Ukraine kuanza kutumia bomu la cluster mrusi lazima akae

USSR

JF-Expert Member
Jul 15, 2015
9,896
22,666
Nchi 112 zilisaisini mkataba wa kutotumia bomu hilo ambalo ni hatari sana hasa kama litalengwa eneo wenye watu wengi Kwa kuwa mzingo wake ni mkubwa zaidi ya MOALB (Mother of all boms) kuwa kuwa hutawanyika ngani likikaribia kugusa target na kuzaa vipande vya vibom vidogo vidogo na kungamiza zaidi.

Urusi hapo awali alitumia bomb hilo eneo la bucher na kuzua utata Kwa nano na ICC inamfunglia mashtaka makubwa lakini Jana Rais Biden amekubali waukrane nao watumie na marekani itawatumia mabomu hayo Kwa wingi iliwemo nchi washirika ,yatatumiwa hasa maeneo yaliyopandwa mabom mengi wakati wakiwa katika mwezi wa kurudisha maeneo yao

Bado Kremlin haijasema lolote maana hapa ni mbwa kala mbwa na ulaya imepania kupambana hadi mwisho


USSR
Polish_20230708_125513146.jpg


Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Nchi 112 zilisaisini mkataba wa kutotumia bomu hilo ambalo ni hatari sana hasa kama litalengwa eneo wenye watu wengi Kwa kuwa mzingo wake ni mkubwa zaidi ya MOALB (Mother of all boms) kuwa kuwa hutawanyika ngani likikaribia kugusa target na kuzaa vipande vya vibom vidogo vidogo na kungamiza zaidi.

Urusi hapo awali alitumia bomb hilo eneo la bucher na kuzua utata Kwa nano na ICC inamfunglia mashtaka makubwa lakini Jana Rais Biden amekubali waukrane nao watumie na marekani itawatumia mabomu hayo Kwa wingi iliwemo nchi washirika ,yatatumiwa hasa maeneo yaliyopandwa mabom mengi wakati wakiwa katika mwezi wa kurudisha maeneo yao

Bado Kremlin haijasema lolote maana hapa ni mbwa kala mbwa na ulaya imepania kupambana hadi mwisho


USSR View attachment 2681886

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unafurahia marekani kumpa ukrane mabomu yaliyopigwa marufuku na kumruhusu kuyatumia ktk vita??

Its ok ila msilalamike nchi nyingine waktumia mabomu yaliyopigwa marufuku na hatari kuliko hayo
 
Nchi 112 zilisaisini mkataba wa kutotumia bomu hilo ambalo ni hatari sana hasa kama litalengwa eneo wenye watu wengi Kwa kuwa mzingo wake ni mkubwa zaidi ya MOALB (Mother of all boms) kuwa kuwa hutawanyika ngani likikaribia kugusa target na kuzaa vipande vya vibom vidogo vidogo na kungamiza zaidi.

Urusi hapo awali alitumia bomb hilo eneo la bucher na kuzua utata Kwa nano na ICC inamfunglia mashtaka makubwa lakini Jana Rais Biden amekubali waukrane nao watumie na marekani itawatumia mabomu hayo Kwa wingi iliwemo nchi washirika ,yatatumiwa hasa maeneo yaliyopandwa mabom mengi wakati wakiwa katika mwezi wa kurudisha maeneo yao

Bado Kremlin haijasema lolote maana hapa ni mbwa kala mbwa na ulaya imepania kupambana hadi mwisho


USSR View attachment 2681886

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app

Kwahiyo unafurahia marekani kumpa ukrane mabomu yaliyopigwa marufuku na kumruhusu kuyatumia ktk vita??

Its ok ila msilalamike nchi nyingine waktumia mabomu yaliyopigwa marufuku na hatari kuliko hayo
Shida iko wapi Ukraine akitumia cluster bom Russia amalize mchezo na nuke
Tujadiri mingine kila Leo hili tu
 
Kwahiyo unafurahia marekani kumpa ukrane mabomu yaliyopigwa marufuku na kumruhusu kuyatumia ktk vita??

