Madaktari wauaji Mt. Meru Hospital arusha

Mkuu, pole sana kwa yaliyokukuteni!
Binafsi imenisikitisha sana.
Jumapili nilimpeleka mgonjwa aliyekuwa amevunjika mguu hapo.
Nikalipia 15,000 mapokezi kama gharama za kufungua faili na kulazwa..Cha ajabu daktari mmoja akaja akanivuta shati na kunipeleka kwa nesi mmoja sehemu ya faragha, akaniambia mbele ya nesi huyo kuwa nitoe elfu 5 za kumdungia sindano ya maumivu mgonjwa wangu, la sivyo sindano hiyo(diclofenac inj.) isingepatikana...nikacheka na kumpigia simu Dr ninayemfahamu, mambo yakaenda fasta!
Wasiojua taratibu na wasio na ndugu wanaumizwa sana hospitali ile!
Sidhani kama Mganga Mkuu Dr Toure anajua kinachoendelea hospitalini hapo, maana muda mwingi yuko Ofisini, Warsha, Kongamano, symposium, workshop, na kwenye LandCruiser la DFP(Hisani ya Merikani)...


I did'nt even waste my time to find Dr. Toure kwa sababu ni hao hao na siwaamini kabisa hawa kwani wote ni watoto wa mama mmoja. kama ulivyosema always Dr. toure yuko busy na Landcruiser lake la DFP hisani ya Wamarekani. Kwa ufupi PJ kama huna Dr. unayemfahamu hapo Mt. Meru hospital ni sawa na kujaribu kuomba huduma kuzimu.
They are extremely brutal utafikiri hawatakaa waugue. Ila niko sure kwamba maadam waliapa basi hicho kiapo ni sala kwa mungu na Mungu atawalipa kwa jinsi wanavyokiuka kiapo walichoapa kwa hiari yao wenyewe.
 
Tushibishane,mbona hzo cases ni nyingi sana siku hizi,mfano mwingine ni wale manesi pale Teure (Mwanza) dhidi ya akina mama wajawazito,wanakuwa harrased sana,wanauliwa watoto wao,fuatilia mwaka jana/juzi utaona tu,ama nenda kwenye media wanazo recorded cases,huyu anasema eti uende kwa maofisa wa hospitali husika,nacheka sana! Tanzania kuna haki? nauliza tena,Tanzania kuna haki? ama huyu yeye anayo hyo haki ambayo hata mahakamani haiko,anayo????

Rweye huwa mara zote huwa najiuliza ni kwa nini waliamua kusomea professional ambayo wanajua kabisa hawataweza kuwajibika sawa sawa na maadili ya kazi yenyewe. Wangewaachia watu ambao walikuwa tayari kuwahurumia na kuwasaidia wagonjwa ndo wasomee hizi kazi. Hawa walitakiwa wafanye kazi zisizohitaji huruma wala upendo kama kuchimba kokoto au kulinda poachers na siyo kuwahudumia wanadamu wenzao.
 
nimesoma comments zako machozi yamenitoka sikuwahi kuhisi kama kuna mtu anathamini kazi ya wauguzi na madaktari.kama mgonjwa hakuwa na tatizo lingine zaidi ya IV fluids inaweza kufanyika hata zahanati na hakuna umuhimu wa kulazwa.naamini hawakuwa na nia ya kumuua mgonjwa so mtoa mada aombe radhi hosp na atafute ukweli.hiyo pesa waliombwa?tena anachafua taaluma ya watu!huduma ya afya ni haki ya kila mtu nini kutoa rushwa?
 
nimesoma comments zako machozi yamenitoka sikuwahi kuhisi kama kuna mtu anathamini kazi ya wauguzi na madaktari.kama mgonjwa hakuwa na tatizo lingine zaidi ya IV fluids inaweza kufanyika hata zahanati na hakuna umuhimu wa kulazwa.naamini hawakuwa na nia ya kumuua mgonjwa so mtoa mada aombe radhi hosp na atafute ukweli.hiyo pesa waliombwa?tena anachafua taaluma ya watu!huduma ya afya ni haki ya kila mtu nini kutoa rushwa?

