwa mimba na mwanamke

Project ya pili
Hii ilikuwa ni kuwahuisha na unyama na ukatili binadamu waliokwisha zaliwa kawaida na wenye back kwa kuua silika zao za hisia kupitia mafunzo magumu mno yenye kuumiza nafsi zaidi kuliko mwili
Kuna viini vikuu vya hisia
Furaha
Huzuni
Maumivu
Matamanio
Chuki
Visasi
Roho ngumu
Roho mbaya
Yote haya kwa asilimia 90 silika zake za hisia huonekana kupitia mlango wa fahamu wa macho
Kwa hiyo mafunzo ya kwanza ni kuwa na uso mtupu.. Uso usioonyesha hisia zozote..kivipi
Kushuhudia, kulazimishwa kila siku kuangalia mtu akiteswa mpaka kifo
Kushuhudia, kuangalia kila siku mtu akichinjwa mbele yako
Kulazimishwa kuangalia kila siku watu wakifanya ngono mbele yako na mafunzo mengi yanayofanana na hayo. . ni mengi mno

Haya mafunzo hurudiwa maranyingi mpaka kufikia kuona ni kitu cha kawaida kabisa na baada ya hapo huingia kwenye vitendo nawe ukitakiwa kufanya.. Mwanzoni utapata tabu kidogo na adhabu kubwa sana za kikatili so next time utakaza roho ili usiumizwe.. Ndani ya mwezi nawe ni muuaji usiye na huruma

Naendelea
Ukurasa wa tatu
Watu hawa magaidi na wauaji wa kukodiwa hawa wa mafunzo huchaguliwa kutokana na background zao hasa za utotoni na ujana wa awali
Kamwe na ni aghalabu kuchukua kijana aliyelelewa maisha mazuri na ya upendo, maisha ya dini na kumshika sana Mungu huku upendo vikitamalaki kila upande kuanzia nyumbani hadi shuleni mtaani hadi kwa ndugu na marafiki

Wanaochaguliwa ni wale ambao tayari mioyo yao imepata damage mbalimbali zenye kugusa moja kwa moja silika za hisia kibinadamu,
Ambao walinyanyasika udogoni,
Ambao waliteswa
Ambao walibaguliwa nknk
Hawa ndio target bora sana shida iliyopo ni kwamba bila kujali binadamu ni katili kiasi gani hakosi sehemu dhaifu ndani ya mwili wake nafsini kutoka kwenye makuzi yake!

Sasa katika ukatili wake anapokutana na situation inayompelekea kwenye soft part yake.. Hubadilika hapo hapo na kuwa mtu mpya mwingine kabisa! Na hili limewafanya wazungu waingie kwenye project za cloning

Je, tupo pamoja? Your soft part...!
Umesomeka msomi
 
Hivi saa wanaenda kuua unakuta wanaenda na akili zao timamu tu awajatumia chochote kama vile bangi pombe au madawa mengine ya kulevyia au wakivaa miwani nyeusi na kufunika nyuso zao vip apo Bado hizo hisia za huruma zitakuepo kweli.
 
Hivi saa wanaenda kuua unakuta wanaenda na akili zao timamu tu awajatumia chochote kama vile bangi pombe au madawa mengine ya kulevyia au wakivaa miwani nyeusi na kufunika nyuso zao vip apo Bado hizo hisia za huruma zitakuepo kweli.
Hizo hisia hazitokei kwa wote i mean kwa wahanga wao wote. Bali hutokea mmoja tuu na kubadili kila kitu.. Miwani si hoja sana kwakuwa hisia za nafsi zina nguvu kuliko uono wa macho yanayotumika kama lango tuu
20230317_081817.jpg
 
Hii nimeipata mahali
Contract killing is a form of murder or assassination in which one party hires another party to kill a targeted person or persons.[1] It involves an illegal agreement which includes some form of payment, monetary or otherwise. Either party may be a person, group, or organization. Contract killing has been associated with organized crime, government conspiracies, dictatorships, and vendettas. For example, in the United States, the Jewish-American organized crime gang Murder, Inc. committed hundreds of murders on behalf of the National Crime Syndicate during the 1930s and '40s.

Tafsiri
Mauaji ya kimkataba ni aina ya mauaji au mauaji ambapo upande mmoja huajiri mhusika mwingine kuua mtu au watu waliolengwa.[1] Inahusisha makubaliano haramu ambayo yanajumuisha aina fulani ya malipo, fedha au vinginevyo. Chama chochote kinaweza kuwa mtu, kikundi, au shirika. Mauaji ya kandarasi yamehusishwa na uhalifu uliopangwa, njama za serikali, udikteta, na kulipiza kisasi. Kwa mfano, nchini Marekani, genge la uhalifu lililopangwa la Wayahudi na Marekani la Murder, Inc. lilifanya mamia ya mauaji kwa niaba ya National Crime Syndicate katika miaka ya 1930 na '40s


Contract killing provides the hiring party with the advantage of not having to carry out the actual killing, making it more difficult for law enforcement to connect the hirer with the murder. The likelihood that authorities will establish that party's guilt for the committed crime, especially due to lack of forensic evidence linked to the contracting party, makes the case more difficult to attribute to the hiring party. Contract killers may exhibit serial killer traits, but are generally not classified as such because of third-party killing objectives and detached financial and emotional incentives.[2][3][4] Nevertheless, there are occasionally individuals that are labeled as both contract killers and serial killers.[5][6][7]

Tafsiri
Mauaji ya kandarasi humpa mwajiri faida ya kutolazimika kutekeleza mauaji halisi, na kuifanya iwe vigumu zaidi kwa watekelezaji sheria kuunganisha mwajiri na mauaji. Uwezekano kwamba mamlaka itathibitisha hatia ya chama hicho kwa uhalifu uliofanywa, hasa kutokana na ukosefu wa ushahidi wa kimahakama unaohusishwa na wahusika wa kandarasi, hufanya kesi hiyo kuwa ngumu zaidi kuhusishwa na mwajiri. Wauaji wa mikataba wanaweza kuonyesha sifa nyingi za mauaji, lakini kwa ujumla haziainishwi hivyo kwa sababu ya malengo ya mauaji ya watu wengine na motisha za kifedha na kihisia.[2][3][4] Hata hivyo, kuna watu mara kwa mara ambao huitwa wauaji wa kandarasi na wauaji wa mfululizo.[5][6][7]

A contract killer is colloquially known as a hitman. Contract killers who work for criminal organizations are often known as enforcers

Tafsiri
Muuaji wa kandarasi anajulikana kwa mazungumzo kama hitman. Wauaji wa mikataba wanaofanya kazi kwa mashirika ya uhalifu mara nyingi hujulikana kama watekelezaji
 
Back
Top Bottom