Its ok ila msilalamike nchi nyingine waktumia mabomu yaliyopigwa marufuku na hatari kuliko hayo
ww kweli ni mwanasiasa mjinga, nani anafurahia USA kumpatia Ukraine hayo mabomu? Russia ndio walikuwa wakitumia huko Ukraine hadi juzi tu hapa ameyatumia kuua raia.

ww hata ujui kinachoendelea Duniani hapa unakurupuka kama nguchiro yaani, wacha Ukraine nao wapewe hayo mabomu ok
 
Nchi 112 zilisaisini mkataba wa kutotumia bomu hilo ambalo ni hatari sana hasa kama litalengwa eneo wenye watu wengi Kwa kuwa mzingo wake ni mkubwa zaidi ya MOALB (Mother of all boms) kuwa kuwa hutawanyika ngani likikaribia kugusa target na kuzaa vipande vya vibom vidogo vidogo na kungamiza zaidi.

Urusi hapo awali alitumia bomb hilo eneo la bucher na kuzua utata Kwa nano na ICC inamfunglia mashtaka makubwa lakini Jana Rais Biden amekubali waukrane nao watumie na marekani itawatumia mabomu hayo Kwa wingi iliwemo nchi washirika ,yatatumiwa hasa maeneo yaliyopandwa mabom mengi wakati wakiwa katika mwezi wa kurudisha maeneo yao

Bado Kremlin haijasema lolote maana hapa ni mbwa kala mbwa na ulaya imepania kupambana hadi mwisho


USSR View attachment 2681886

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Ukreine wamemnukuu allah.

وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ

[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
 
Kwahiyo unafurahia marekani kumpa ukrane mabomu yaliyopigwa marufuku na kumruhusu kuyatumia ktk vita??

Its ok ila msilalamike nchi nyingine waktumia mabomu yaliyopigwa marufuku na hatari kuliko hayo
Kisasi haqi acha nae Ukreine Alipize.
وَلَكُمْ فِي الْقِصَاصِ حَيَاةٌ يَا أُولِي الْأَلْبَابِ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ

[ AL - BAQARA - 179 ]
Mtakuwa nao uhai mzuri katika kulipiza kisasi enyi wenye akili, ili msalimike.
 
Nchi 112 zilisaisini mkataba wa kutotumia bomu hilo ambalo ni hatari sana hasa kama litalengwa eneo wenye watu wengi Kwa kuwa mzingo wake ni mkubwa zaidi ya MOALB (Mother of all boms) kuwa kuwa hutawanyika ngani likikaribia kugusa target na kuzaa vipande vya vibom vidogo vidogo na kungamiza zaidi.

Urusi hapo awali alitumia bomb hilo eneo la bucher na kuzua utata Kwa nano na ICC inamfunglia mashtaka makubwa lakini Jana Rais Biden amekubali waukrane nao watumie na marekani itawatumia mabomu hayo Kwa wingi iliwemo nchi washirika ,yatatumiwa hasa maeneo yaliyopandwa mabom mengi wakati wakiwa katika mwezi wa kurudisha maeneo yao

Bado Kremlin haijasema lolote maana hapa ni mbwa kala mbwa na ulaya imepania kupambana hadi mwisho


USSR View attachment 2681886

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Wote Ukraine na Russia wametumia hizo silaha na ni Ukraine ambao waliishiwa.

Lakini nchi hizo mbili pamoja na Marekani wao hawajasaini ule mkataba wa kuzuia matumizi ya silaha ( Convention on Cluster Munitions) hizo ambao umesainiwa na nchi zipatazo 123 duniani.
 
Wote Ukraine na Russia wametumia hizo silaha na ni Ukraine ambao waliishiwa.

Lakini nchi hizo mbili pamoja na Marekani wao hawajasaini ule mkataba wa kuzuia matumizi ya silaha ( Convention on Cluster Munitions) hizo ambao umesainiwa na nchi zipatazo 123 duniani.
 
Back
Top Bottom