Madaktari na wauguzi ndio wanatakiwa watu-prove wrong kwa kuonyesha kuwa malalamiko lukuki ya wagonjwa si ya kweli na si kusema mtoa mada aombe radhi. hakuna radhi hapa kwani tayari kuna tatizo. angalia na wewe inawezekana ni Nurse au doctor kwani huna hata uwezo wa kufikiri sawa. Who told you kwamba mgonjwa alikotoka kulikuwa na zahanati karibu au ulifikiri ndugu zake wamemleta Mt. Meru kumekuwa Ngurdoto Hoteli au Mbuga za wanyama kutalii?. Kimbilio lilikuwa ni hapo Mt. Meru lakini waka mwa-abuse mgonjwa pamoja na taaluma yao.

Its very ridiculous unawatetea watu ambao kwa judgement yangu hawana raha wakiona mortuary iko tupu. Ipo siku nao wataingia.

It seem hujafanya utafiti sawasawa it seem wewe nawe ni daktari ila kama hauko hivyo basi niliokutana nao within this time ni wa aina ninayoelezea hapa.
 
Mkuu sibadilishi heading na huy daktari ninaye msema anavaa miwani na ukitaka kumjua hebu fuatilia aliyekuwa zamu katika hiyo ward kwa masaa niliyotaja

kuna dr mmoja huwa anavaa miwani na mywele kama mbulu, ni mrefu kama ndiyo huyo unamzungumzia nina hasira nae sana alishasababisha kifo cha mzazi wangu ni mfikisha hospital namweleza anasoma noval baada ya dakika 20 ndiyo akaamka kwenda kumwanaia akawaamesha fariki..lkn kuna ma docs wazuri kama dr saa 6, kna ma-dr wa kike
 
Madaktari na wauguzi ndio wanatakiwa watu-prove wrong kwa kuonyesha kuwa malalamiko lukuki ya wagonjwa si ya kweli na si kusema mtoa mada aombe radhi. hakuna radhi hapa kwani tayari kuna tatizo. angalia na wewe inawezekana ni Nurse au doctor kwani huna hata uwezo wa kufikiri sawa. Who told you kwamba mgonjwa alikotoka kulikuwa na zahanati karibu au ulifikiri ndugu zake wamemleta Mt. Meru kumekuwa Ngurdoto Hoteli au Mbuga za wanyama kutalii?. Kimbilio lilikuwa ni hapo Mt. Meru lakini waka mwa-abuse mgonjwa pamoja na taaluma yao.

Its very ridiculous unawatetea watu ambao kwa judgement yangu hawana raha wakiona mortuary iko tupu. Ipo siku nao wataingia.

It seem hujafanya utafiti sawasawa it seem wewe nawe ni daktari ila kama hauko hivyo basi niliokutana nao within this time ni wa aina ninayoelezea hapa.
tatizo unakuwa na jazba!ninachoongea ni swala la kuwa admitted kwa ajili ya drip!kama hawezi kumeza huwa anapatiwa drip kwa muda maalum na hiyo yaweza fanyika hata zahanati na kama hakuna zahanati karibu hukuisema.pia siwezi kutetea chochote kwani hao wahudumu hawajasema ni kwa nini walifanya hivyo!KWA UWELEWA WANGU KUNA WAGONJWA HUWA WANARUDISHWA NYUMBANI KWA TERMINAL CARE JE HUO NAO NI UUAJI?
 
Poleni watanzania, CCM wameharibu nchi, kila kitu sasa ni pesa, hata pumzi ya bure tunalipia.
 
Mkuu,

Jaribu kulipeleka swala hili kwa Mbunge wako LEMA.

