TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,721
- 10,224
Nchi hii imekuwa ya hovyo sana, huduma za afya na matibabu zimekuwa mbovu na duni kabisa.
Kila siku tunasikia sehemu mbalimbali watu wakifa kwa uzembe wa madaktari na manesi.
Mbaya zaidi mgonjwa akifa haraka haraka anakimbizwa mortuary ambako kama hamna mamilioni kadhaa, ndugu yenu atazìkwa na halmashauri, mazishi yasiyo na heshima wala staha wala stara.
Wito wangu kwa Watanzania wenzangu, mkiona mgonjwa wenu hana dalili za kupona hospitali, mrudisheni nyumbani kuepuka kadhia ya kudaiwa mamilioni mengi wakati wa kuchukua mwili wake.
Kila siku tunasikia sehemu mbalimbali watu wakifa kwa uzembe wa madaktari na manesi.
Mbaya zaidi mgonjwa akifa haraka haraka anakimbizwa mortuary ambako kama hamna mamilioni kadhaa, ndugu yenu atazìkwa na halmashauri, mazishi yasiyo na heshima wala staha wala stara.
Wito wangu kwa Watanzania wenzangu, mkiona mgonjwa wenu hana dalili za kupona hospitali, mrudisheni nyumbani kuepuka kadhia ya kudaiwa mamilioni mengi wakati wa kuchukua mwili wake.