Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,472
- 12,901
- Thread starter
- #541
Yeah mshua huyo hana baya babuSamweli malech......???
Yeah mshua huyo hana baya babuSamweli malech......???
Ukitulia endelea na ep inayofuata.Yeah mshua huyo hana baya babu
Natamani kujua zile dhahabu mlizoficha kwenye makoti na madumu kama zilifika sokoni.EXTRA EPISODE:-
NITAWEKA WAKUU.....!!!SO SOON
Ninamalizia naweka story kule......kwenye ule uzi mwingine wa mabraza wa kkoo na dili zaoNatamani kujua zile dhahabu mlizoficha kwenye makoti na madumu kama zilifika sokoni.
Kafariki lini????Dr Matola PhD
Mzee baba nimesikia Tom Shempemba kafariki mazee, sijui kama umesikia...
Sijui kama unamkumbuka, alichezea Pazi, halafu kuna wakati alichezea Chang'ombe wakati ule Pazi ina kina John Tambwe (Wa mafuta), Atiki, Nyembela, Shaban...
Hili sijasikia, halafu niko busy kimtindo.Dr Matola PhD
Mzee baba nimesikia Tom Shempemba kafariki mazee, sijui kama umesikia...
Sijui kama unamkumbuka, alichezea Pazi, halafu kuna wakati alichezea Chang'ombe wakati ule Pazi ina kina John Tambwe (Wa mafuta), Atiki, Nyembela, Shaban...
Mlikuwa mnamuita "Jeba"I concur
kuna jamaa ambaye amewahi kuwa kwenye cabinet na amewahi kuhudumu kwenye vyama vya siasa viwili vikuu na anatoka kanda maalum.
Alianza Frm 1 akiwa na 20+ na washkaji wake walikuwa walimu. wana walikuwa wanamkwepa sana.
Alikuwa anapenda uongozi balaa hadi chuo aliendeleza kuwa against wanafunzi. Nakumbuka kuna kipindi kulitokea bonge la kunji Milima, jamaa akiwa Rais akapotea chuoni mwezi mzima.
Daah braza katutoka.....nimeweka picha zake hapo juu.....mkuu
Daah braza katutoka.....nimeweka picha zake hapo juu.....mkuu
Bahati mbaya sikushuhudia game zake nyingiNaam, moja ya watu waliofanya tuvutiwe na kucheza kikapu, maana alikuwa play maker wa Chang'ombe wakati huo wa bonanza na ligi za kikapu Dar...
Ukimaanisha???
Kabiiiiiiiiiisa lo.