Nafikiri huyu jamaa anaweza kwenda kulifuatilia hili swala na kucheza nao Lambada hadi kieleweke zaidi yako wewe.

Lifikishe pia kwa Madiwani na hasa huyo MEYA Feki na akishindwa kulifuatilia, basi Mbunge wako acheze naye pia Mdundiko hadi kieleweke.

Mambo kama haya ndiyo kazi za Wabunge, Meya na Diwani. WATUMIENI MAANA WALIKUJA KUSEMA WATATUTUMIKIA.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mimi nami nafanya kazi kama yeye na huwezi fika ofisini kwangu ukanikuta nafanya ubabaishaji alioufanya kuandika discharge masaa 2 na kisha akaifungia ndani ya faili mpaka wenye mgonjwa waliokuwa tayari wamesubiri muda mrefu walipomwona hawamwoni wakamwita nesi aliyekuwa anatoa dawa na alipokwenda right away akaileta huku Dr. Israeli Kasago akiwa ameishia zake bila kujali kwamba wenye mgonjwa walikuwa wamekwisha subiri discharge kuanzia saa sita na nusu.

toka lini daktari akakupa karatasi ya discharge?kwa kawaida karatasi hii hutolewa na attendant!
 
Pole sana kwa yaliyokupata mkuu! Hayo yaliyokukuta yamekuwa ni mambo ya kawaida kabisa kwenye hospitali zetu za serikali.Tatizo ni kwamba watu huwa wakati mwingine watu wanashindwa kuusoma mchezo mapema.Ukiona wahudumu wanaandaa mazingira ya rushwa nawe huna kitu ni bora utumie akili yako ya kuzaliwa ili mgonjwa wako apate huduma bila matatizo.Nasema hivi kwasababu rushwa imekuwa ni tatizo sugu ktk hospitali zetu karibu zote.Tena hapo mt.meru pana afadhali kulinganisha na hospitali nyingine za serikali kwani wala rushwa ni wachache na rushwa yenyewe ni hela kidogo tu.Nenda Muhimbili,KCMC,Amana,Temeke,Mwananyala ukalione balaa lake.

Pia ni vizuri ungepeleka malalamiko yako kwa mganga mkuu Dr.Toure kwani lazima wahusika wangetakiwa kutoa maelezo ya kutosha na angewapa onyo kali.Ninaifahamu Mt.Meru na wafanyakazi wake huwa ni waoga sana kwa uongozi wa hospitali na ndio maana wanadai hivi virushwa vidogo vidogo kwa vile maslahi yao mengi yanapotezewa na uongozi wa hospitali hivyo wao wanabaki kuwakamua wagonjwa.

Ukiondoa hayo hiyo ni moja ya hospitali chache za serikali ambazo zimeathiriwa kidogo sana na ufisadi ambapo asilimia kubwa ya dawa inawafikia na vifaa tiba vinawafikia walengwa ambao ni wagonjwa.
 
nimesoma comments zako machozi yamenitoka sikuwahi kuhisi kama kuna mtu anathamini kazi ya wauguzi na madaktari.kama mgonjwa hakuwa na tatizo lingine zaidi ya IV fluids inaweza kufanyika hata zahanati na hakuna umuhimu wa kulazwa.naamini hawakuwa na nia ya kumuua mgonjwa so mtoa mada aombe radhi hosp na atafute ukweli.hiyo pesa waliombwa?tena anachafua taaluma ya watu!huduma ya afya ni haki ya kila mtu nini kutoa rushwa?

