Amefeli kwa speed ya rocket super sonic speed he will be remembered as the most failed president
 
Si nongwa zetu mnazozileta ilihali mioyo yenu inawatesa na kuwasuta.
kama ilivyo jadi kiongozi lazima ukae mbele kuongoza mapambano, na hata ikibidi kufa basi tumeliona hapa.

Wanaofurahi huku wasijue kiza kinakuja, wasijue kuhusu kesho yao !wakiwa wameitupa mioyo na maisha pamoja na ndoto kwa wengine, bila kujali kwamba hao wengine wana mioyo,ndoto pamoja na maisha yao, na je wapo tayari kuangalia ndoto ,mioyo na maisha ya wengine.

Aghalabu sana mtu kuwa na moyo wa dhati bila kukurupushwa .
Umeme 24/7 ,maji 24/7 , elimu bure, utu na nidhamu kisehemu.
Moyo wa kujituma na kulipenda Taifa. Moyo wa uzalendo. Amani iliyo jengeka nchini kwetu.
 
Si nongwa zetu mnazozileta ilihali mioyo yenu inawatesa na kuwasuta.
kama ilivyo jadi kiongozi lazima ukae mbele kuongoza mapambano, na hata ikibidi kufa basi tumeliona hapa....
Atakayekuja atakuwa mkali kuliko aliyetangulia. That is the principal. Nobody is ready to be referred as a looser.

CCM take note that the late President Magufuli has left a template for you to use for running this Country if you go back to the business as usual era get ready to loose the grip and loose administration forever.
 
Kwanza kabisa natoa salam za rambirambi kwa watanzania wote wazalendo walioguswa na msiba wa jemedari,'nguzo ya Africa',Rais wa mfano wa kuigwa ulimwenguni.Aliyependa wananchi wake kuliko mwenyewe.Pumzika kwa amani 'jembe'.

Ninaamini iwapo uongozi huu upya utaendeleza mfumo aliotuachia jabali utatuwezesha kusonga mbele na kupiga hatua kubwa kama taifa.

Kusiwe na mazoea kama ya zamani watumishi wa umma kunyanyasa wananchi badala ya kuwatumikia.kusiwe kuna matobo katika uongozi na kufanya nchi yetu kuwa 'shamba la bibi'.Nitasikitika kuhamia nchi nyingine kwani nitakua siwezi kuvumilia maovu hayo.
 
Ni wazi sasa kuwa JPM anafahamika kama mtetezi wa wanyonge na masikini. Ebu tujuzane namna masikini tulivyonufaika katika uwepo wake ili Rais Mama Samia Suluhu nae aendeleleze.
 
Bila kuwasahau wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu Nao ni kundi jingine la wanyonge ambao katika miaka Hii mitano wamekumbukwa kwa kurekebishiwa kikokotoo cha marejesho ya mikopo yao.
 
Amejenga daraja Kigamboni ila kuvuka lazima ulipie.

Amejenga hospitali ya Mloganzila ila ukifa huchukui maiti hadi deni lilipwe.

Ametoa elimu bure ila watoto wake na watoto wa mawaziri wake wanasoma feza boys/girls na st.Francis

Alitumbua wenye vyeti feki kasoro Daudi Albert Bashite.
 
Back
Top Bottom