MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
- Thread starter
- #41
anashangaza sana mtu huyu!pale hosp kuna sehemu ya kutoa malalamiko,anaweza kwenda polisi kureport mauaji au afike kwa mbunge wake ampe malalamiko na sio kubwatuka kama waandishi wa habari za udaku.
Mh. Hakuna mtu anabwatuka kama imekuuma sana na wewe ni miongoni mwao kwani unachokifanya ni kumtetea mtu ambaye unamjua kwa nje na hutembei naye na hujui moyoni anafikiria nini. Bado tunaendelea na uchunguzi na within very few days tutaweka sauti na picha na wahusika wengine humu kwani gadgets za hiyo kazi tunazo.
Kama wewe ni Dk. Na imekuuma sana cha kufanya siyo kutetea uovu kwani sikutokea from no where nikaanza kuandika rumours bali ninaandika nilicho experience sasa wewe unakana kwa ushaidi upi?. Inawezekana kabisa ukawa mmojawapo. sasa next time utakaposikia sauti za maneno machafu manesi na madokta wanayowajibu wagonjwa ninaamini you will re-think standing for murderers.