huyu jamaa ni mmoja wa wale wanaofika hospitali na kujidai madaktari wajuaji na kudictate mgonjwa afanyiwe nini,wanaleta ujuaji kama walivyo wanasiasa wetu wasioheshimu profession.namshangaa sana kitu kama I.V FLUID kinapatikana kaloleni hospital,ngarenaro au kwa father babu.je alipita kote huku au alienda direct to mt meru?ni mara ngapi amefika hosp ya mt meru na kushuhudia jambo hilo likitokea(??siku tatu)
kinachoudhi ni kukosa ustaarabu na kuwaita madaktari na manesi wote wa mt meru ni wauaji!kweli watanzania hatuna shukrani!natamani ungeenda kukaa japo usiku mmoja pale labour ward uone manesi na madaktari wanavyohangaikia maisha huku asubuhi wakikosa usafiri wa kwenda majumbani halafu mwisho wa mwenzi hawapewi allowance zao.
Iko siku utaumwa na utaenda pale mt meru na baada ya kupona utaibadilisha kauli yako.
 
Anayebisha akafanye research pale hospital ya mkoa kagera mjini Bukoba maalufu kama GOVERNMENT,atarudi mikono nyuma huku kichwa akikitisa kutoka kushoto kwenda kulia.wanawake wajawazito wanapata taabu na manyanyaso(chozi litakutoka..walai)
 
nimesoma comments zako machozi yamenitoka sikuwahi kuhisi kama kuna mtu anathamini kazi ya wauguzi na madaktari.kama mgonjwa hakuwa na tatizo lingine zaidi ya IV fluids inaweza kufanyika hata zahanati na hakuna umuhimu wa kulazwa.naamini hawakuwa na nia ya kumuua mgonjwa so mtoa mada aombe radhi hosp na atafute ukweli.hiyo pesa waliombwa?tena anachafua taaluma ya watu!huduma ya afya ni haki ya kila mtu nini kutoa rushwa?

huyu jamaa ni mmoja wa wale wanaofika hospitali na kujidai madaktari wajuaji na kudictate mgonjwa afanyiwe nini,wanaleta ujuaji kama walivyo wanasiasa wetu wasioheshimu profession.namshangaa sana kitu kama I.V FLUID kinapatikana kaloleni hospital,ngarenaro au kwa father babu.je alipita kote huku au alienda direct to mt meru?ni mara ngapi amefika hosp ya mt meru na kushuhudia jambo hilo likitokea(??siku tatu)
kinachoudhi ni kukosa ustaarabu na kuwaita madaktari na manesi wote wa mt meru ni wauaji!kweli watanzania hatuna shukrani!natamani ungeenda kukaa japo usiku mmoja pale labour ward uone manesi na madaktari wanavyohangaikia maisha huku asubuhi wakikosa usafiri wa kwenda majumbani halafu mwisho wa mwenzi hawapewi allowance zao.
Iko siku utaumwa na utaenda pale mt meru na baada ya kupona utaibadilisha kauli yako.
 
Pole sana kwa yaliyokupata mkuu! Hayo yaliyokukuta yamekuwa ni mambo ya kawaida kabisa kwenye hospitali zetu za serikali.Tatizo ni kwamba watu huwa wakati mwingine watu wanashindwa kuusoma mchezo mapema.Ukiona wahudumu wanaandaa mazingira ya rushwa nawe huna kitu ni bora utumie akili yako ya kuzaliwa ili mgonjwa wako apate huduma bila matatizo.Nasema hivi kwasababu rushwa imekuwa ni tatizo sugu ktk hospitali zetu karibu zote.Tena hapo mt.meru pana afadhali kulinganisha na hospitali nyingine za serikali kwani wala rushwa ni wachache na rushwa yenyewe ni hela kidogo tu.Nenda Muhimbili,KCMC,Amana,Temeke,Mwananyala ukalione balaa lake.

Pia ni vizuri ungepeleka malalamiko yako kwa mganga mkuu Dr.Toure kwani lazima wahusika wangetakiwa kutoa maelezo ya kutosha na angewapa onyo kali.Ninaifahamu Mt.Meru na wafanyakazi wake huwa ni waoga sana kwa uongozi wa hospitali na ndio maana wanadai hivi virushwa vidogo vidogo kwa vile maslahi yao mengi yanapotezewa na uongozi wa hospitali hivyo wao wanabaki kuwakamua wagonjwa.

