Baba Masagu
Senior Member
- Aug 30, 2020
- 128
- 41
Haya no moja ya mafanikio ya utawala wake
Mitano tena ni haki yako JPM. Mungu akubariki
Haya no moja ya mafanikio ya utawala wake
Upinzani huwa upo tu...hata ndoa haikosi upinzani Ila CCM mwaka huu ushindi uko juu sana!
CCM OYEEEEEE!
Candidat na biso Mobutu... Sio mchezo kujenga international airport porini Gbadolite aka Paris of the jungleAsiyempenda magu inabdi tumpime AKILI
Miradi ya magufuli ni upotevu tu wa pesa za walipaa kodi maana haitakamilika.. unaua biashara na vyanzo vya mapato , alafu ndio unaanzisha miradi mikubwa,!
Atakayekuja atakuwa mkali kuliko aliyetangulia. That is the principal. Nobody is ready to be referred as a looser.Si nongwa zetu mnazozileta ilihali mioyo yenu inawatesa na kuwasuta.
kama ilivyo jadi kiongozi lazima ukae mbele kuongoza mapambano, na hata ikibidi kufa basi tumeliona hapa....
Fools can't seeYote hayo yamemsaidia vipi mwananchi alieko Tandahimba?
Kama?Watumishi wa umma ni miongoni mwa hao wanyonge ambao masilahi yao yameboreshwa sana katika miaka hii 5 ya JPM.