Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,542
- 13,031
- Thread starter
- #521
Yeah na Mh Mrema waziri enzi hizoNDIO KISA CHA TAMBAZA KUONDOLEWA O-LEVEL
Yeah na Mh Mrema waziri enzi hizoNDIO KISA CHA TAMBAZA KUONDOLEWA O-LEVEL
ILIKUWA VITA KUNA MAKUNDI YALIKUWA YANA JIITA CHEARSE SIJUIYeah na Mh Mrema waziri enzi hizo
Kuna bro alikua anaitwa jeshi.....alitokea block 41...wengine akina membe......mwengine Ninja....mwingine Kambanga.....akina Hafidhi.....na wengine wengiii...ILIKUWA VITA KUNA MAKUNDI YALIKUWA YANA JIITA CHEARSE SIJUI
ugonvi wa makonda wa dalala na wanafunzi pale fire unakumbuka ulisababisha kifo cha mwanafunziKuna bro alikua anaitwa jeshi.....alitokea block 41...wengine akina membe......mwengine Ninja....mwingine Kambanga.....akina Hafidhi.....na wengine wengiii...
Tambaza walikua wamepinda kuliko Azania......na yile aliyejiua baada ya kumpiga denti mwanafunzi.....Its been long time bro!!!! Nazungumzia 1992 hapo
Hiyo nilisikia tu....ila nakumbuka vizuri sakata hilo la pale fire...!!ugonvi wa makonda wa dalala na wanafunzi pale fire unakumbuka ulisababisha kifo cha mwanafunzi
PALE FIRE UPANDE WA GARI ZA KWENDA KIMARAugonvi wa makonda wa dalala na wanafunzi pale fire unakumbuka ulisababisha kifo cha mwanafunzi
Mcheki Pascal Mayala mzee wa diplomasia akupe darassa......sisi tushazeeka mdogo wangu🤣🤣🤣
tusaidiane mkuuKuna siku ntakuja kutoa roadmap ya kutambaa Dunia. Maana naona vijana wa leo sometime hawaambiani ukweli na sometime wanapotezana.
Puzo mtoto wa ubungo ..mdg wake wakuitwa alikoKuna bro alikua anaitwa jeshi.....alitokea block 41...wengine akina membe......mwengine Ninja....mwingine Kambanga.....akina Hafidhi.....na wengine wengiii...
Tambaza walikua wamepinda kuliko Azania......na yile aliyejiua baada ya kumpiga denti mwanafunzi.....Its been long time bro!!!! Nazungumzia 1992 hapo
Hahahahahaha aliyempiga konda kwa mwamvuli na kuuua alikua anaitwa PuzoPALE FIRE UPANDE WA GARI ZA KWENDA KIMARA
Puzo.....ndio yule alijiuaHahahahahaha aliyempiga konda kwa mwamvuli na kuuua alikua anaitwa Puzo
Puzo alijiua au???Puzo mtoto wa ubungo ..mdg wake wakuitwa aliko
Sawa mkuushida nyingine huyu Pascal Mayalla mimi ni mkwe wangu 🤣 ila ni miongoni mwa watu ambao nawakubari sana....!
nipe mbinu hata za kwenda mbele huko nikajaribu bahati... passport ninayo kaka mkubwa.... fanya jambo
Nitashukuru sana mkuu...!Sawa mkuu
Yap alijiua kwaoPuzo alijiua au???
Nimecheka sana hapo jamaa anadunda mpaka unaona kama ardhi itatetemeka hivi.Cool Moe Cee (Mosi) Mnyamwezi fulani hivi alikuwa ana hang sana na Kwanza Unit na watoto wa IST.
Jamaa alitoka Marekani miaka ile akarudi Bongo akazibuka Kinyamwezi ile mbaya.
Jamaa anadunda mpaka unaona kama ardhi itatetemeka hivi.
Samweli malech......???OYA MNAJUA HUU UZI WAPO WASHUA AFU WANASOMA KOMENTI TU TUNAVYOKUMBUSHIANA KITAMBO HICHO CHA MID 80,S UP TO 90,S.........🤣🤣🤣😂😂😂
Big up kwa mshua BABU JOHN MUNGU AKUZIDISHIE UHAI MZEE WETU MPENDWA.