Ukiondoa hayo hiyo ni moja ya hospitali chache za serikali ambazo zimeathiriwa kidogo sana na ufisadi ambapo asilimia kubwa ya dawa inawafikia na vifaa tiba vinawafikia walengwa ambao ni wagonjwa.

mkuu mt meru ni moja ya hospitali bora za serikali hapa arusha.halafu kwa muda mrefu manispaa ya arusha haijawai na hospitali yake.imagine wagonjwa from monduli,simanjaro,arumeru na manispaa wote hawa wanatakiwa kwenda mt meru.kwa bahati mbaya wagonjwa kutoka manispaa ya arusha wanafika mt meru bila barua za rufaa hivyo mzigo unaobebwa na hospitali hii ni mkubwa.
Huyu jamaa anataka kutuaminisha madokta na manesi wa mt meru ni "wauaji"
hizi tuhuma ni za kitoto na huwa hazitolewi na wasomi.nimezaliwa mt meru na nimetibiwa mt meru mara kadhaa, bugudha niliyopata ni foleni tu.tuhuma hizi kwa hospitali zipo tu ila kinachoshangaza hatuachi kwenda(kama ni kweli tuisusie hospitali hii)
 
toka lini daktari akakupa karatasi ya discharge?kwa kawaida karatasi hii hutolewa na attendant!

huyu jamaa ni mmoja wa wale wanaofika hospitali na kujidai madaktari wajuaji na kudictate mgonjwa afanyiwe nini,wanaleta ujuaji kama walivyo wanasiasa wetu wasioheshimu profession.namshangaa sana kitu kama I.V FLUID kinapatikana kaloleni hospital,ngarenaro au kwa father babu.je alipita kote huku au alienda direct to mt meru?ni mara ngapi amefika hosp ya mt meru na kushuhudia jambo hilo likitokea(??siku tatu)
kinachoudhi ni kukosa ustaarabu na kuwaita madaktari na manesi wote wa mt meru ni wauaji!kweli watanzania hatuna shukrani!natamani ungeenda kukaa japo usiku mmoja pale labour ward uone manesi na madaktari wanavyohangaikia maisha huku asubuhi wakikosa usafiri wa kwenda majumbani halafu mwisho wa mwenzi hawapewi allowance zao.
Iko siku utaumwa na utaenda pale mt meru na baada ya kupona utaibadilisha kauli yako.

mkuu mt meru ni moja ya hospitali bora za serikali hapa arusha.halafu kwa muda mrefu manispaa ya arusha haijawai na hospitali yake.imagine wagonjwa from monduli,simanjaro,arumeru na manispaa wote hawa wanatakiwa kwenda mt meru.kwa bahati mbaya wagonjwa kutoka manispaa ya arusha wanafika mt meru bila barua za rufaa hivyo mzigo unaobebwa na hospitali hii ni mkubwa.
Huyu jamaa anataka kutuaminisha madokta na manesi wa mt meru ni "wauaji"
hizi tuhuma ni za kitoto na huwa hazitolewi na wasomi.nimezaliwa mt meru na nimetibiwa mt meru mara kadhaa, bugudha niliyopata ni foleni tu.tuhuma hizi kwa hospitali zipo tu ila kinachoshangaza hatuachi kwenda(kama ni kweli tuisusie hospitali hii)
mKUU, imekugusa sana hii!
Poleni na mlundikano wa wagonjwa hapo Mount Meru!
Samahani, jamaa hakujua kuwa huwa unaingia humu bwa Mganga...msamehe amekosa aisee!
 
tatizo unakuwa na jazba!ninachoongea ni swala la kuwa admitted kwa ajili ya drip!kama hawezi kumeza huwa anapatiwa drip kwa muda maalum na hiyo yaweza fanyika hata zahanati na kama hakuna zahanati karibu hukuisema.pia siwezi kutetea chochote kwani hao wahudumu hawajasema ni kwa nini walifanya hivyo!KWA UWELEWA WANGU KUNA WAGONJWA HUWA WANARUDISHWA NYUMBANI KWA TERMINAL CARE JE HUO NAO NI UUAJI?

