Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Wajua hawa gen.Y tatizo kubwa ni BANGE sana wakati mfukoni hamna kitu.
ha ha ha huu upande mwingine wapo serious hakuna longolongo!! ni mawe tu mpaka unaiona hell!!wajaribu hii hapa siku nyingine waone joto yake Kimey................
Mateso ya Yesu unayajua wewe au unaongea tu!?? Acha hizo mkuu. Ni mateso ya aina yake, hayana ulinganifu ndugu: kukataliwa na watu wake, kudhalilishwa, kusingiziwa mengi, kutukanwa, kupigwa mijeledi, kuvikwa taji la miiba, kupigiliwa misumari msalabani, nk. Haya mateso nani anajilinganisha nayo? Yaani ni ya pekee tu. Ni yake Yesu tu. Kama kuna mtu mwingine kawahi kupata mateso hayo ni yake, si ya kulinganisha na ya Yesu. Yesu ni Yesu na mateso yake; mwanadamu ni mwanadamu na mateso yake.sawa inawezekana hivi wanajamii hakuna watu wanaoteseka mateso zaidi ya huyo yesu acheni utani bwana musilete udini kama vipi tembeleeni maohospitals
Wajua hawa gen.Y tatizo kubwa ni BANGE sana wakati mfukoni hamna kitu.
Hapo kajifanya Muislamu sijui ingekuaje angejifananisha na mtume!! yangetokea yale yale ya mwembe chai!! upande huu wa pili hawana longolongo!!Kuna mmoja ilikuwa asomewe albadiri, sijui hii iliishiaje:
Hapo kajifanya Muislamu sijui ingekuaje angejifananisha na mtume!! yangetokea yale yale ya mwembe chai!! upande huu wa pili hawana longolongo!!
Si kwamba hawana LONGOLONGO........... hizo wanazo sana........ ila hawana "MSAMEHE MWENZIO SABA MARA SABINI"............ wao wana jino kwa jino..........Hapo kajifanya Muislamu sijui ingekuaje angejifananisha na mtume!! yangetokea yale yale ya mwembe chai!! upande huu wa pili hawana longolongo!!
I carry the cross, if Virgin Mary had an abortion
I'd still be carred in the chariot by stampeding horses
And even if Jehovah witness, bet he'll never testify, D'Evils