Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mkuu Mshana jr nakupongeza sana kwa kutoa wazo kama hili hapa jf..naombeni msaanda wa kiufundi wa gari yangu

Aina ya gari ni Toyota cami ya mwaka 1999, model GF - J100E , engine namba ni HC 0779565 na CC ni 1290.. nimeinunua katika showroom moja Dar es salaam miezi 6 iliyopita, sasa tatizo lake ni kuwa inatumia petrol kwa kiwango ambacho si cha kawaida kwa gari aina hiyo ..yaani inatumia mafuta mengi karibu sawa au kuzidi hata Noah, nikahisi kuwa labda hii gari inakuwa na 4 wheel mda wote, sasa baada ya kupeleka kwa fundi akasema ni kweli akafanya Diagnosis akasema upande wa Engine hakuna tatizo..ila tatizo lipo upande wa Transmition ambapo eti ktk gear box diaphragm imenasia hivyo inasababisha gari kuwa katika 4wheel mda wote..wakati inatakiwa ukitaka kuweka 4wheel uwe unabonyeza button ndio inaji engage kuwa 4wheel.. kwa hiyo kwa mujibu wa maelezo ya fundi ni kuwa tatizo la kula mafuta mengi ni gari kuwa Full time 4wheel drive..kwa hiyo kashauri afungue gearbox ili kuiangalia hiyo Diaphragm na kuinasua.

Sasa naomba ushauri wenu wa kitaalam je hili linaweza kuwa tatizo? Au kuna tatizo lingine? Wataalam karibuni natanguliza shukurani...
 
Mkuu Mshana jr nakupongeza sana kwa kutoa wazo kama hili hapa jf..naombeni msaanda wa kiufundi wa gari yangu
Aina ya gari ni Toyota cami ya mwaka 1999, model GF - J100E , engine namba ni HC 0779565 na CC ni 1290.. nimeinunua katika showroom moja Dar es salaam miezi 6 iliyopita, sasa tatizo lake ni kuwa inatumia petrol kwa kiwango ambacho si cha kawaida kwa gari aina hiyo ..yaani inatumia mafuta mengi karibu sawa au kuzidi hata Noah, nikahisi kuwa labda hii gari inakuwa na 4 wheel mda wote, sasa baada ya kupeleka kwa fundi akasema ni kweli akafanya Diagnosis akasema upande wa Engine hakuna tatizo..ila tatizo lipo upande wa Transmition ambapo eti ktk gear box diaphragm imenasia hivyo inasababisha gari kuwa katika 4wheel mda wote..wakati inatakiwa ukitaka kuweka 4wheel uwe unabonyeza button ndio inaji engage kuwa 4wheel.. kwa hiyo kwa mujibu wa maelezo ya fundi ni kuwa tatizo la kula mafuta mengi ni gari kuwa Full time 4wheel drive..kwa hiyo kashauri afungue gearbox ili kuiangalia hiyo Diaphragm na kuinasua.
Sasa naomba ushauri wenu wa kitaalam je hili linaweza kuwa tatizo? Au kuna tatizo lingine? Wataalam karibuni natanguliza shukurani...

Mkuu hiyo gari haikuwa na guarantee? Tafuta fundi wa uhakika au kama huhitaji hiyo 4 wheel unaweza kutoa shaft za mbele kuliko kufungua gear box inaweza ikazalisha zaidi ya hayo.
 
Mkuu Mshana jr nakupongeza sana kwa kutoa wazo kama hili hapa jf..naombeni msaanda wa kiufundi wa gari yangu
Aina ya gari ni Toyota cami ya mwaka 1999, model GF - J100E , engine namba ni HC 0779565 na CC ni 1290.. nimeinunua katika showroom moja Dar es salaam miezi 6 iliyopita, sasa tatizo lake ni kuwa inatumia petrol kwa kiwango ambacho si cha kawaida kwa gari aina hiyo ..yaani inatumia mafuta mengi karibu sawa au kuzidi hata Noah, nikahisi kuwa labda hii gari inakuwa na 4 wheel mda wote, sasa baada ya kupeleka kwa fundi akasema ni kweli akafanya Diagnosis akasema upande wa Engine hakuna tatizo..ila tatizo lipo upande wa Transmition ambapo eti ktk gear box diaphragm imenasia hivyo inasababisha gari kuwa katika 4wheel mda wote..wakati inatakiwa ukitaka kuweka 4wheel uwe unabonyeza button ndio inaji engage kuwa 4wheel.. kwa hiyo kwa mujibu wa maelezo ya fundi ni kuwa tatizo la kula mafuta mengi ni gari kuwa Full time 4wheel drive..kwa hiyo kashauri afungue gearbox ili kuiangalia hiyo Diaphragm na kuinasua.
Sasa naomba ushauri wenu wa kitaalam je hili linaweza kuwa tatizo? Au kuna tatizo lingine? Wataalam karibuni natanguliza shukurani...

