AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,076
Madee mwanamuziki wa midundo ya bongo flavor amekufuru kwenye wimbo wake anaosema amepata mateso makali kuliko ya Yesu.
Wakristo wanaamini kuwa hamna mtu amewahi kuteswa kama yesu. Madee akiwa ni muislamu, hakupaswa kulinganisha taabu zake na mateso ya yesu.
Madee amekufuru.
Nafikiri ndo zake, hapimi uzito wa mistari yake. si ndo yeye kaimba Yote Maisha wakiwa na Majani - kuna mstari unasema;
"asante Mola napumua bila ushuru, ila sishukuru si bora ungeniumba tu kunguru" Huo wimbo naupenda sana ila nikifika hapo naboreka kabisa.