Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
wala hayaletwi na katibaNdugu wananchi maendeleo hayaletwi na vyama vya siasa, maendeleo yanaletwa na watu walioamua kuendelea.
Nchi ikiwa na wananchi walioamua kuendelea itaendelea tu.
Vijana changamkeni tumieni nguvu zenu. Nchi yetu ipo wanasiasa hawataweza hata siku moja kutuletea maendeleo.