Nashauri uwasiliane na dealer walk Kwanza kabla hujachukua hatua yeyote ya matengenezo la sivyo hebu fuata ushauri wa MANI
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MANI nashukuru kwa ushauri wako..kufungua hiyo shaft ya mbele haina madhara yoyote zaidi ya kutokuwa na 4wheel tu?? Nafanya mpango wa kuwasiliana na Madealer..
 
Mkuu Mshana jr Havone avae..
Nitajaribu kuwasiliana na niliponunulia ila daa wale Wapakstan sijui watanipa ushirikiano??
 
Mkuu Mshana jr Havone avae..
Nitajaribu kuwasiliana na niliponunulia ila daa wale Wapakstan sijui watanipa ushirikiano??

Ni hawa wa Studio kona ya mwananyamala au wale pale nyuma ya shoppers!?
 
Mkuu Mshana jr Havone avae..
Nitajaribu kuwasiliana na niliponunulia ila daa wale Wapakstan sijui watanipa ushirikiano??

Kwakifupi kwanza lazima ujiridhishe kuwa inatembea km ngapi kwa lt 1.

Ulaji wa mafuta inategemea na vitu vingi ikiwemo hiyo ya 4wd, kama gari imetemgenezwa ni full time 4wd huna njia yakufanya usidanganyike kugusa gear box maana utaenda kununua mpya.

Kuhusu guarantee kwa used car hakuna kumbuka magari haya yamekwisha tumika sio mapya
 
Siwajui vema wale ila hakikisha kwanza kama walikupa guarantee ya mwaka au nusu mwaka! Ulianza kugundua tatizo lini!?

Unajua nilivyolinunua nikawaachia familia nyumban wakawa wanaitumia ..niliondoka siku cheche baadae kosa langu mm sikulichunguza vizuri utumiaji wake wa mafuta.. itakuwa tulinunua likiwa na hilo tatizo.
 
Ushauri wangu kwa wenye magari jitahidi kuwa na fundi mwenyeujuzi wa magari usiogope gharama kwakuwa nahuwakika gari umenunua kwa bei kubwa kuliko yakumlipa fundi
 
Ushauri wangu kwa wenye magari jitahidi kuwa na fundi mwenyeujuzi wa magari usiogope gharama kwakuwa nahuwakika gari umenunua kwa bei kubwa kuliko yakumlipa fundi


Hivi kwa nini House Girl kuachiwa mtoto sio ishu lakini huwezi kusikia House girl kaachiwa gari?
 
Kwakifupi kwanza lazima ujiridhishe kuwa inatembea km ngapi kwa lt 1
Ulaji wa mafuta inategemea na vitu vingi ikiwemo hiyo ya 4wd.kama gari imetemgenezwa ni full time 4wd huna njia yakufanya usidanganyike kugusa gear box maana utaenda kununua mpya
Kuhusu guarantee kwa used car hakuna kumbuka magari haya yamekwisha tumika sio mapya

Sio full time 4wd maana ktk dashboard kuna button ya kuweka 4wd..sasa hao mafundi wanasema diaphragm imenasia hivyo inasababisha gari mda wote 4wd hivyo kusababisha ulaji wa mafuta kuongezeka..na gari ni zito kidogo...
 
Kwakifupi kwanza lazima ujiridhishe kuwa inatembea km ngapi kwa lt 1
Ulaji wa mafuta inategemea na vitu vingi ikiwemo hiyo ya 4wd.kama gari imetemgenezwa ni full time 4wd huna njia yakufanya usidanganyike kugusa gear box maana utaenda kununua mpya
Kuhusu guarantee kwa used car hakuna kumbuka magari haya yamekwisha tumika sio mapya

Wamegundua inakula mafuta sana baada ya kusafiri safari moja na Noah old model..na walijaza mafuta kiwango sawa lakini ulaji ukazidi wa Noah...
 
Ushauri wangu kwa wenye magari jitahidi kuwa na fundi mwenyeujuzi wa magari usiogope gharama kwakuwa nahuwakika gari umenunua kwa bei kubwa kuliko yakumlipa fundi

Mkuu nisaidie mafundi wazuri na wa uhakika wanapatikana wapi??
 
Uzi mzuri sana, nimesoma comment zote,
Sasa mkuu nipe ushauri na uzoefu wako, nataka kuchukua runx, ila itatumika zaid barabara ya vumbi, je inafaa? Vp uimara wake? Vifaa vinapatikana? Je wewe ni fundi wa magari?
 
Back
Top Bottom