huyu jamaa nahisi alimtoa mgonjwa kwa babu loliondo.baada ya kumleta mgonjwa hospitali kaona mambo yameharibika sasa anawasingizia ma dr wa mt meru.hebu fikiria ni upande upi wa arusha kabla ya kufika mt meru hosp utakosa kukutana na zahanati au hospital?
 
mKUU, imekugusa sana hii!
Poleni na mlundikano wa wagonjwa hapo Mount Meru!
Samahani, jamaa hakujua kuwa huwa unaingia humu bwa Mganga...msamehe amekosa aisee!

mkuu alichoniudhi ni hiyo title ya thread!ina demoralize watumishi wa afya sana!sasa anawavunjia heshima madaktari kama kina lekundayo,miriam,msechu,nnko,msuya,lymo,makule n.k ambao huwezi kuishi arusha miaka kadhaa bila kupita kwa mmoja wao.hata kama kosa limefanyika na mmoja wao why anageneralize tena kwa kutumia kejeli eti 'wauaji'
masikini tuna low self esteem,anachojaribu kufanya ni kutafuta sympath tu.si angeenda selian au AICC akakutane na ma-dr hawa hawa anaowaita wauaji.
 
Mkuu,

Jaribu kulipeleka swala hili kwa Mbunge wako LEMA.

Nafikiri huyu jamaa anaweza kwenda kulifuatilia hili swala na kucheza nao Lambada hadi kieleweke zaidi yako wewe.

Lifikishe pia kwa Madiwani na hasa huyo MEYA Feki na akishindwa kulifuatilia, basi Mbunge wako acheze naye pia Mdundiko hadi kieleweke.

Mambo kama haya ndiyo kazi za Wabunge, Meya na Diwani. WATUMIENI MAANA WALIKUJA KUSEMA WATATUTUMIKIA.

anashangaza sana mtu huyu!pale hosp kuna sehemu ya kutoa malalamiko,anaweza kwenda polisi kureport mauaji au afike kwa mbunge wake ampe malalamiko na sio kubwatuka kama waandishi wa habari za udaku.
 
So far hii sredi wadau wame-mention Mount Meru, Mwanza na Kagera. May be more will follow.
 
tatizo unakuwa na jazba!ninachoongea ni swala la kuwa admitted kwa ajili ya drip!kama hawezi kumeza huwa anapatiwa drip kwa muda maalum na hiyo yaweza fanyika hata zahanati na kama hakuna zahanati karibu hukuisema.pia siwezi kutetea chochote kwani hao wahudumu hawajasema ni kwa nini walifanya hivyo!KWA UWELEWA WANGU KUNA WAGONJWA HUWA WANARUDISHWA NYUMBANI KWA TERMINAL CARE JE HUO NAO NI UUAJI?


Mgonjwa aliyeruhusiwa haswa ninayemzungumzia hakuwa amefikia hata hatua ya namna hiyo kwani amekuwa discharged akiwa anaongea na alitembea mwenyewe bila kusaidiwa na kwa spidi kubwa tu mpaka nje ya geti tulimokuwa tume paki gari na akaingia mwenyewe. Na hata sasa ninapoongea anazidi kui mprove baada ya kupatiwa huduma sehemu nyingine. Mgonjwa hakuwa amezidiwa kiasi hicho unachofikiri cha kupelekwa kwa ajili ya terminal care. Na tunajua kama akila vizuri ana zaidi ya 5 years ya kuishi huku akifanya shughuli ndogo ndogo na ndio maana nasisistiza Hapo Mt. Meru hospital walitaka kuharakisha kifo chake kwa maksudi.
 
Back
Top Bottom