Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,660
- 46,350
Binadamu ni viumbe wa ajabu sana, anaweza kutokea mtu mmoja tu akawafanya wachukiane, wahasimiane, wawindane na kuparuana kama paka na panya au mwewe na kuku.
Halafu pia binadamu hao hao anaweza kuja mtu mwingine mmoja tena akawafanya wapendane, waheshimiane na waishi pamoja tu bila purukushani zozote kama vile mbuzi na kondoo. Hii kama glitch kubwa katika mfumo wa binadamu inayomfanya kuharibu mambo wakati mwingi
Kuna uwezekano wa viumbe wengine wenye akili na utashi kutoka sayari nyingine lakini wakiwa hawana flaw/glitch ya aina hii? Ambao haiwezekani kufanyiwa mind manipulation au kutenda mambo kwa hisia?
Halafu pia binadamu hao hao anaweza kuja mtu mwingine mmoja tena akawafanya wapendane, waheshimiane na waishi pamoja tu bila purukushani zozote kama vile mbuzi na kondoo. Hii kama glitch kubwa katika mfumo wa binadamu inayomfanya kuharibu mambo wakati mwingi
Kuna uwezekano wa viumbe wengine wenye akili na utashi kutoka sayari nyingine lakini wakiwa hawana flaw/glitch ya aina hii? Ambao haiwezekani kufanyiwa mind manipulation au kutenda mambo kwa hisia?