ogm12000
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 304
- 86
hajatusi mtu wala kutukana sasa kati ya yeye na wewe nani anaonekana punguani na mwehu
Wewe Kisiki sijui Kigogo uliyekatazwa kuvaa suti kwa hiyo unaona Madee kafanya sawa? Mtu unapoongea au msanii anapoimba kuna maneno au statement fulani akizitoa unajua kabisa uwezo wake wa kufikiri ni mdogo..
Kasema nilipata mateso kuliko "YESU" nia yake ni kuonyesha kateseka kwa kiasi kikubwa, but hakufikiria statement hii itakuwa na impact gani kwa jamii ya kikristo na kiislam pia...
Angekuwa ni msanii mwenye upeo mkubwa wa kufikiri angejaribu kutumia lugha nyingine kuelezea mateso aliyoyapata rather than kuweka jina na ISA a.s
Regards