figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
halafu hawa jamaa na meli zao ipo siku watatutoa roho.tushawazoea hata siku hii navy ikilipuka tutakua tunajipa moyo hivihivi.mbona sikuku za kikristo suleiman kova anakataza mafataki?haya mambo ya serikali kukosa msimamo ipo siku yatatugalimu.